Waislamu tuwe makini tujiepushe na propaganda za wasiokuwa Waislamu dhidi ya madrasa na watoto wetu kwenye madrasa

Waislamu tuwe makini tujiepushe na propaganda za wasiokuwa Waislamu dhidi ya madrasa na watoto wetu kwenye madrasa

Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa
Usisikilize majitu majinga yakakutoa kwenye reli infact unatakiwa uwaeleweshe kwa lugha ya staha na watakuelewa tu.
 
Mkiacha kuwanyanyasa wanawake na mkiifuta hii mistari mibaya kwa wanawake kwenye quran na vitabu vya hadith kama sahih bukhari , hapo mtakuwa na hoja
  • Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
  • Muhammad anawafananisha wanawake na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
  • Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4:20
  • Wanawake ni wenye upotovu kama mbavu. Ukijaribu kuwanyoosha, watavunjika. Hivyo, ikiwa unataka kunufaika nao, fanya hivyo wakiwa bado na upotovu wao. - Sahih al-Bukhari 7.62.114
  • Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani kwa waume zao - Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, ukurasa wa 644, aya ya pili
  • Wanawake wanalinganishwa na watumwa na ngamia - Hadithi 8.73.68 ya Bukhari
  • Kama mtu angeweza kusujudu mbele ya mwingine isipokuwa Allah, basi mwanamke angepaswa kumsujudia mume wake - Hadithi ya Abu Dawud 11.2135
  • Muhammad aliwachukulia wanawake kama uovu na alilinganisha ndoa na kununua mtumwa au ngamia - Abu Dawood, Kitabu cha 11, Namba 2155
  • Muhammad anawalinganisha wanawake na mashetani - Sahihi Muslim: Kitabu 008, Namba 3240
Kuna poits hapa zina maana sana na ni kweli.

Hiyo ya kwanza 100%

Ya nne 100%
 
Kumfundisha mtoto kuhusu dini moja tu pekee ni kumfanya radical tu na kumpumbaza kwa kumuaminisha mambo yasiyo na maana.

Inafaa mtoto ajue kwamba Kuna dini kibao duniani, na watu wanaamini vitu tofauti tofauti na wapo agnoatics, atheists n.k..
Hiyo sasa ndiyo elimu ya dini. Otherwise ni Sunday school, madrasa na vitu kama hivyo ni sehemu za kupumbaza watoto wasifikiri beyond walicholazimishwa kukariri.
Waislam wana Madra, je nyie Makafiri mnanini?
 
Video ya madrasaa imerekodiwa na muislam. Aliyepeleka habari polisi ni mzazi muislam. Wakristo au dini zingine zinaingiaje hapo? Accountability starts with you msipende kulalamikia wengine mambo yenu wakati wao hawana time na nyie.
 
Udini Hauna afya katika Karne hii ya sayansi na teknolojia
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
Wewe washauri waislam wenzeko bila kinyoshea vidole Imani nyingine maana aliyeenda kumshitaki huyo dogo ni mama wa mtoto ambaye ni muislam
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
Aliyerekodi video ni muislam mwenzenu, aliyeenda kushtaki ni muislam mwenzenu. Nani sasa unamlenga hapa?
 
Mkiacha kuwanyanyasa wanawake na mkiifuta hii mistari mibaya kwa wanawake kwenye quran na vitabu vya hadith kama sahih bukhari , hapo mtakuwa na hoja
  • Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
  • Muhammad anawafananisha wanawake na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
  • Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4:20
  • Wanawake ni wenye upotovu kama mbavu. Ukijaribu kuwanyoosha, watavunjika. Hivyo, ikiwa unataka kunufaika nao, fanya hivyo wakiwa bado na upotovu wao. - Sahih al-Bukhari 7.62.114
  • Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani kwa waume zao - Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, ukurasa wa 644, aya ya pili
  • Wanawake wanalinganishwa na watumwa na ngamia - Hadithi 8.73.68 ya Bukhari
  • Kama mtu angeweza kusujudu mbele ya mwingine isipokuwa Allah, basi mwanamke angepaswa kumsujudia mume wake - Hadithi ya Abu Dawud 11.2135
  • Muhammad aliwachukulia wanawake kama uovu na alilinganisha ndoa na kununua mtumwa au ngamia - Abu Dawood, Kitabu cha 11, Namba 2155
  • Muhammad anawalinganisha wanawake na mashetani - Sahihi Muslim: Kitabu 008, Namba 3240
Duhhh... 🙂🙂🙂🙂, kitabu cha wahuni hiki
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
Ukitaka mtoto wako ajifunze ushoga na umalaya, mpeleke madrasa
 
Yepi ambapo ktk ukiristo haupo

UISLAM NI DINI YA KUTUNGA NA HAIKUWEPO KABLA YA MUHAMMAD​


Hakuna mwanadamu ye yote kabla ya ujio wa Muhammad, ambaye aliwahi kuwa Muislamu, wala aliyewahi kuujua Uislamu, kama kuna Muislamu ambaye anaweza kunithibitishia kuwa, kuna mtu aliyewahi kuwa Muislamu, kabla ya Quran kuwepo, basi nitasilimu na kuwa Muislam:-
Angalizo :- Unapotoa ushahidi usitumie Quran, wala kitabu cho chote ambacho kimepatikana baada ya kuja Muhammad, bali nahitaji ushahidi katika vitabu vilivyokuwepo kabla ya Muhammad kuja na Quran, na usichukue matukio ambayo Muhammad ameyaiga kutoka kwa watu wa zamani, kama
a) Kutawadha.
b) kusujudu
c) Kuvaa kanzu
d) Nk.
Na kusema huo ndo uislamu, bali ukisema hivyo, basi uambatanishe na ushahidi kimaandiko, kutoka kwenye vitabu nje ya Quran, iliyokuja mwaka 610 baada ya Kristo, maandiko yasemavyo kuwa kusujudu, kuvaa kanzu, kutawadha ni uislamu, yakipatikana basi leo hii nitasilimu na kuwa muislamu!
ZINGATIA :- kama hautapata ushahidi wa uwepo uislamu au neno Uislamu (الإسلام) kwenye vitabu vilivyokuwepo kabla ya Quran, basi tambua kuwa umeongopewa kuwa, Uislamu upo tangu zamani za Adamu, maana haiwezekani, watu kama,
Adamu
Habil
Nuhu
Ibrahimu
Lutu
Sara
Ishamael - Ismail
Isaka - Is-haqa
Yakobo Yaqubu
Yusufu
Yunusi -Yona
Musa
Haruni
Daudi
Suleiman
Eliya - Ilyasa
Zakaria
Yahya - Yohana
Yesu,
Wasijitambue kuwa wao walikuwa waislamu, mpaka waje kusemewa na Muhammad, mwaka wa 610. Zinduka, ujue kuwa Uislam ni dini bandia na haukuwepo kabla ya Muhammad.
#courtesy of aliyekuwa Ustadh Abel Suleiman Shiliwa ambaye sasa ni Mtumishi wa BWANA Yesu
 
Back
Top Bottom