waislamu tunadai nini kwenye katiba mpya?
waislamu sehemu mbali mbali nchini wamekuwa wakiliuliza jukwaa kuhusu ni yepi madai ya waislamu katika utoaji maoni yatakayokusanywa na tume? Yafuatayo ni baadhi ya madai yetu ya msingi kabisa na mengine mtaarifiwa baadae kupitia makongamano na vikao husika;-
haya ndiyo baadhi ya madai yetu katika mchakato wa katiba. Waislamu tudai madai haya na hayo mengine tutakayoyatoa.
- mahakama ya kadhi iwepo nchini na iwekwe kwenye katiba .
- usekula wa dola ufafanuliwe maana kimaneno nchi haina dini lakini katika utendaji wa serikali nchini kama vile kuna dini inayopewa kipaumbele.
- uhusiano wa kimataifa tanzania ijiunge na oic vinginevyo uhusiano na vatican pia uvunjike.
- uhuru wa ibada utambuliwe (hivi sasa kuna uhuru wa imani na si uhuru wa ibada kwani waislamu wanapotekeleza baadhi ya ibada wanabughudhiwa. Mfano, kusali sala tano kwa wanafunzi, maaskari na wafanyakazi, uvaaji wa hijabu, ufugaji ndevu, bunge kuendelea siku za ijumaa, mitihani kufanyika siku za sikukuu za idi n.k.)
- haki za kimakundi ziainishwe, zitambuliwe na zitiwe katika katiba.
- sheria za kiislamu zitambuliwe na ziheshimiwe. Sheria za kiislamu za ndoa, mirathi na talaka na haki za wanawake ziheshimiwe.
- siku za mapumziko zizingatie imani za dini na siyo wakristo peke yao (jumamosi wasabato, jumapili madhehebu mengine ya wakristo).
- ubaguzi wa kidini unaofanywa na serikali usiwepo. Mfano, serikali kuingia mikataba ya kutoa pato la taifa kwa wakristo kupiti mou.
Imetolewa na;
sheikh muhammad issa
source
jukwaa la waislamu
hizi hospitali za kidini ambazo zipo katika uendeshwaji pamoja na serikali sio kwamba haziwezi kujiongoza hata leo hii. KWANZA UELEWE KUWA, WAGONJWA PALE NI WAISLAM, WAKRISTO NA WATU WOTE, UGONJWA HAUCHAGUI. serikali yenyewe ndo iliwaomba mashirika ya dini ili kwamba itie mkono pale huduma zipungue garama kwasababu serikali haina pesa kujenga mahospitali kila eneo...hivyo ni kwamba wamesubsdise ili wewe na watoto wako wakiislam pia wapate huduma ya chini...kama wewe unaona si vyema kufanya hivyo, andamana hata leo hii kwamba mahospitali na shule hizi zirudishwe kwa makanisa...ili serikali ijenge yao..hapo utalipa garama kubwa sana na ushungi'/kanzu yako utakapoumwa na kuisogelea hospitali hizo...kwasababu huja jinsi, mashehe wako hawajengi shule na hospitali zaidi yakufuga majini na kuroga watu..na kuuza madawa ya kienyeji.....uelewa wenu wote mnauacha kule maka, na misikitini, mkirudi mtaani huwa makopo kabisa...Hospitali ya bugando 90% ya uendehsaji wake unatoka serekalini,wauguzi,madaktari,wafagiaji,madawa,ujenzi,na nk, vyote hivyo vipo chini ya serikali na hapo ni kodi ya watanzania wote bila kujali ni mkristo,muislamu,mpgani,mhindu,nk. na mgonjwa akifika pale hatibiwi bure kuna gharama ambazo baadhi ya watu hushindwa kuzilipa na kudiliki kupita ktk nyumba za ibada hasa misikitini ili kuweza kupata fedha za kulipa hgalama hizo, SUALI, JE FAIDA YA MAPATO YA HOSPITALI HIYO HUINGIA KANISANI AU SEREKALINI?JE SERIKALI HAIWEZI KUJENGA HOSPITALI ZAKE AU KUPANDISHA BAADHI YA HOSPITAL ZA MIKOA KUWA RUFAA?JE MABILIONI YA FEDHA YANAYOPELEKWA HUKO NI YA WAKRISTO PEKEE?
