Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Kwa sisi tuliotafuta kwa mapenzi yetu dini na imani ya kweli kwa kusoma imani tofauti tofauti mpaka tukaja ku settle na moja tunaruhusiwa kushupaza shingo?
Nyie mnaruhusiwa na mnahaki hiyo. Ila hawa ambao babu zao waliingia kwenye dini ili wapate ajira kwa muarabu au misheni, harafu wakawarithisha baba zao, kisha leo wanajidai wanaijua sana na kuipigania ni wapumbavu sana. Wanatakiwa kukaa kimya.
 
Kama umri huo bado hujajua maana ya Sayansi kwa kukariri kila kinachotumia akili kimetokana na Sayansi basi we ni hasara na utazidi kuwa hasara tupu duniani hadi kifo chako kikiwadia [emoji28]
Umri gani?

Sayansi ni nini?

Wapi nimesema kila kinachotumia akili kimetokana na sayansi?

Computer/ simu haijatokana na sayansi?

Computer programming code iliyotumika ku code JF si sayansi?

Unaweza kutengeneza website kama JF bila sayansi?

Acha ujinga.
 
Ukisoma kwa akili
Umemjibu vizuri Sana yeye ana dini yake lkn anaanza kuchukia ya wenzake hiyo Ni nongwa inayoishi Karibu na uchawi ...ukafiri utabaki kuwa mbaya tu ...hutaki njoo kwenye haki
Ukisoma kwa akili timamu jamaa Yuko sahihi af Hana upande ila ukisoma akili umeziacha kwa astazi utaona jamaa anawaingilia
Any way karibu kitimoto😂😂 maana walokole na waislam hamtumii
 
Sifàhamu , ila kama mtu anaona sawa kuniita hivyo nitamuacha na mtizamo wake huo.
Sio kwa mtazamo, kwa fact. Wewe ni mshenzi kwa fact, kwa njia inayoweza kuoneshwa kwamba ipo zaidi ya mtazamo tu.
 
Sio kwa mtazamo, kwa fact. Wewe ni mshenzi kwa fact, kwa njia inayoweza kuoneshwa kwamba ipo zaidi ya mtazamo tu.
Naona sawa tu na sijutii kuwa hivyo kiufupi unajivunia sana kuwa mshenzi tena ikipendeza niabadili jina kabisa lisomeke adriz mshenzi..
 
Naona sawa tu na sijutii kuwa hivyo kiufupi unajivunia sana kuwa mshenzi tena ikipendeza niabadili jina kabisa lisomeke adriz mshenzi..
Si mshenzi tu, bali pia unajivunia kuwa mshenzi.
 
Nyie ndio mnaozungumziwa na mleta mada.
Hapa ume-prove hoja yake.

Uislam huu huu wa kulipuana mabomu a.k.a jihad na kusomeana Albadili ndio wa haki au ni uislam upi huo?
Huu ndio Uislamu unaoujua wewe.

Ila Uislamu ninao uzungumzia mimi ni huu wa kuswali, kutoa zaka, kufunga Ramadhani, na kwenda kuhiji Makkah.
 
Huu ndio Uislamu unaoujua wewe.

Ila Uislamu ninao uzungumzia mimi ni huu wa kuswali, kutoa zaka, kufunga Ramadhani, na kwenda kuhiji Makkah.
Kwa nini unachagua mengine na mengine unaacha?

Yote hayo ni ya kwenu, na hayo ni sehemu ya mafundisho yenu. Be proud of your religion.
 
Kweli kabisa kuambiwa kuoa mke zaidi ya mmoja haifai ila kuoana jinsia moja inafaa halafu kuna mstari gani kwenye bibilia uliohalalisha mle nguruwe uweke hapa tuone.
 
Kwa nini unachagua mengine na mengine unaacha?

Yote hayo ni ya kwenu, na hayo ni sehemu ya mafundisho yenu. Be proud of your religion.
Why shouldn't I be proud of my religion?

Hizo nilizokutajia hapo ndizo nguzo zinazoujenga Uislamu, ambazo Muislamu anawajibika kuzitekeleza.
 
Hilo la walokole nawaachia wenyewe.

Ila sisi waislamu tupo katika haqi(kweli) sasa kwa nini tusijiamini? na nini kingine baada ya haqi isipokuwa batili?

Au ulitaka tusemaje?

Haqi(kweli) haichangamani na batili.
Haki ipi,ya kuua wasio waislam au ya kuleta machafuko duniani, Kila sehem hamna amani ni nyie
 
Hilo la walokole nawaachia wenyewe.

Ila sisi waislamu tupo katika haqi(kweli) sasa kwa nini tusijiamini? na nini kingine baada ya haqi isipokuwa batili?

Au ulitaka tusemaje?

Haqi(kweli) haichangamani na batili.
Haki ipi wakat mmepotea, haki ya kuua non Muslim au ya kufanya UGAID n achuki zilizowajaa, nyie upendo zero hata wenyew Kwa wenyew hampendanndo maana machafuko huko kwenu
 
Back
Top Bottom