Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake
Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza
Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi
Source: Iqra FM radio Mwanza
😂😂🔥Haya ndiyo yale mambo yetu sasa na kina Mwaipopo 🤣🤣
Mbona tunaambiwa ni mtu wa kung fu na kupuliza atapigwaje?Amenusurika kipigo!
DP World ni Waislamu?!!
... mwanamke haitiki naam; hukufunzwa ukafuzu wewe? Wamekula khasara wazazi.Naam, umeniita? Tatizo nini hata tupinge tu?
Inabidi tumrejeshe kunako mafunzo upya hata kama ni kibibi kizee.... mwanamke haitiki naam; hukufunzwa ukafuzu wewe? Wamekula khasara wazazi.
😂😂😂 Ulidanganyika kwa kipindi kirefu sana!... mwanamke haitiki naam; hukufunzwa ukafuzu wewe? Wamekula khasara wazazi.
cc: FaizaFoxy 😂😂😄
Usikute hapo kupangilia herufi za kiarabu unajua ila kuandika lugha yako hujui..Pumbavu kabisa.ilokudi linakojiita waislam,ni watu wenyenjaatu wasijitowefahamu na kuletavurugu kwenye nyumba zaibada inajulikanakuwa bakwatani chomb0chakiislam,kamakunakasoro wanazoziona wanawajibu kutatuwakwa sheria na siovurugu
Nyumba nyingi upanga waliziuza hawa na kuna nyumba 2 zilikuwaga magomeni mikumi jirani na nyumba za kina sykes zote walizikwala hawa jamaaBakwata imeanzishwa na nyerere Bakwata imejifunza unyanganyi kutoka kwa nyerere, Bakwata wanadhulimu mali za waislamu walioijenga kwa pesa zao wanazimilikisha Bakwata wanakula wao na familia zao. nyerere aliwanyanganya watu nyumba zao zimejengwa miaka hata nyerere hajazaliwa aliposhika urais kawadhulumu watu nyumba zao na kuipa NHC wakati nhc hawajajenga nyumba hata moja zoote za wahindi na waarabu dhulma hii ndio inayotutafuna na inaitafuna bakwata
Wewe ndio utakuwa unapanga mauaji yao na kuratibu kuwaweka kwenye mapipa ya maji...s.h.e.n.z.iIla mapadri kuuawa kanisani nakutiwa kwenye matenki ya maji hiyo ipo katoliki?
... mwanamke haitiki naam; hukufunzwa ukafuzu wewe? Wamekula khasara wazazi.
Ndiyo kazi wanayowezaVurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake.
Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza.
Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi.
Source: Iqra FM radio Mwanza.
Hii nzuri kuijua, lilijengwa na nani, na kwanini lilikwenda KKKT na siyo dhehebu jingineMfano kanisa la Luther house posta lile kanisa limejengwa miaka ya 1890s
Ila leo linamilikiwa na dayosisi ya mashariki na pwani ya KKKT tanzania.. huku hiyo dayosisi imezaliwa juzi tu
Waislamu nawafananishaga na pimbi. Pimbi ni mnyama mwenye harakati nyingi zisizo na tija. Hawa angaliagi mbele.Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake.
Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza.
Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi.
Source: Iqra FM radio Mwanza.
Ilijengwa na Karl Peters mjerumani aliyemtapeli Chifu Mangungo wa Msovero ambaye kitukuu chake ndio Boss wa Simba SC iliyoingia Mkataba na Mo😂😂Hii nzuri kuijua, lilijengwa na nani, na kwanini lilikwenda KKKT na siyo dhehebu jingine