Waislamu wa mji wa Dagestan nchini Urusi wavamia airport kuwasaka vyumbani wayahudi baada ya ndege kutua kutoka Israel

Waislamu wa mji wa Dagestan nchini Urusi wavamia airport kuwasaka vyumbani wayahudi baada ya ndege kutua kutoka Israel

Na ndiyo maana Jews waliyopo mataifa mengine wanaandamana dhidi ya kinachofanywa na serikali yao!

Israel inabidi ipambane na Hamas na si kuua raia wa Gaza. Leo wamelipua hospitali nyengine huko Gaza. Collective punishment zinakataliwa kimataifa kwani ni uhalifu. Anachoharibu Israel anaendelea kukomaa!

Sasa hapa anajitengenezea maadui wa namna mbili.
1)Uadui kwa wale wanaotizama huu mgogoro kwa nukta ya ubinadamu.
2)Uadui kwa wale wanaoutizama huu mgogoro kwa nukta ya jicho la kidini

Mazingira haya yote yatawapa wakati mgumu sana Wayahudi wenzao wanaoishi sehemu nyengine duniani.

Juzi kati hapa mmoja kaonekana akiwa na bendera yake ya Israel nchini South Africa raia wakata kumpiga kaokolewa na askari.
Hamas ndio wanatakiwa waondoke kwenye mashimo waende wakapigane na Israel wakomboe ardhi wanayodai waliporwa sasa badala yake wanajificha miongoni mwa raia, ni waoga kama fisi.
 
Waislam huwa wana akili za king'ombe ng'ombe kila sehemu. Sijui mafundisho yao yapoje, inaonekana ndo yanawaandaa kuwa hivi.

Kuna mgogoro wa kugombea msikiti huku kati ya bakwata na sijui istiqama, sijui iswat, akili zao nazo za hivihivi hadi wakiwa ndani ya msikiti kabisa wanatambiana kuuana wapate thawabu.

Wamevaa kanzu, kumbe kwa ndani wamebeba visu na mapanga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ama utarudishwa tena Mirembe pole sana
 
Askari wamekamata wafanya fujo hapo Makhachkala International Airport. Kwa sasa hali ni shwari
 
Hamas ndio wanatakiwa waondoke kwenye mashimo waende wakapigane na Israel wakomboe ardhi wanayodai waliporwa sasa badala yake wanajificha miongoni mwa raia, ni waoga kama fisi.
Pole sana
 
Hao sio waarabu, hao ni warusi wapo kwenye Nchi yao. Na wala si wahamiaji

Nikisema hivi haimaanishi nasupport walichofanya ila naweka Clear tu, kuwa wapo kwao.
na jamaa kazungumzia ulaya , waislam na waarab ni jamii ya watu wapumba hawajui kuchuja mambo , kama walivyoipokea hii bas bas kesho wataanza fany hivyo na kinachofuatia ni ban
 
Dunia imebadilika, miaka ya 1960's, 1970's, hadi 1990's na early 2000's dunia ilikuwa haioni kwa muda wote huo Palestinians wanapitia nini, media zilikuwa hazitoi habari zenye ukweli, baada ya mitandao ya kijamii kuwepo sasa hivi tukio likitokea Israel baada ya nusu saa dunia nzima imeona.

Watu wanafunguka na kufahamu ukweli, sasa hivi watu hawasubiri CNN, BBC n.k ili kupata habari zilizopikwa, sasa hivi mtu na iPhone yake anarekodi na kurusha matukio. Naweza sema zama zimebadilika, dunia imeona kinachoendelea huko Gaza.

Israel ibadilike imefanya uonevu kwa muda mrefu. Ni hatari sana.
Kwamba Dunia haikuona walichofanyiwa waisrael tarehe 7 October Tena wakiwa katika sherehe ?.
Acheni unafiki wenu . Et Dunia inaona .😂😂😂
 
Halafu mayahudi kwani watu wa Ulaya? Kwanini warabu wafukuzwe ulaya kwa sababu ya mahudi? Mayahudi zi wamevamia ardhi za Palestina?
mnapenda kujichukulia maamuz na kupuuza vyombo vya dola
 
Hamas ndio wanatakiwa waondoke kwenye mashimo waende wakapigane na Israel wakomboe ardhi wanayodai waliporwa sasa badala yake wanajificha miongoni mwa raia, ni waoga kama fisi.
Kwa hiyo Hamas wapo :
-Ofisi za UN?
-Wapo kambi za UN za wakimbizi?
-Wapo makanisani?
-Wapo misikitini?
-Wapo hospitalini?
-Leo tena kalipua hospitali nyengine Al Quds

Kwa sababu huko kote Israel kalipua na kuleta maafa! Au kwa vile ni waarabu kwa hiyo ni sawa kuuliwa?
 
BREAKING: Authorities say the situation at Makhachkala airport in Dagestan is now 'under control'
 
Na ndiyo maana Jews waliyopo mataifa mengine wanaandamana dhidi ya kinachofanywa na serikali yao!

Israel inabidi ipambane na Hamas na si kuua raia wa Gaza. Leo wamelipua hospitali nyengine huko Gaza. Collective punishment zinakataliwa kimataifa kwani ni uhalifu. Anachoharibu Israel anaendelea kukomaa!

Sasa hapa anajitengenezea maadui wa namna mbili.
1)Uadui kwa wale wanaotizama huu mgogoro kwa nukta ya ubinadamu.
2)Uadui kwa wale wanaoutizama huu mgogoro kwa nukta ya jicho la kidini

Mazingira haya yote yatawapa wakati mgumu sana Wayahudi wenzao wanaoishi sehemu nyengine duniani.

Juzi kati hapa mmoja kaonekana akiwa na bendera yake ya Israel nchini South Africa raia wakata kumpiga kaokolewa na askari.
ww ni mpumbav sn , uambiww mara ngap kuwa hamas wanajificha miongon mwa raia?
 
Dunia imebadilika, miaka ya 1960's, 1970's, hadi 1990's na early 2000's dunia ilikuwa haioni kwa muda wote huo Palestinians wanapitia nini, media zilikuwa hazitoi habari zenye ukweli, baada ya mitandao ya kijamii kuwepo sasa hivi tukio likitokea Israel baada ya nusu saa dunia nzima imeona.

Watu wanafunguka na kufahamu ukweli, sasa hivi watu hawasubiri CNN, BBC n.k ili kupata habari zilizopikwa, sasa hivi mtu na iPhone yake anarekodi na kurusha matukio. Naweza sema zama zimebadilika, dunia imeona kinachoendelea huko Gaza.

Israel ibadilike imefanya uonevu kwa muda mrefu. Ni hatari sana.
kwamba mnapoichokoza Israel mnataka dunia iwaonee huruma mnapopigwa kwamba mmeonewa
 
7th October Taliban walikua wanaomba njia waingie front wakaongeze nguvu kwa hamas ilipofika tarehe nakuendelea wakajua kumbe walikua wanataka kujipakata wameamua kujikalia zao kimya tu
 
kwamba mnapoichokoza Israel mnataka dunia iwaonee huruma mnapopigwa kwamba mmeonewa
Nikuambie ukweli, binafsi huwa sielewi ni nini unachokiandika. Si kwenye Uzi huu, ni kwenye Uzi tofauti tofauti.

Nisamehe kwa kweli.
 
Back
Top Bottom