Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Hawa wavaa kanzu huu ndiyo uhalisia wao
 
Huwezi fananisha ,KKT na taratibu za kiislamu, kkt Ni dhehebu, bakwata Ni Taasisi ya serikali ya kidini. Waislamu wengi hawaiungi mkono , Huwezi kukuta Baraza la kikristo Tanzania , wakaenda kuchukua kanisa flani , may be Luther house au st.joseph cathedral. Na kujimilikisha. Haitatokea, Baraza litabaki Kama Baraza, na dhehebu Kama dhehebu na kanisa lao
 
Baada ya muhammad kufa ile division iliyotokea ya Ali na abuu bakari madhara yake yako mpaka leo
 
Kwani nyumba za ibada wanalipa Kodi?@Freshman
 
Waislamu wa eneo
Sio Bakwata?najua Bakwata wapo nchi nzima na ndio wanatutolea maraisi ikifika zamu yao.Hao wavaa kobazi kina Mohammed Said na faizafox hawana heshima yeyote πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…