Waislamu Tunadai nini Kwenye Katiba Mpya?

nilikuwa najiandaa kukujibu. lakini mungu kanijaliaaa nimeupia jicho avatar na jina lako. nikaona nimeshajiridhisha kuwa wewe ni mtu wa aina nani. . so bro try smthing else hakuna mashiko kwenye hizo ngonjera.. watu tuko bize mlangoni tunawaasubiri mawaziri watimulie na mkulu naye asepe. hiyo yako hadithi ya kale. ukiazna kusimulia tu wasikilizaji wanaendelezea wenyewe.
 

vatican ni ya wakatoliki kunguru na wala si ya wakristo kama unavyodai. Ukilitaka hili lienende katika usawa kila dhehebu litakuwa na mshirika wake na mwisho wa siku yaweza kuwa chaos.
 
Du!! NAWAONEA HURUMA WALIOTEULIWA KUKUSANYA MAONI. Kama thinking ni hii basi sijui nani ataongelea national issues.

Lakini nisaidieni, mie kumbukumbu yangu ni kuwa vyama vya wafanyakazi ndio walioomba siku ya Jmosi kusiwe na kazi ili waweze angalau mwenye ka mradi kake kama shamba, mifugo n.k apate nafasi ya kuvisimamia na wala sio serikali kutoa kwa sympathy ya Wasabato. Hata hivyo sehemu nyingi ukiacha serikalini Jmosi ni siku ya kazi.

Lakini pia suala la Mou mbona Rais alilitolea ufafanuzi wa kutosha? Hivi MoU ni jambo la kudumu? hivi siku serikali ikijitoa mtadai nini? Aliwaambia kuwa nanyi ombeni muanishe huduma za jamii ambazo hazifungamani na dini yoyote, unapolidai hapa kana kwamba umekatazwa una maana gani? Hii inaonyesha namna ubishi/ wivu/ ulevi wa imani na kutokuwa makini vinayosumbua wengi. Aliyaeleza yote mbele ya baraza la Idd

Kama huamini nenda katika hospitai yoyote inayomilikiwa na kanisa uone kama utaulizwa dini yako ndo uhudumiwe.

Suala la Vatican: Hivi tukiwa na uhusiano na OIC na baaye kwa sababu zozote tukavunja uhusiano wa kibalozi na Vatican, mtakuwa radhi Uhusiano wa OIC ufe eti kwa sababu Vatican imevunja uhusiano? kuwepo kwa A kunategemeana na kuwepo kwa B? Tuna uhusiano na nchi nyingi za Islamic state huko nako hampati misaada ya kutosha mpaka sasa akili zote ziko OIC? Mbona mnataka kutuletea akili za utegemezi? Yaani unajiunga upate msaada/ mkopo basi? Tuna issue ya EAC ambapo tunaweza kupata fursa za kupanua wigo wa masoko na ajira , mbona akili haiwatumi huko? Yaani ukiona caption ya "islamic" mahali basi akili yote inahama unafikira hela ya mafuta na misaada

Suala la ibada: Hapa naona umelishwa sumu tu ya chuki. Serikalini na hata mashirika ya Umma, wanaotaka kwenda sala ya ijumaa wanaenda bila kubughudhiwa na hata nilipokuwa naongea na rafiki yangu akitoka msikitini akaniambia kuwa wameamriwa na Quran kuwa baada ya ibada watawanyike wakajitafutie riziki. University of DSM niliwahi kufanya mtihani jumapili mara nyingi tu.

Mahakama ya kadhi: Unadai kitu ambacho hujazuiwa kufanya, maajabu haya.
 
hizi hospitali za kidini ambazo zipo katika uendeshwaji pamoja na serikali sio kwamba haziwezi kujiongoza hata leo hii. KWANZA UELEWE KUWA, WAGONJWA PALE NI WAISLAM, WAKRISTO NA WATU WOTE, UGONJWA HAUCHAGUI. serikali yenyewe ndo iliwaomba mashirika ya dini ili kwamba itie mkono pale huduma zipungue garama kwasababu serikali haina pesa kujenga mahospitali kila eneo...hivyo ni kwamba wamesubsdise ili wewe na watoto wako wakiislam pia wapate huduma ya chini...kama wewe unaona si vyema kufanya hivyo, andamana hata leo hii kwamba mahospitali na shule hizi zirudishwe kwa makanisa...ili serikali ijenge yao..hapo utalipa garama kubwa sana na ushungi'/kanzu yako utakapoumwa na kuisogelea hospitali hizo...kwasababu huja jinsi, mashehe wako hawajengi shule na hospitali zaidi yakufuga majini na kuroga watu..na kuuza madawa ya kienyeji.....uelewa wenu wote mnauacha kule maka, na misikitini, mkirudi mtaani huwa makopo kabisa...
 



