Israel keshasema hataka discussion na magaidi.Kama israel wasingefanya uzembe wa kumuua Sinwar, ilikua bonge moja la asset na ingebadilisha uelekeo wa vita hii.
Wangejaribu at least kumzoom vizuri wangemkamata akiwa hai(wao wakaona wapige 💣)kisha wakamtumia Kama King katika mazungumzo(draft) na Hamas.
Wakikubaliana wanamchoma sindano ya sumu ya kuua kidogo kidogo, kisha wanamwachia.
Kichwa cha sinwan thamani yake ilikua ni sawa na mateka wooote wa israel
ni kweli na hivi sasa mitandao yote duniani,inamzungumza sinwar tuSinwar kafa kifo cha kishujaa katika kupambania ardhi yake
Hivi akilipuliwa mwili ukawa majivu atakwendaje peponi?Muislamu akiwa mja mwema hata afe katika mazingira gani na bila kujali maiti imepatikana au haijapatikana na haijalishi amezikwa vipi atakwenda peponi tu.
Hayo ni mambo ya imani ukiamini sawa usipoamini unaacha ndiyo maana wapo wanaosema hakuna dini wala Mungu.Hivi akilipuliwa mwili ukawa majivu atakwendaje peponi?
Sema walioandaa hizi dini walitutapeli sana
Nakukumbusha mpwa alipokaa kwenye kijisofa chake akataka kutungua drone na gongo ila Sina Wali kwa utapeli kibokoKafa kifo cha kifala kabisa Tena cha aibu bora hata haniyer aliuliwa usingini, huyu fala kafa amekalia sofa kabisa
Unadhani hamas wajingaKama israel wasingefanya uzembe wa kumuua Sinwar, ilikua bonge moja la asset na ingebadilisha uelekeo wa vita hii.
Wangejaribu at least kumzoom vizuri wangemkamata akiwa hai(wao wakaona wapige 💣)kisha wakamtumia Kama King katika mazungumzo(draft) na Hamas.
Wakikubaliana wanamchoma sindano ya sumu ya kuua kidogo kidogo, kisha wanamwachia.
Kichwa cha sinwan thamani yake ilikua ni sawa na mateka wooote wa israel
Unatapeliwa mwenyewe wala hutapeliwi na mtu mwisho wa siku tutafufuliwa na kua wazima na hapa kila nafsi ama mtu atalipwa alokichuma huu mwili kama housing tu kwenye Simu ishu nafsi ndio inayotakiwaHivi akilipuliwa mwili ukawa majivu atakwendaje peponi?
Sema walioandaa hizi dini walitutapeli sana
Waislamu wa Hamas wafanya ibada ya mazishi ya Kiongozi wao aliyeuawa Sinwar bila maiti yake kuwepo je kiislamu iko sawa? Kufanya ibada ya mazishi bila mwili kuwepo? Wanazika hewa au? Halafu cheki huyo imamu alivyochachamaa utafikiri anazika kweli
View: https://youtu.be/pbK-wG0BtUQ?si=S2alI_a5UtX3l9r1
Kama israel wasingefanya uzembe wa kumuua Sinwar, ilikua bonge moja la asset na ingebadilisha uelekeo wa vita hii.
Wangejaribu at least kumzoom vizuri wangemkamata akiwa hai(wao wakaona wapige 💣)kisha wakamtumia Kama King katika mazungumzo(draft) na Hamas.
Wakikubaliana wanamchoma sindano ya sumu ya kuua kidogo kidogo, kisha wanamwachia.
Kichwa cha sinwan thamani yake ilikua ni sawa na mateka wooote wa israel
Sinwar kafa kifo cha kishujaa katika kupambania ardhi yake
Nyoo, Kifo ni Kifo tu!! Msijipe moyo na Aya zenuSinwar kafa kifo cha kishujaa katika kupambania ardhi yake
Mimi nina swali moja tu bwana; huyu msichana kwenye PD ndio wewe?Ipo sawa kabisa.
Huo ni utapeli wa kiwango cha kutisha.Waislamu wa Hamas wafanya ibada ya mazishi ya Kiongozi wao aliyeuawa Sinwar bila maiti yake kuwepo je kiislamu iko sawa? Kufanya ibada ya mazishi bila mwili kuwepo? Wanazika hewa au? Halafu cheki huyo imamu alivyochachamaa utafikiri anazika kweli
View: https://youtu.be/pbK-wG0BtUQ?si=S2alI_a5UtX3l9r1
Mimi nina swali moja tu bwana; huyu msichana kwenye PD ndio wewe?