ni nani huyu ambaye huuingiza ujinga huu uwe ni somo rasmi kwenye mitaala ya taifa?
La nini? Hata mizimu ni dini shuleni wabakishe kwenye majumba Yao ya ibadaItabidi waweke na SoMo la mizimu na kutambika pia
Sasa iyo elimu ya dini ina mchango gani kwenye kukuza uchumi?Hakuna chochote kitakachotokea isipokuwa kheri tu.Na zipo dini mafunzo yao hayawezi kufikia hata std 3 itakuwa yameisha.Hao sidhani kama wataomba kufundisha mashuleni. Kwa upande wa uislamu hata ukifikia PHD safari bado ni ndefu.
Mchango katika uchumi ni iwapo utaajiri wasomi wenye elimu za dini ufanisi unaongezeka zaidi.Hakuna wizi,rushwa wala kuzembea.Angalia maeneo ambako waajiriwa ni watu wasio na dini au watu wa dini wasio na mafunzo ya dini zao vizuri.Madudu hayaishi daima.Sasa iyo elimu ya dini ina mchango gani kwenye kukuza uchumi?
dini ziko nyingi na zinakataza uovu, kwa hiyo kila dini somo lake liingizwe kwenye mtaala wa taifa? Hiyo sasa itakua vurugu kwa wanafunzi hawataelewa kituMchango katika uchumi ni iwapo utaajiri wasomi wenye elimu za dini ufanisi unaongezeka zaidi.Hakuna wizi,rushwa wala kuzembea.Angalia maeneo ambako waajiriwa ni watu wasio na dini au watu wa dini wasio na mafunzo ya dini zao vizuri.Madudu hayaishi daima.
Sio kila shule itafundishwa masomo yote ya dini.Eneo ambalo kuna watu wa dini fulani kwa wingi litawekwa somo la dini yao na hasa kama wazazi wao wanapendelea somo hilo kwa watoto wao.Wanafunzi wa dini nyengine wakipenda kujiunga na dini na kufanya mtihani huo iwe ruhusa.Wewe kinakuuma nini hapo ?dini ziko nyingi na zinakataza uovu, kwa hiyo kila dini somo lake liingizwe kwenye mtaala wa taifa? Hiyo sasa itakua vurugu kwa wanafunzi hawataelewa kitu
hakiniumi chochote hapo, kasome katiba ya nchi ujue msimamo wa nchi kuhusu dini. Msitake kuingiza dini kwenye mitaala ya taifa, kafundisheni misikitini huko ndio mahali pakeSio kila shule itafundishwa masomo yote ya dini.Eneo ambalo kuna watu wa dini fulani kwa wingi litawekwa somo la dini yao na hasa kama wazazi wao wanapendelea somo hilo kwa watoto wao.Wanafunzi wa dini nyengine wakipenda kujiunga na dini na kufanya mtihani huo iwe ruhusa.Wewe kinakuuma nini hapo ?
Hiyo katiba isome wewe kwanza.Na sijui unaishi nchi gani.Kwani huna habari kuwa hayo masomo ya dini yanafundishwa tangu zamani.Si jambo jipya.hakiniumi chochote hapo, kasome katiba ya nchi ujue msimamo wa nchi kuhusu dini. Msitake kuingiza dini kwenye mitaala ya taifa, kafundisheni misikitini huko ndio mahali pake
hayo masomo yalifundishwa kama option tu na hayakuwa na impact ya mwanafunzi kuendelea na kozi za juu na hatimaye kuajiriwa. Kuna ubaya gani serikali kujiingiza huko ili kujiridhisha kwa somo hilo likifundishwa halitaleta madhara na mitafaruku ndani ya jamii ya kitanzaniaHiyo katiba isome wewe kwanza.Na sijui unaishi nchi gani.Kwani huna habari kuwa hayo masomo ya dini yanafundishwa tangu zamani.Si jambo jipya.
Walichokishtukia waislamu ni kuwa sasa sio kama ilivyokuwa hapo awali.Serikali inataka ijiingize kwenye hayo masomo.
