Waislamu tuwe makini tujiepushe na propaganda za wasiokuwa Waislamu dhidi ya madrasa na watoto wetu kwenye madrasa

Waislamu tuwe makini tujiepushe na propaganda za wasiokuwa Waislamu dhidi ya madrasa na watoto wetu kwenye madrasa

Mkiacha kuwanyanyasa wanawake na mkiifuta hii mistari mibaya kwa wanawake kwenye quran na vitabu vya hadith kama sahih bukhari , hapo mtakuwa na hoja
  • Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
  • Muhammad anawafananisha wanawake na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
  • Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4:20
  • Wanawake ni wenye upotovu kama mbavu. Ukijaribu kuwanyoosha, watavunjika. Hivyo, ikiwa unataka kunufaika nao, fanya hivyo wakiwa bado na upotovu wao. - Sahih al-Bukhari 7.62.114
  • Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani kwa waume zao - Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, ukurasa wa 644, aya ya pili
  • Wanawake wanalinganishwa na watumwa na ngamia - Hadithi 8.73.68 ya Bukhari
  • Kama mtu angeweza kusujudu mbele ya mwingine isipokuwa Allah, basi mwanamke angepaswa kumsujudia mume wake - Hadithi ya Abu Dawud 11.2135
  • Muhammad aliwachukulia wanawake kama uovu na alilinganisha ndoa na kununua mtumwa au ngamia - Abu Dawood, Kitabu cha 11, Namba 2155
  • Muhammad anawalinganisha wanawake na mashetani - Sahihi Muslim: Kitabu 008, Namba 3240

Mkuu wewe ni mwanamme kweli?
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
Cha ajabu!
Hata haueleweki unamlalamikia nani kwa jina, asiye mwislamu anayepiga vita mfumo wa kuwaandaa watoto wenu kwa njia ya madrasa?

Kama issue ni ya zile mboko za mwalimu wa madrasa kuburuzwa kortini, hapa uwe mkweli.

Yawezekanaje mzazi asiye na mtoto madrasa akafanya hila hizo ulizozilalamikia?

Na je yawezekana mzazi wa mtoto aliyemburuza mwalimu kortini akawa siyo mwislam?

Liweke vizuri jambo hili ili ueleweke.
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
Madrasa sawa iia shule za elimu dunia kuingizwa mambo ya dini siyo sawa tena shule za serikali mambo ya hijabu ni kosa kubwa sana pia hayana faida yoyote zaidi ya kuligawa taifa ....toka hijabu ziingie mashuleni ndiyo kwanza umalaya umeongezeka kwa watoto wa kike
 
Ndio muwafundishe watoto karate na taikwondo?,ndivyo Qur'an inasema?
Kwani kuna tabu gani hapo,hayo ni mafunzo yakuuweka mwili vizuri (ukakamavu),yanaruhusiwa, mbona hata shule za kawaida yapo na hamsemi??,,hali kadhalika kulima,mchakamchaka,kuimba,kuruka kichura,kamba nk
 
Mkiacha kuwanyanyasa wanawake na mkiifuta hii mistari mibaya kwa wanawake kwenye quran na vitabu vya hadith kama sahih bukhari , hapo mtakuwa na hoja
  • Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
  • Muhammad anawafananisha wanawake na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
  • Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4:20
  • Wanawake ni wenye upotovu kama mbavu. Ukijaribu kuwanyoosha, watavunjika. Hivyo, ikiwa unataka kunufaika nao, fanya hivyo wakiwa bado na upotovu wao. - Sahih al-Bukhari 7.62.114
  • Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani kwa waume zao - Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, ukurasa wa 644, aya ya pili
  • Wanawake wanalinganishwa na watumwa na ngamia - Hadithi 8.73.68 ya Bukhari
  • Kama mtu angeweza kusujudu mbele ya mwingine isipokuwa Allah, basi mwanamke angepaswa kumsujudia mume wake - Hadithi ya Abu Dawud 11.2135
  • Muhammad aliwachukulia wanawake kama uovu na alilinganisha ndoa na kununua mtumwa au ngamia - Abu Dawood, Kitabu cha 11, Namba 2155
  • Muhammad anawalinganisha wanawake na mashetani - Sahihi Muslim: Kitabu 008, Namba 3240
KUHUSU WANAWAKE KUKOSA AKILI HASWA AKILI YA UONGOZI MWANAMKE YOYOTE HANA HIYO AKILI YA UONGOZI ...ANAWEZA KUWA NA AKILI ZINGINE ZOTE ILA SIYO AKILI YA UONGOZI .....HAPA NIPO PAMOJA HATA NA MUDI BOY
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
Kama Uislamu unategemea maandiko kwenye Biblia basi hizo madrasa zifutwe hazina maana yoyote😀😀😀😀
 
KUHUSU WANAWAKE KUKOSA AKILI HASWA AKILI YA UONGOZI MWANAMKE YOYOTE HANA HIYO AKILI YA UONGOZI ...ANAWEZA KUWA NA AKILI ZINGINE ZOTE ILA SIYO AKILI YA UONGOZI .....HAPA NIPO PAMOJA HATA NA MUDI BOY
Hizo zote zipo sahihi sema yeye kaziweka atakavyo
 
Back
Top Bottom