Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake

Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza

Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi

Source: Iqra FM radio Mwanza

Haya ndiyo yale mambo yetu sasa na kina Mwaipopo 🤣🤣
 
20230903_143111.jpg
 
ilokudi linakojiita waislam,ni watu wenyenjaatu wasijitowefahamu na kuletavurugu kwenye nyumba zaibada inajulikanakuwa bakwatani chomb0chakiislam,kamakunakasoro wanazoziona wanawajibu kutatuwakwa sheria na siovurugu
Usikute hapo kupangilia herufi za kiarabu unajua ila kuandika lugha yako hujui..Pumbavu kabisa.
 
Bakwata imeanzishwa na nyerere Bakwata imejifunza unyanganyi kutoka kwa nyerere, Bakwata wanadhulimu mali za waislamu walioijenga kwa pesa zao wanazimilikisha Bakwata wanakula wao na familia zao. nyerere aliwanyanganya watu nyumba zao zimejengwa miaka hata nyerere hajazaliwa aliposhika urais kawadhulumu watu nyumba zao na kuipa NHC wakati nhc hawajajenga nyumba hata moja zoote za wahindi na waarabu dhulma hii ndio inayotutafuna na inaitafuna bakwata
Nyumba nyingi upanga waliziuza hawa na kuna nyumba 2 zilikuwaga magomeni mikumi jirani na nyumba za kina sykes zote walizikwala hawa jamaa
Zamani bkwt walikuwa na mabasi na malori zote walizikwala

Ova
 
Ila mapadri kuuawa kanisani nakutiwa kwenye matenki ya maji hiyo ipo katoliki?
Wewe ndio utakuwa unapanga mauaji yao na kuratibu kuwaweka kwenye mapipa ya maji...s.h.e.n.z.i
 
Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake.

Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza.

Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi.

Source: Iqra FM radio Mwanza.
Ndiyo kazi wanayoweza
 
Mfano kanisa la Luther house posta lile kanisa limejengwa miaka ya 1890s

Ila leo linamilikiwa na dayosisi ya mashariki na pwani ya KKKT tanzania.. huku hiyo dayosisi imezaliwa juzi tu
Hii nzuri kuijua, lilijengwa na nani, na kwanini lilikwenda KKKT na siyo dhehebu jingine
 
Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake.

Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza.

Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi.

Source: Iqra FM radio Mwanza.
Waislamu nawafananishaga na pimbi. Pimbi ni mnyama mwenye harakati nyingi zisizo na tija. Hawa angaliagi mbele.
 
Hii nzuri kuijua, lilijengwa na nani, na kwanini lilikwenda KKKT na siyo dhehebu jingine
Ilijengwa na Karl Peters mjerumani aliyemtapeli Chifu Mangungo wa Msovero ambaye kitukuu chake ndio Boss wa Simba SC iliyoingia Mkataba na Mo😂😂
 
Back
Top Bottom