kial ukilala ukiota lazima uje na utumbo km huu......jipange namna ya kujenga shule, hospitali, barabara na huduma zingine za jamii km wafanyavyo wakristo na utapata thawabu kwa allah wako........
Hivi umewahi kujiuliza au kuuliza au hata kusearch kwenye google "the smallest country in the world "ni ipi?....utaambiwa vatican is the smallest country............katiba haihusiani na dini yoyote...kupumzika jumapili na jmosi kuwa siku fupi ni siku za dunia nzima hata uarabuni iko hivyo..............km tz haiwafai waislamu mi nawashauri wahamie uarabuni au kwingineko kwenye utumbo km huo hapa tz hatutaki mambo ya dini kuendeshwa na serikali....
 
mnadai wali....kipunga au?....mkitandika mkeka na kuanza kuuviringisha kwenye mikono kuubugia kwenye mdogo....unasahau hadi kuswali...hahaha. kalagabaho.
 

Mngefanya la maana kama mngedai kuruani iandikwe kwa kiswahili!!!!
 

Correction: "No right to SPEAK without research"
 

Ebhana eeh! Waambie hawa watu,yaani wao wakilala,wakiamka ni mahakama ya kadhi,ooh! Sijui wakristo wanapendelewa na kashfa nyingine kama hizo. Wajadili mada za kuleta maendeleo ktk nchi.
 


duh bora umewachana live bana...
mimi furahi sana
hope wkend yangu itakua njemaaaa
 


hawa waislamu wana uwezo mdogo sn wa uelewa na ndiyo maana wanafeli sana....inawezekana haya maelezo pia wasiyaelewe
 

Waelimishe kaka! Ila hapo mwisho umemchana sana,mpaka damu zinatoka?
 
Waelimishe kaka! Ila hapo mwisho umemchana sana,mpaka damu zinatoka?

lakini amesema kweli, inakuwaje hospitali zinatibu watu wote, lakini wao wanaotibiwa wanapinga huduma zisiwe supported...inakuja akili ni kweli? kwani hospitali huwa zinatibu wakristo tu? mbona hakuna vitambulisho vya kuingilia hospitali vinavyowataka wakristo tu ndo waingie hospitalini humo? akili au matope haya?
 
hawa jamaa, wakienda maka na msikitini, wakirudi mtaani wamebaki makopo, akili zote wameacha kule msikitini. argument zao unaweza fikiri ni za mwanadamu wa karne ya kumi na nane. punguani si punguani...kuanzia mashehe wao hadi mfagia msikiti.
 
jamani hatupumuziki jumamosi kwa sababu siku zakusali hapana ila duniani kote tuna fahamu hizi ni weekend
 
..hoja maskini hio? na haiendani na hoja ya mahakama ya kadhi/kiislamu, hospital inatibu kila mtu bila kujali rangi au dini hata jinsia, je hio mahakama ya kadhi inahudumia nani? yaani hapo ndugu zangu hamtoki na haitawezekana kabisaaa
 
That altitude ndo itakayoibomoa Tanzania Wakritu or Waislamu wote ni wa Tanzania those claim kwamba wanaonewa si kweli hebu jiisolate wewe kama wewe lini ulibaguliwa kwasababu ya imani yako?au ulinyimwa haki yako kwasababu ya imani yako?Haya maneno ya mtaani ya mtu akijiskia whether iwe kwa wivu au otherwise ndo yanajenga uncessesary chuki!!!
 
Jamani mtoto aache shule aende msikitini? Tena mara tano! Basi alama za ufaulu zipunguzwe kwa waislamu. Ndiyo maana zanzibar wanafeli sana!!!!!!! Kwani akiinama kwenye dawati na kumshukuru Mungu wake hatamsikia? Jumamosi na jumapili anaendelea na zake tano. Pia mnataka ijumaa isiwe siku ya kazi? Tufanye kazi siku nne tu? Mkifanya ijumaa na wakati wa msikitini mkienda msikitini hamuingii mbinguni? Hapa kuna dalili za uvivu. Nchi hii hata ingekuwa ya kiislamu madai yenu yasingeisha
 
Naogopa sana kuchangia kwenye mada kama hii, maana naweza kula ban ya maisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…