waislamu tunadai nini kwenye katiba mpya?
waislamu sehemu mbali mbali nchini wamekuwa wakiliuliza jukwaa kuhusu ni yepi madai ya waislamu katika utoaji maoni yatakayokusanywa na tume? Yafuatayo ni baadhi ya madai yetu ya msingi kabisa na mengine mtaarifiwa baadae kupitia makongamano na vikao husika;-
haya ndiyo baadhi ya madai yetu katika mchakato wa katiba. Waislamu tudai madai haya na hayo mengine tutakayoyatoa.
- mahakama ya kadhi iwepo nchini na iwekwe kwenye katiba .
- usekula wa dola ufafanuliwe maana kimaneno nchi haina dini lakini katika utendaji wa serikali nchini kama vile kuna dini inayopewa kipaumbele.
- uhusiano wa kimataifa tanzania ijiunge na oic vinginevyo uhusiano na vatican pia uvunjike.
- uhuru wa ibada utambuliwe (hivi sasa kuna uhuru wa imani na si uhuru wa ibada kwani waislamu wanapotekeleza baadhi ya ibada wanabughudhiwa. Mfano, kusali sala tano kwa wanafunzi, maaskari na wafanyakazi, uvaaji wa hijabu, ufugaji ndevu, bunge kuendelea siku za ijumaa, mitihani kufanyika siku za sikukuu za idi n.k.)
- haki za kimakundi ziainishwe, zitambuliwe na zitiwe katika katiba.
- sheria za kiislamu zitambuliwe na ziheshimiwe. Sheria za kiislamu za ndoa, mirathi na talaka na haki za wanawake ziheshimiwe.
- siku za mapumziko zizingatie imani za dini na siyo wakristo peke yao (jumamosi wasabato, jumapili madhehebu mengine ya wakristo).
- ubaguzi wa kidini unaofanywa na serikali usiwepo. Mfano, serikali kuingia mikataba ya kutoa pato la taifa kwa wakristo kupiti mou.
Imetolewa na;
sheikh muhammad issa
source
jukwaa la waislamu
[h=2]Waislamu Tunadai nini Kwenye Katiba Mpya?[/h]Waislamu sehemu mbali mbali nchini wamekuwa wakiliuliza Jukwaa kuhusu ni yepi madai ya waislamu katika utoaji maoni yatakayokusanywa na tume? Yafuatayo ni baadhi ya madai yetu ya msingi kabisa na mengine mtaarifiwa baadae kupitia makongamano na vikao husika;-
Haya ndiyo baadhi ya madai yetu katika mchakato wa katiba. Waislamu tudai madai haya na hayo mengine tutakayoyatoa.
- Mahakama ya Kadhi iwepo nchini na iwekwe kwenye katiba .
- Usekula wa dola ufafanuliwe maana kimaneno nchi haina dini lakini katika utendaji wa serikali nchini kama vile kuna dini inayopewa kipaumbele.
- Uhusiano wa kimataifa Tanzania ijiunge na OIC vinginevyo uhusiano na Vatican pia uvunjike.
- Uhuru wa ibada utambuliwe (hivi sasa kuna uhuru wa imani na si uhuru wa ibada kwani waislamu wanapotekeleza baadhi ya ibada wanabughudhiwa. Mfano, kusali sala tano kwa wanafunzi, maaskari na wafanyakazi, uvaaji wa hijabu, ufugaji ndevu, bunge kuendelea siku za ijumaa, mitihani kufanyika siku za sikukuu za Idi n.k.)
- Haki za kimakundi ziainishwe, zitambuliwe na zitiwe katika katiba.
