Waislamu sikukuu ya mwaka mpya sio yenu, mligomea xmas na hii mtuachie wakristo

Waislamu sikukuu ya mwaka mpya sio yenu, mligomea xmas na hii mtuachie wakristo

Bwana mdogo hapa huna hoja?

Kwanini hamusherekei xmass lakini mwakampya mnatusumbua mtaani kwa kupiga baruti na mikesha?
Dini inawaruhusu?
Sherehekea kwa kujilinda usijelishwa kitimoto
Sikukuu ya Xmass na Mwaka mpya ni kwa wenye upeo kama wako, kwangu kila siku ni siku mpya na siku yangu Kuu ni ijumaa tu
 
Muislam alie soma dini yake hawezi kusherehekea sherehe zenu za kidini hata chakula chenu haruhusiwi kula.

Na muislamu aliyesoma dini yake anatakiwa awaue makafiri (wasio dini yake) duniani mwenye haki ya kuishi ni muislamu tu!

Inawezekana dunia ingekuwa ni sehemu salama bila u-islam kuexist.
 
Heri ya sikukuu ya mwakampya kwa wakristo wote

Waislamu wengi husherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Kidunia (Januari 1), ingawa sherehe hii si ya kidini kwao. Kwa Waislamu, mwaka mpya huadhimishwa kulingana na kalenda ya Kiislamu (Hijria), ambapo mwaka mpya wa Kiislamu huangukia katika mwezi wa Muharram, na sio Januari. Hivyo, Waislamu hawashereheki Sikukuu ya Krismasi (Xmas) wala Mwaka Mpya wa Kidunia kama sherehe za kidini.

Hapa ndipo waislamu hasa waswahili hujisahaulisha kwamba na wao wanahusika na mwaka mpya wa kikristo ilihali waligomea krismasi

Wengi wa Waislamu hushiriki katika sherehe za Mwaka Mpya wa Januari 1 kwa kusherehekea na jamii nyingine, kwa kufanya matukio ya kijamii kama vile kula pamoja, kwenda matembezini, au kuungana na familia na marafiki kinyume na dini yao kwa kuutambua mwaka mpya unaoanza januari, na sio kutokana na umuhimu wa kidini wa sherehe hiyo kwa Waislamu.


Hivyo, tunaomba ndugu waislamu mtuachie sikukuu yetu hii tupike vyakula vyetu kitimoto ikijumuishwa na kunywa vinywaji vya kila aina.

Happy new year, 2025.
Ongeza na Wasabato
 
Nakazia tu. Kalenda ya kanisa inasemaje.
1000083574.jpg
 
Back
Top Bottom