Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Hilo dhehebu lako ndio halina , ila Muhamma Alisha sema mtagawanyika sect 73 na moja tu ndio wataenda janah, jiulize
Mtagawanyika groups(makundi),sio sects(madhehebu),kuna tofauti ya makundi(groups),madhehebu(sects).Ndio nikakuambia tafuta mwenye elimu ya kiislamu,akufundishe.
 
njoo choma msikiti halafu utajua kwanini kisigino kipo kwa nyuma.
 
Mtagawanyika groups(makundi),sio sects(madhehebu),kuna tofauti ya makundi(groups),madhehebu(sects).Ndio nikakuambia tafuta mwenye elimu ya kiislamu,akufundishe.
Sijui unaelewa hata ulichoandika?

#MaendeleoHayanaChama
 
Wameletwa ndugu zao kutawala nchi yetu. Sijawahi wafurahia hawa waarabu
Hizi chuki unazoleta walikuwa nazo waliokutangulia kabla yako..! Kwahivyo haisaidii, wala watu kuacha kufanya mambo yao sawa..?
 
Binadamu (Homo Sapiens) arguably walianzia East Africa (historically) Olduvai Gorge might be one of the place
Sawa kabisa! Basi kama huo ndio ukweli wa historia Tanzania itabaki kuwa ni nchi ya watu wote maana hapa ndipo walipoanzia !! Akina Kijakazi itabidi watafute sayari nyingine ya kuishi ambayo watakuwepo watu wa rangi moja tu wanaoishi humo !!
 
Ni mjinga pekee atakaye ukubali huu ujinga, kuna Uislamu na kuna uarabu. Hivi vitu huwa mnashindwa kuvitofautisha.

Mababu zako kabla ya kufikiwa na dini walikuwa wanaishi vipi ? Walikuwa na vaaje walikuwa wanapeana majina kwa kufata misingi gani ? Watu wanaitana majina Shida, Matatizo.

Embu tuambieni au tupeni ubora wa tamaduni zenu za kiafrika dhidi ya dini,mfano wa dini ya Uislamu.

Wajinga pekee wanalilia "Identity" bali wenye akili wanawaza itakuwaje baada ya kifo chao ? Wenye akili wanajiuliza kwanini wameumbwa ?

Misingi ya mababu zako ilikuwa ipi na ubora ulikuwa upi ?
 
Binadamu (Homo Sapiens) arguably walianzia East Africa (historically) Olduvai Gorge might be one of the place
Hii Historia kwa mara ya kwanza iliandikwa na nani ?

Historia gani isiyo kuwa na chain ? Nyinyi ndiyo mnafanya sisi waafrika tuonekane hatuna akili.
 
Hivi hiyo safari ya Kagera alienda kuzindua msikiti tu?
 
Sijui unaelewa hata ulichoandika?

#MaendeleoHayanaChama
Sasa kama una uwezo si ukosoe. Watu wa jf wajinga sana, huwa wananjitia wajuaji ukiwauliza maswali ya msingi, utafurahi aisee, hawajibu wala hawakosi wanarukaruka tu.
 
Katika upuuzi wa hizi dini,muhaya muislam wa murongo border,anajiona yupo Karibu zaidi na muislam wa Zenj,kuliko ndugu yake wa hapo hapo kijijini ambaye ni mkristo
 
Aya si Maneno yangu ni Maneno ya allah

...................The most hateful among the creation of Allah is one black man among them (Khawarij).......Sahih Muslim 1066g
Sasa kijana si umelizie tu hadithi. Kilichokufanya uikate ni nini ? Hadithi ilikuwa ilikuwa inawaongelea Khawariji, na huyo "Black man" aliyezungumziwa na mtume alijulikana. Wala hakuna sehemu yoyote katika Uislamu Allah anasema anawachukia watu weusi, Allah anawachukia watu waovu, wazushi na madhalimu kama wewe.

Hadithi kwa ukamilifu wake ni hii :

Ubaidullah b. Abu Rafi', the freed slave of the Messenger of Allah (ﷺ), said:
When Haruria (the Khawarij) set out and as he was with 'Ali b. Abu Talib (Allah be pleased with him) they said, "There is no command but that of Allah." Upon this 'Ali said: The statement is true but it is intentionally applied (to support) a wrong (cause). The Messenger of Allah (ﷺ) described their characteristics and I found these characteristics in them. They state the truth with their tongue, but it does not go beyond this part of their bodies (and the narrator pointed towards his throat). The most hateful among the creation of Allah is one black man among them (Khawarij). One of his hand is like the teat of a goat or the nipple of the breast. When 'Ali b. Abu Talib (Allah be pleased with him) killed them, he said: Search (for his dead body). They searched for him, but they did not find it (his dead body). Upon this he said: Go (and search for him). By Allah, neither I have spoken a lie nor has the lie been spoken to me. 'Ali said this twice and thrice. They then found him (the dead body) in a rain. They brought (his dead) body till they placed it before him (Hadrat 'Ali). 'Ubaidullah said: And, I was present at (that place) when this happened and when 'Ali said about them. A person narrated to me from Ibn Hanain that he said: I saw that black man.

Sasa huu ukameme unatakiwa uuache, hautakusaidia chochote.
 
Mzee hapo kwenye 1964 mweusi kutoingia kanisa la watu weupe mbona kama umefanya generalization?

Kulikua na mzungu mchungaji akiitwa Jim Jones alikua na waumini wa rangi mchanganyiko hata kabla ya huo mwaka. Kama huyu alikuepo naamini na wengine walikuepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…