Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
 
Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans

Juzi tumetoka kwenye udini tena upande wa waislamu leo walokole na wale washika dini ya kiislamu [emoji23]. kesho naomba tuanze na ccm
 
hivi vikundi visikie vya walokole na waislamu.

Nilikosa kazi kwa sababu mimi sio muislamu,kuna ndugu yetu alikuwa mlokole na nitajiri alikuwa anatusema vibaya mpaka tunaitwa watoto wa shetani na hatuksaidiwa
 
Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
Kweli kabisa.
 
Juzi tumetoka kwenye udini tena upande wa waislamu leo walokole na wale washika dini ya kiislamu [emoji23]. kesho naomba tuanze na ccm
Kweli kabisa! Maana hawa CCM ndiyo chanzo cha haya yote. Miaka nenda wamedumaz uchumi wa nchi, kiasi cha watu kupoteza muda mwingi kujadili mambo ya dini, umbeya, nk.
 
Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
Acha Unafiki. Kwani unajua misingi ya dini ya kiisilamu?

Kwanini usemee dini ikao huijui misingi yake wala utaratibu wake?

Unakosea kwa kuigilia imani za watu. Kwanini usibaki na dini unaoambudu na kuelewa.

Hamna mkristo wala muisilamu atakaeweza kujifanyanyisha na mwenzake. Kila mtu anafwata hapo alipokuzwa.

Kijana usijitafutie sifa za laana kwa kusemea vibaya imani za wengine..
 
Hilo la walokole nawaachia wenyewe.

Ila sisi waislamu tupo katika haqi(kweli) sasa kwa nini tusijiamini? na nini kingine baada ya haqi isipokuwa batili?

Au ulitaka tusemaje?

Haqi(kweli) haichangamani na batili.
 
Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
Ukishaamini unamjua Mungu tu huwezi kukwepa unafiki.

Kwa sababu hapohapo utajifanya unapenda watu, hapohapo utakuwa unawahukumu wasiokubaliana nawe.

Unafiki tayari.
 
Mtu amejikuta tu kazaliwa kwenye uislamu au kwenye ulokole. Lakini anashupaza shingo kutetea dini yake. Mtu huyo angezaliwa upande wa pili angeshupaza hivyo hivyo. Wapumbavu wakubwa.
Wewe uliyezaliwa katikati ya hizo dini uache nongwa ,,,Mimi Ni muislamu na nipo katka Haki ,,,sihitaji kuzisemea imani za Michongo hutaki ubatili njoo ktk uislamu utapata imani ya moyo
 
Ukishaamini unamjua Mungu tu huwezi kukwepa unafiki.

Kwa sababu hapohapo utajifanya unapenda watu, hapohapo utakuwa unawahukumu wasiokubaliana nawe.

Unafiki tayari.
Kwhy huo msimamo wako wa kutomtambua Mungu hauna unafiki???...Kiranga una double standards nyingi Sana sema hujijui tu
 
Back
Top Bottom