Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Uarabuni wanamuhitaji Ronaldo kuliko yeye anavyoihitaji.Ronaldi anafata nini arabuni,waislam wa ulaya wanakula hadi kitimoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uarabuni wanamuhitaji Ronaldo kuliko yeye anavyoihitaji.Ronaldi anafata nini arabuni,waislam wa ulaya wanakula hadi kitimoto
Nimeona Waisilamu wa Albania bila Vodka na Minofu ya Nguruwe aliyenona hajisikii kama siku imeenda.Ronaldi anafata nini arabuni,waislam wa ulaya wanakula hadi kitimoto
"Decline of Christianity | Encyclopedia MDPI" Decline of ChristianityWeka hapa takwimu za Wazungu walio Wapagani nikuwekee za walio Wakristo
Eti hawawategemei kwa Ulinzi, mfumo wa Ulinzi wa Ulaya unawategemea Waarabu?
Watoto wa Ronaldo wanabonga kiarabu na kuvutiwa Sana na adhanaUarabuni wanamuhitaji Ronaldo kuliko yeye anavyoihitaji.
Jipe moyoMaelfu na Maelfu ya Raia wa Saudi Arabia wameachana na Dini ya Kiisilamu lakini wanafeki tu kwa kuogopa kuchinjwa.
Angalia latest stats ni asilimia ngapi ya raia wa marekani ni muslims , ni 1.34 %, most of them wakiwa blacks na immigrants. So bado sanaUlaya na marekani walishaachana na ukiristo,ni wapagani,halafu waislam hawawategemei wazungu kwa hayo,mwisho waarabu wanasilimisha wazungu huko ulaya na marekani, central London Mali nyingi ni za waislam,kwa hiyo tulia
Amefata pesa, tena mmemnunua wenyewe akawape ufundi wa jinsi mpira unachezwa ndani yake nyinyi eti mnavutia wataliiRonaldi anafata nini arabuni,waislam wa ulaya wanakula hadi kitimoto
Mnaonaga muislam akila nguruwe ni jambo kubwa,Ila akinywa pombe,kulewa na kamari ni jambo dogoNimeona Waisilamu wa Albania bila Vodka na Minofu ya Nguruwe aliyenona hajisikii kama siku imeenda.
nakuonyesha wazungu walikuwa waislam kabla ya vatikan kuharibu mamboUmejibu swali alilouliza au unafundisha historia?Bloody terrorist!
Ronaldo kafuata pesa ila uarabuni hawana shida na Ronaldo kihivyo.Uarabuni wanamuhitaji Ronaldo kuliko yeye anavyoihitaji.
Hao wamarekani ndiyo hawataki kabisa dini, ukiristo wameutupa kule,udwanzi wa Mungu kushuka kuvaa mwili wa kibinadam,asulubiwe ili kutuokoa wameona udwanziAngalia latest stats ni asilimia ngapi ya raia wa marekani ni muslims , ni 1.34 %, most of them wakiwa blacks na immigrants. So bado sana
Kwa hiyo inasaidia nini?Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGUNIA
Hiihii dini ya juzijuzi?Acha ukichaa basi.Ukristo ulikuwepo miaka na miaka Ulaya wewe unataka umdanganye nani sasa?nakuonyesha wazungu walikuwa waislam kabla ya vatikan kuharibu mambo
Unamaanisha kwa mwarabu na mwanake wa Syria mwislamu akibahatika kuingia Ulaya ni sawa na kumuona masihi Baba wa Amani??Sababu kuu zinazofanya waarabu kukimbilia hifadhi nchi za wazungu ni CIVILIZATION ukiachana na vijisababu vingine.
Jamii ya kiarabu ni uncivilized,mpaka sasa bado wana mila ama tamaduni za mfumo dume na kukandamiza wanawake.
Mfano mwanamke wa kiarabu kutwangwa magumi na mumewe kawaida ila Ulaya kosa la jinai.
Binti wa kiarabu akibakwa badala ya mbakaji ahukumiwe ila binti anazikwa akiwa hai eti kuikoa familia na fedheha na aibu.
Waarabu wana bado mila potofu wanaziishi hadi sasa.
Tafuta hata documentaries za vyombo vikubwa vya habari hasa uone wanawake wa Syria wanavyoona kama wameokoka kuja Ulaya,yote ni kwasababu ya POOR TABOOS za waarabu.
Waarabu bado HAWAJASTAARABIKA.
wakiristo bana, ndio hoja halafu utasikia huyo huyo maamake anasilimu lkumfata mume wa kiislam , anabaki kunyongenyea