Waislamu wa Hamas wafanya ibada ya mazishi ya Kiongozi wao aliyeuawa Sinwar bila maiti yake kuwepo. Je, kiislamu iko sawa?

Waislamu wa Hamas wafanya ibada ya mazishi ya Kiongozi wao aliyeuawa Sinwar bila maiti yake kuwepo. Je, kiislamu iko sawa?

Kama israel wasingefanya uzembe wa kumuua Sinwar, ilikua bonge moja la asset na ingebadilisha uelekeo wa vita hii.

Wangejaribu at least kumzoom vizuri wangemkamata akiwa hai(wao wakaona wapige 💣)kisha wakamtumia Kama King katika mazungumzo(draft) na Hamas.

Wakikubaliana wanamchoma sindano ya sumu ya kuua kidogo kidogo, kisha wanamwachia.

Kichwa cha sinwan thamani yake ilikua ni sawa na mateka wooote wa israel
Israel keshasema hataka discussion na magaidi.
 
20241017_163527.jpg

Maiti ya Gaidi la Hamasi hii hapa wakaichukue kama ni Wanaume,
CsNCf7cWcAElpbI.jpg
wanalialia nini?!
Ayatollah-Ali-Khamenei0601.jpg
 
Kama israel wasingefanya uzembe wa kumuua Sinwar, ilikua bonge moja la asset na ingebadilisha uelekeo wa vita hii.

Wangejaribu at least kumzoom vizuri wangemkamata akiwa hai(wao wakaona wapige 💣)kisha wakamtumia Kama King katika mazungumzo(draft) na Hamas.

Wakikubaliana wanamchoma sindano ya sumu ya kuua kidogo kidogo, kisha wanamwachia.

Kichwa cha sinwan thamani yake ilikua ni sawa na mateka wooote wa israel
Unadhani hamas wajinga
 
Hivi akilipuliwa mwili ukawa majivu atakwendaje peponi?

Sema walioandaa hizi dini walitutapeli sana
Unatapeliwa mwenyewe wala hutapeliwi na mtu mwisho wa siku tutafufuliwa na kua wazima na hapa kila nafsi ama mtu atalipwa alokichuma huu mwili kama housing tu kwenye Simu ishu nafsi ndio inayotakiwa
 
Kama israel wasingefanya uzembe wa kumuua Sinwar, ilikua bonge moja la asset na ingebadilisha uelekeo wa vita hii.

Wangejaribu at least kumzoom vizuri wangemkamata akiwa hai(wao wakaona wapige 💣)kisha wakamtumia Kama King katika mazungumzo(draft) na Hamas.

Wakikubaliana wanamchoma sindano ya sumu ya kuua kidogo kidogo, kisha wanamwachia.

Kichwa cha sinwan thamani yake ilikua ni sawa na mateka wooote wa israel

Halafu aanze upya mipango ya vita? Bora wammalize mazima.
 
Wote hao ni Waarabu, dini ni wao waliibuni, hivyo wafanye watakavyo, shida, ni pale muafrika ambaye hajawahi kutoka kitaa ila analazimisha watu kwenye hiyo dini ya muarabu.
 
Back
Top Bottom