- Sheria za Kiislamu zitambuliwe na ziheshimiwe. Sheria za Kiislamu za ndoa, mirathi na talaka na haki za wanawake ziheshimiwe.
- Siku za mapumziko zizingatie imani za dini na siyo wakristo peke yao (Jumamosi Wasabato, Jumapili Madhehebu mengine ya Wakristo).
- Ubaguzi wa kidini unaofanywa na serikali usiwepo. Mfano, serikali kuingia mikataba ya kutoa pato la taifa kwa wakristo kupiti MoU.
Imetolewa na;
Sheikh Muhammad Issa
source
jukwaa la waislamu
Ni kweli lkn kwa nini haya yapo? Na kwa nini wengine wakose? Na wengine wapate? Suala la udini tanzania liliasisiwa mwl.nyerere na ndiyo maana waislam wanatakakulifuta.je wajua chanzo cha kuwepo mapumziko siku ya jumamosi na jumapili.
"no right to say without research"
Mimi kwanza naamini kuwa mpaka mtu amejiunga na mtandao makini kama Jamii Forums atakuwa angalau ana elimu ya msingi kabisa ambayo ni ya sekondari. Kwa hawa jamaa kuleta hoja kama hii inaonyesha kuwa elimu yao haiwasaidii kabisa. Dunia nzima inajua kuwa WAKRISTU WANA KATIBA YAO, BIBLIA NA WAISLAM WANAKATIBU YAO, KURAN TUKUFU. Tunatafuta hapa sasa ni katiba ya KISERIKALI NA WALA SI YA KIDINI. Watanzania tuamke tusonge mbele. Watu wa DINI wapo wataendesha mambo yao na sisi tusio wa dini tuendelee mbele na katiba yetu ya TANZANIA. Tuache UDINI, TUJENGE NCHI.
hizi hospitali za kidini ambazo zipo katika uendeshwaji pamoja na serikali sio kwamba haziwezi kujiongoza hata leo hii. KWANZA UELEWE KUWA, WAGONJWA PALE NI WAISLAM, WAKRISTO NA WATU WOTE, UGONJWA HAUCHAGUI. serikali yenyewe ndo iliwaomba mashirika ya dini ili kwamba itie mkono pale huduma zipungue garama kwasababu serikali haina pesa kujenga mahospitali kila eneo...hivyo ni kwamba wamesubsdise ili wewe na watoto wako wakiislam pia wapate huduma ya chini...kama wewe unaona si vyema kufanya hivyo, andamana hata leo hii kwamba mahospitali na shule hizi zirudishwe kwa makanisa...ili serikali ijenge yao..hapo utalipa garama kubwa sana na ushungi'/kanzu yako utakapoumwa na kuisogelea hospitali hizo...kwasababu huja jinsi, mashehe wako hawajengi shule na hospitali zaidi yakufuga majini na kuroga watu..na kuuza madawa ya kienyeji.....uelewa wenu wote mnauacha kule maka, na misikitini, mkirudi mtaani huwa makopo kabisa...
Mngefanya la maana kama mngedai kuruani iandikwe kwa kiswahili!!!!
ukiamua kuingia jf uwe tayari kuwa wazi na usionekane mtu anayetafuta huruma ya watu hapa. Me binafsi sina ugomvi na kikundi cha watu wa imani fulani kutaka nini kiwemo kwenye katiba ili mambo yao yaweze kwenda. Lakini tukumbuke katiba siyo ya dini fulani wala ya kikundi kidogo cha watu wanaohitaji matakwa yao yaingizwe ili waishi vizuri. Tukiuchukulia mchakato wa katiba kwa mtazamo huu hatuwezi kupata katiba ambayo italijenga taifa, ila makundi ya watu. Kwa mfano, ccm wana mambo yao ambayo wangelipenda yawemo kwenye katiba ili waendelee kubakia madarani milele daima, chadema nao wana yao ambayo wanapenda yaingie ili washike dola, cuf tayari walishawasilisha mswada wa katiba, siyo mawazo...no mswada wa katiba kwenye wizara ya sheria na katiba. Vivyo hivyo nccr, tadea, tlp, adc, wakatoliki, waanglikana, wasabato, aic, tag, full gospel bible fellowship, waalimu, madaktari, wabunge, wakulima, wafugaji, machinga, mama lishe na kila aina ya kundi ambalo unalifahamu.
