Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
Nimekutandika DISLIKE ya nguvu sana ili ujue kuwa mimi ni mlokole halisi
 
Kabla sijamtambua Mungu, thibitisha yupo kwanza.

Mimi sina unafiki wala double standard.

Kwa sababu naweza kusema wewe ni mjinga na sikupendi. Nakwambia hapa.

Wewe ni mjinga, na sikupendi.

Kila wiki nawapeleka watu ignore list kwa sababu hii. Wewe mjinga, sikupendi, sitaki kuona post yako tena, nenda ignore list. Bye.

Sina dini inayonikataza kusema sikupendi, sina falsafa inayonikataza kukuita wewe mjinga.Sina tatizo kukupeleka ignore list.

Sina tatizo la unafiki.

Tatizo lipo kwa wale wanaojidai kuwa wanahubiri dini ya upendo, halafu dini yao inakubagua kwa kukosa upendo.

Cognitive dissonance.

Unafiki.
Wewe Ni mtu wa batili na mwenye kukuamini ameangamia ,,,hivyo endelea kuamini ukafiri wako
 
Wewe Ni mtu wa batili na mwenye kukuamini ameangamia ,,,hivyo endelea kuamini ukafiri wako
Nimekutaka uthibitishe Mungu yupo.

Umeshindwa. Huwezi.

Kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Hapo wewe ndiye batili. Unaamini Mungu wa ubatili ambaye huwezi kuthibitisha yupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Acha Unafiki. Kwani unajua misingi ya dini ya kiisilamu?
Kwanini usemee dini ikao huijui misingi yake wala utaratibu wake?
Unakosea kwa kuigilia imani za watu. Kwanini usibaki na dini unaoambudu na kuelewa.
Hamna mkristo wala muisilamu atakaeweza kujifanyanyisha na mwenzake. Kila mtu anafwata hapo alipokuzwa.
Kijana usijitafutie sifa za laana kwa kusemea vibaya imani za wengine..
E bhana tayari wafia dini wanateseka huku baada ya kuwashushia kinyundo kwenye mshono [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukishaamini unamjua Mungu tu huwezi kukwepa unafiki.

Kwa sababu hapohapo utajifanya unapenda watu, hapohapo utakuwa unawahukumu wasiokubaliana nawe.

Unafiki tayari.
Wanasayansi ndiyo wanafki wakubwa kupindukia[emoji35]

Wanadai Mtu akikaa baada ya siku 7 bila kula basi anakufa ilihali Mcha Mungu anagonga hadi siku 13 bila kula wala kunywa maji akiwa kwenye maombi ya kufunga na wala hafi [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Usijihesabie haki buna unakosea mkuu
YESU alikuwa anayapatia sana hayo manafki [emoji38][emoji116]

YOHANA 8:7-9.

[7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

[8]Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

[9]Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wanasayansi ndiyo wanafki wakubwa kupindukia[emoji35]

Wanadai Mtu akikaa baada ya siku 7 bila kula basi anakufa ilihali Mcha Mungu anagonga hadi siku 13 bila kula wala kunywa maji akiwa kwenye maombi ya kufunga na wala hafi [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu hata hii JF unayotumia imetengenezwa na Wanasayansi, ingekuwa vizuri ungeachana nayo kwanza utengeneze yako ya dini, halafu uende kuwasema unafiki huko.

Vinginevyo wewe nawe utakuwa mnafiki kwa style ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
 
Binafsi namwomba sana M/Mungu niwe na UTU mambo sijui ya dini tupilia uko,siwezi kujiona bora kisa ni dini fulani wakati hiyo dini imeletwa na Wazungu au Waarabu,mi si mtumwa wa watu
 
ukijalibu kuchunguza kwa umakin weng walio enda shule hawait wenzao makafil Wala mashetan wanabak kusali2 kwenye din zao sasa Hawa wenzetu ambao hawajtambui[emoji1787][emoji1787] wanajihc baba zao walio waambukiza udin walikua sahihi kuliko wengne
 
No, usinifanye nijione sipo katika haki kama unavyojiona wewe.

Sasa kama sioni kuwa Uislamu ni dini ya haqi hivyo kuna haja gani ya kuendelea kuwa muislamu.

Nimejiridhisha kuwa Uislamu ni dini ya haqi ndio maana naufuata kwa kufa na kupona.
Nyie ndio mnaozungumziwa na mleta mada.
Hapa ume-prove hoja yake.

Uislam huu huu wa kulipuana mabomu a.k.a jihad na kusomeana Albadili ndio wa haki au ni uislam upi huo?
 
"Yeyote anayedhani kwamba Allah hatamnusuru (mtume muhammad) katika dunia na akhera basi na afunge kamba kwenye dari kisha ajinyonge, halafu atazame je mbinu yake hiyo itaondoa hayo yaliyomkasirisha?"

Qur'an 22:15
 
Nyie ndio mnaozungumziwa na mleta mada.
Hapa ume-prove hoja yake.

Uislam huu huu wa kulipuana mabomu a.k.a jihad na kusomeana Albadili ndio wa haki au ni uislam upi huo?
Siku ukijua huo uhuni wa kujilipua mabomu na ushirikina wa kusoma ahlu badri hauhusiani na mafundisho ya kiislamu hata nukta utaona haya sana kwa uliyowahi kuyazungumza.
 
Back
Top Bottom