Nani kakwambia hivyo?
Hii misikiti INA wenyewe na wenyewe ni wale waliotoa viwanja ukajengwa msikiti. Kuna msikiti pale magomeni una ugomvi mkubwa sana
Personally huwa naona sio katika adabu au hishima kuamiliana na watu katika social media hususani hapa Jf kuhusiana na masiala ya kiimani yaani mwenyezi mungu na mtume wake (Saw) na kitabu chakeNi mjinga pekee atakaye ukubali huu ujinga, kuna Uislamu na kuna uarabu. Hivi vitu huwa mnashindwa kuvitofautisha.
Mababu zako kabla ya kufikiwa na dini walikuwa wanaishi vipi ? Walikuwa na vaaje walikuwa wanapeana majina kwa kufata misingi gani ? Watu wanaitana majina Shida, Matatizo.
Embu tuambieni au tupeni ubora wa tamaduni zenu za kiafrika dhidi ya dini,mfano wa dini ya Uislamu.
Wajinga pekee wanalilia "Identity" bali wenye akili wanawaza itakuwaje baada ya kifo chao ? Wenye akili wanajiuliza kwanini wameumbwa ?
Misingi ya mababu zako ilikuwa ipi na ubora ulikuwa upi ?
Tupe ushahidi wa pictureMjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.
Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
1)Waislam weusi hawakuchangia mjengoHiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!
Huo ndio uhalisia wenyewe.Ila mmegundua watu wana chuki Sana na uislam!yaani humu tunachekewa kinafiki inshort hawatupendi asilani!!!
Nikiwa rais natimua wote. Tunaanza upya na wazawa siyo hawa wezi. Walichokusaidia ni kidogo kuliko wanachokuibia. 😁😁 mimi nimekusaidia sana we wa njombe kupata mbolea.Unataka ubabaike na nini? Wewe ambae sio mlowezi umetusaidia nini sasa
Utaishia kuwa Rais wa Nchi ya kusadikika hiyo hiyo inayoitwa Nikiwa 😄😄..Nikiwa rais natimua wote. Tunaanza upya na wazawa siyo hawa wezi. Walichokusaidia ni kidogo kuliko wanachokuibia. 😁😁 mimi nimekusaidia sana we wa njombe kupata mbolea.
Rais aliwekwa na wananchi hata akirudi leo hii akagomea niamin mimi 100% atakuwa rais. Weka picha yake na rais wako wananchi wapige kura, niamin mm picha itashindaUtaishia kuwa Rais wa Nchi ya kusadikika hiyo hiyo inayoitwa Nikiwa 😄😄..
Sio kwa sababu mwehu mmja alibahatika kuwa Rais ukajua makosa yatarydiwa tena.
Inasikitisha Sana sijaona la ajabu hapo Ila mtu analeta maada kukashifu!Huo ndio uhalisia wenyewe.
Ni wachache mnoo, tabasamu zao zinatokea moyoni, wengi ni midomo yao tu ndio huwa inatabasamu.
Tangu lini uliwahi kukuta kwenye jamii kuna watu wengi wenye hekima,busara na maarifa au matajiri?Rais aliwekwa na wananchi hata akirudi leo hii akagomea niamin mimi 100% atakuwa rais. Weka picha yake na rais wako wananchi wapige kura, niamin mm picha itashinda
ukweli ambao umeshindwa kuuweka kama unavyofanyaga?Coco...
Fanya utafiiti lau mdogo utaujua ukweli.
Itakuwa ni jamii iliyopo sasa ndo mburula. Vizuri huwa havidumu ili kuonesha pigo ila waovu watasalia kuendelea kufanya maovu. Hii nchi sa hv tumepigwa sana hasa kwa huyu vasco da gama.Tangu lini uliwahi kukuta kwenye jamii kuna watu wengi wenye hekima,busara na maarifa au matajiri?
Jamii ina watu wengi wajinga kwa hiyo ndio maana jopo la kuchagua mgombea likikosea hakuna namna mburula wakabisha au kukataa..
Kwa mantiki hiyo hiyo usitegemee kosa kurudiwa tena na ikitokea bahati mbaya kichaa akapenya kama wewe ujue utaishi siku chache Duniani..
Fanya nilichokwambia dogo.Nirekebishe nini? Una akili timamu wewe?
Alikuwa ana ulazima gani kutaja rangi ya mtu? Hiyo ni racism Allah na muhammad walikuwa nayoSasa kijana si umelizie tu hadithi. Kilichokufanya uikate ni nini ? Hadithi ilikuwa ilikuwa inawaongelea Khawariji, na huyo "Black man" aliyezungumziwa na mtume alijulikana. Wala hakuna sehemu yoyote katika Uislamu Allah anasema anawachukia watu weusi, Allah anawachukia watu waovu, wazushi na madhalimu kama wewe.
Hadithi kwa ukamilifu wake ni hii :
Ubaidullah b. Abu Rafi', the freed slave of the Messenger of Allah (ﷺ), said:
When Haruria (the Khawarij) set out and as he was with 'Ali b. Abu Talib (Allah be pleased with him) they said, "There is no command but that of Allah." Upon this 'Ali said: The statement is true but it is intentionally applied (to support) a wrong (cause). The Messenger of Allah (ﷺ) described their characteristics and I found these characteristics in them. They state the truth with their tongue, but it does not go beyond this part of their bodies (and the narrator pointed towards his throat). The most hateful among the creation of Allah is one black man among them (Khawarij). One of his hand is like the teat of a goat or the nipple of the breast. When 'Ali b. Abu Talib (Allah be pleased with him) killed them, he said: Search (for his dead body). They searched for him, but they did not find it (his dead body). Upon this he said: Go (and search for him). By Allah, neither I have spoken a lie nor has the lie been spoken to me. 'Ali said this twice and thrice. They then found him (the dead body) in a rain. They brought (his dead) body till they placed it before him (Hadrat 'Ali). 'Ubaidullah said: And, I was present at (that place) when this happened and when 'Ali said about them. A person narrated to me from Ibn Hanain that he said: I saw that black man.
Sasa huu ukameme unatakiwa uuache, hautakusaidia chochote.
Toa mifano ya vizuri vi 3 hapa TanzaniaItakuwa ni jamii iliyopo sasa ndo mburula. Vizuri huwa havidumu ili kuonesha pigo ila waovu watasalia kuendelea kufanya maovu. Hii nchi sa hv tumepigwa sana hasa kwa huyu vasco da gama.
Sijui nilikuwa wapi.Naomba unijibu hili swali?
Kabla ya kuzaliwa na kupata ufahamu hapa duniani ulikuwa wapi na ulikua unafanya nini?
#MaendeleoHayanaChama
Nyerere, jpm na sokoine.Toa mifano ya vizuri vi 3 hapa Tanzania
Kwanza kiri ya kuwa wewe ni mpotoshaji na utuambie kwanini umekata hadithi na ukaweka maneno ya uongo. Ndiyo maana maandiko yenu yanawashinda kuyachambua kwa kupeleka uongo mbele na upotoshaji.Alikuwa ana ulazima gani kutaja rangi ya mtu? Hiyo ni racism Allah na muhammad walikuwa nayo