Sasa fikiria tukigawanyika katika makundi haya na kila kundi likaainisha mahitaji yake na ndiyo kikawa kilio chao....tutapata katiba ya aina gani? Hapo kutakuwa na katiba kweli au utakuwa utani tunaleta. Maana kwenye madai ya waislamu haujasema kuwa umiliki wa ardhi, matumizi mazuri ya rasilimali, madaraka ya rais, tume huru ya uchaguzi, muundo wa muungano, muundo wa serikali, serikali iwe na wizara ngapi za kudumu na ukomo uwe wizara ngapi, kama ni muhimu kuwa na wakuu wa wilaya, das, ras, na wakurugenzi katika eneo moja la kufanyia kazi, vipi haki za watoto, na mengine mengi ya msingi. Haya hayahusiani na kundi lolote miongoni mwa makundi ambayo nimeyataja hapo juu. Tukisema kila mmoja alizungumzie kundi lake, nani atazungumzia masuala ya kitaifa kama ambayo nimeyaainidha kwa herufi kubwa hapo juu. Hauoni kuwa tutakuwa hatulitendea haki taifa letu?
Hivi waislamu mkipewa mahakama ya kadhi ndiyo kero zenu zitaisha? Tanzania ikijiunga na oic, muislamu wa kagera na kigoma vijijini wananufaika nini na oic? Au ni ulaji wa mashekh tu? Na najiuliza kama mtaruhusiwa kupumzika na kutokufanya kazi siku ya ijumaa kero zinakuwa zimeisha? Mbona mimi mkristu jumapili napiga kazi kama kawaida? Dini ni mapokeo tu...hapo awali kabla ya waarabu na wazungu hatukuwa na ijumaa, jumamosi wala jumapili, tulikuwa tunafanya kazi kila siku za juma na mambo yetu yalikuwa safi kuliko hata sasa ambapo tunajifanya watu wa mungu ilihali hatuzifuati amri zake...nini dini bwana? Angalia nchi ambazo zimejipambanua kuwa za kidini, iraq, iran, libya, na sasa sudan kaskazini, yemen, syria, afghanstan na nyingine nyingi, mambo siyo shwari huko...kila siku watu wanakufa kama mbwa...!
Nashauri...tuangalie na tuchangie mambo ya msingi kwenye tume ya katiba. Tukileta mambo ya udini, wengine wataleta mambo ya ukanda, tutafika mbali na kuleta mambo ya ukabila ya ukijiji, hatutabaki salama. Tuzungumzie mambo ambayo yanatufanya kuwa wamoja kama watanzania. Dini kila mtu ana yake na wengine hawana kabisa na wanaishi, tena maisha mazuri bila stress, dini zenyewe za sasa, wachungaji, mapadri na mashehe wamekuwa wachumia tumbo...hakuna lolote...
Mwalimu nyerere alisema, najua utapinga kwa sababu wewe muislamu...."hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya ubaguzi. Haiishi tu kusema wewe ni mkristo na mimi ni muislamu. Ukimaliza kusema mimi mtanganyika na wewe mzanzibar, tukifika pemba tutasema wewe mpemba na mimi muunguja, huku bara tutasema wewe wa kaskazini na mimi wa kusini, hata kwenye dini, leo unajiita muislamu na kuwaorganize waislamu mambo yenu...siku yakitokea ya kutokea, utasema wewe mshiha...na mimi msuni...wewe muislamu wa tabora na mimi wa mwanza....hadi makanisani....wote ni wakristo...lakini tutasema wewe mkatoliki, na mimi mlutheri...tutabaguana hadi kwenye familia zetu, na tukicheza na dhambi hii, tutaanza kubagua hadi viungo vya miili yetu....wewe mkono wa kushoto na wewe wa kulia." dhambi ya ubaguzi siyo nzuri...
