Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Maelfu na Maelfu ya Raia wa Saudi Arabia wameachana na Dini ya Kiisilamu lakini wanafeki tu kwa kuogopa kuchinjwa.
75710665-12547317-image-a-42_1695340616598.jpg
 
Ulaya na marekani walishaachana na ukiristo,ni wapagani,halafu waislam hawawategemei wazungu kwa hayo,mwisho waarabu wanasilimisha wazungu huko ulaya na marekani, central London Mali nyingi ni za waislam,kwa hiyo tulia
Angalia latest stats ni asilimia ngapi ya raia wa marekani ni muslims , ni 1.34 %, most of them wakiwa blacks na immigrants. So bado sana
 
Ronaldi anafata nini arabuni,waislam wa ulaya wanakula hadi kitimoto
Amefata pesa, tena mmemnunua wenyewe akawape ufundi wa jinsi mpira unachezwa ndani yake nyinyi eti mnavutia watalii

Kwani warabu wa Kiislam wamenunuliwa huko au wamejipeleka kama wakimbizi?
 
Angalia latest stats ni asilimia ngapi ya raia wa marekani ni muslims , ni 1.34 %, most of them wakiwa blacks na immigrants. So bado sana
Hao wamarekani ndiyo hawataki kabisa dini, ukiristo wameutupa kule,udwanzi wa Mungu kushuka kuvaa mwili wa kibinadam,asulubiwe ili kutuokoa wameona udwanzi
 
Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGUNIA
Kwa hiyo inasaidia nini?
Walivamia hizo nchi na mwisho wa siku walipewa walichokitafuta. Kama vile leo Hamas wanavyopewa wanachokitafuta kwa Netanyahu
 
Sababu kuu zinazofanya waarabu kukimbilia hifadhi nchi za wazungu ni CIVILIZATION ukiachana na vijisababu vingine.
Jamii ya kiarabu ni uncivilized,mpaka sasa bado wana mila ama tamaduni za mfumo dume na kukandamiza wanawake.
Mfano mwanamke wa kiarabu kutwangwa magumi na mumewe kawaida ila Ulaya kosa la jinai.
Binti wa kiarabu akibakwa badala ya mbakaji ahukumiwe ila binti anazikwa akiwa hai eti kuikoa familia na fedheha na aibu.
Waarabu wana bado mila potofu wanaziishi hadi sasa.
Tafuta hata documentaries za vyombo vikubwa vya habari hasa uone wanawake wa Syria wanavyoona kama wameokoka kuja Ulaya,yote ni kwasababu ya POOR TABOOS za waarabu.
Waarabu bado HAWAJASTAARABIKA.
Unamaanisha kwa mwarabu na mwanake wa Syria mwislamu akibahatika kuingia Ulaya ni sawa na kumuona masihi Baba wa Amani??
 
Back
Top Bottom