Maji yanatuunganisha wote, maliasili zetu kama misitu, wanyama, madini, gesi, mafuta na makaa ya mawe yanatuunganisha wote kama watanzania. Tukipata katiba nzuri yenye mgawanyo mzuri wa madaraka, kupunguza madaraka ya rais, kuunda tume huru ya uchaguzi kuondoa wakuu wa wilaya, kutengeneza serikalil za majimbo, wote waislamu na wakristo tutafaidika na haya mambo...siyo habari za mahakama za kadhi, kuvaa hijabu, kuabudu...haya nimapokeo tu, yajadiliwe misikitini yaishie huko...sasa tukifikia kuweka kwamba sasa kuvaa hijabu ruksa...kwenye katiba, inakuwa nchi ya kiislamu sasa. Au tuseme sasa mahakama ya kadhi hiyo, serikali itagharamia....na wakristo wakidai yao....? Nani atasema serikali haina dini tena? Tuache hii mambo....asante, naamini utakuwa umenielewa vyema.
Together we can bring the changes we need...yes we can...tuache udini...tanzania mbele kama tai...mengine yanafuata.....
hizi hospitali za kidini ambazo zipo katika uendeshwaji pamoja na serikali sio kwamba haziwezi kujiongoza hata leo hii. KWANZA UELEWE KUWA, WAGONJWA PALE NI WAISLAM, WAKRISTO NA WATU WOTE, UGONJWA HAUCHAGUI. serikali yenyewe ndo iliwaomba mashirika ya dini ili kwamba itie mkono pale huduma zipungue garama kwasababu serikali haina pesa kujenga mahospitali kila eneo...hivyo ni kwamba wamesubsdise ili wewe na watoto wako wakiislam pia wapate huduma ya chini...kama wewe unaona si vyema kufanya hivyo, andamana hata leo hii kwamba mahospitali na shule hizi zirudishwe kwa makanisa...ili serikali ijenge yao..hapo utalipa garama kubwa sana na ushungi'/kanzu yako utakapoumwa na kuisogelea hospitali hizo...kwasababu huja jinsi, mashehe wako hawajengi shule na hospitali zaidi yakufuga majini na kuroga watu..na kuuza madawa ya kienyeji.....uelewa wenu wote mnauacha kule maka, na misikitini, mkirudi mtaani huwa makopo kabisa...
Waelimishe kaka! Ila hapo mwisho umemchana sana,mpaka damu zinatoka?
..hoja maskini hio? na haiendani na hoja ya mahakama ya kadhi/kiislamu, hospital inatibu kila mtu bila kujali rangi au dini hata jinsia, je hio mahakama ya kadhi inahudumia nani? yaani hapo ndugu zangu hamtoki na haitawezekana kabisaaaHospitali ya bugando 90% ya uendehsaji wake unatoka serekalini,wauguzi,madaktari,wafagiaji,madawa,ujenzi,na nk, vyote hivyo vipo chini ya serikali na hapo ni kodi ya watanzania wote bila kujali ni mkristo,muislamu,mpgani,mhindu,nk. na mgonjwa akifika pale hatibiwi bure kuna gharama ambazo baadhi ya watu hushindwa kuzilipa na kudiliki kupita ktk nyumba za ibada hasa misikitini ili kuweza kupata fedha za kulipa hgalama hizo, SUALI, JE FAIDA YA MAPATO YA HOSPITALI HIYO HUINGIA KANISANI AU SEREKALINI?JE SERIKALI HAIWEZI KUJENGA HOSPITALI ZAKE AU KUPANDISHA BAADHI YA HOSPITAL ZA MIKOA KUWA RUFAA?JE MABILIONI YA FEDHA YANAYOPELEKWA HUKO NI YA WAKRISTO PEKEE?