Mbona miaka yote hiyo yalipofundishwa hivyo unavyosema hayajaleta madhara yoyote.Nani aliyeleta fikra ya madhara au ndio uchochezi kutoka kwa mabeberu.hayo masomo yalifundishwa kama option tu na hayakuwa na impact ya mwanafunzi kuendelea na kozi za juu na hatimaye kuajiriwa. Kuna ubaya gani serikali kujiingiza huko ili kujiridhisha kwa somo hilo likifundishwa halitaleta madhara na mitafaruku ndani ya jamii ya kitanzania
we huoni sifa wanazojumuisha kujiunga na kozi fulani hawajumuishi dini?Mbona miaka yote hiyo yalipofundishwa hivyo unavyosema hayajaleta madhara yoyote.Nani aliyeleta fikra ya madhara au ndio uchochezi kutoka kwa mabeberu.
Hofu nyengine waliyonayo waislamu ni kuwa kuna vitu kutoka huko kwa mabeberu wanataka kupenyeza kwenye masomo hayo ionekane ndio mafunzo ya uislamu na ilhali hakuna vitu hivyo.
Kuhusu ajira si kweli kuwa masomo ya dini hayahitaji katika ajira.Fikra hizo ni fikra za kutaka kuondoa fikra za kiimani ndani ya mawazo ya kibinadamu.Hilo likitokea dunia itakuwa haikaliki tena.Shetani atatawala .Hakuna atakayefaidika.Si watu mmoja mmoja wala serikali.Hakuna kiongozi atakayedumu hata kwa mwaka mmoja.Itakuwa ni vurugu tupu..
Kumbuka ni kwa nini Tanzania inasifika kama nchi ya amani.Hii imechangiwa sana na waislamu.Ukiona kuna nchi zenye waislamu wengi ambazo hazina amani lazima kuna nguvu kubwa za mabeberu zimejiingiza kuvuruga amani hizo.
Sasa kama wanaomba wasilipe maji misiktini, ngoja pia wapangiwe cha kufundisha. Waislamu kuweni serious, badala ya kuomba ardhi ya kujenga shule na hospitali mnaomba maji ya bure!Waislamu waingiwa wasiwasi na Serikali baada ya kuona Tayaar mtaala wa ELIMU ya dini katika website ya serikali na somo hilo kuanza kutumika Mwakani wakati wazir wa ELIMU alikwisha waahidi na kuwaomba radhi serikali itawashirikisha lakin Sasa Kuna DALILI zote za kutoswa
Acha uongoMbona miaka yote hiyo yalipofundishwa hivyo unavyosema hayajaleta madhara yoyote.Nani aliyeleta fikra ya madhara au ndio uchochezi kutoka kwa mabeberu.
Hofu nyengine waliyonayo waislamu ni kuwa kuna vitu kutoka huko kwa mabeberu wanataka kupenyeza kwenye masomo hayo ionekane ndio mafunzo ya uislamu na ilhali hakuna vitu hivyo.
Kuhusu ajira si kweli kuwa masomo ya dini hayahitaji katika ajira.Fikra hizo ni fikra za kutaka kuondoa fikra za kiimani ndani ya mawazo ya kibinadamu.Hilo likitokea dunia itakuwa haikaliki tena.Shetani atatawala .Hakuna atakayefaidika.Si watu mmoja mmoja wala serikali.Hakuna kiongozi atakayedumu hata kwa mwaka mmoja.Itakuwa ni vurugu tupu..
Kumbuka ni kwa nini Tanzania inasifika kama nchi ya amani.Hii imechangiwa sana na waislamu.Ukiona kuna nchi zenye waislamu wengi ambazo hazina amani lazima kuna nguvu kubwa za mabeberu zimejiingiza kuvuruga amani hizo.
Haina neno.Dunia inakwenda mbele hairudi nyuma.Wazee wetu waliokwishakufa hawakuwahi kuzungumza na watoto wao walio mbali wakasikia hata sauti zao wachilia mbali kuzungumza kwa kuonana moja kwa moja.Sisi hatuwezi kurudi nyuma kwa vile wao hawakupata fursa hizo na hazikuwezekana muda ule.we huoni sifa wanazojumuisha kujiunga na kozi fulani hawajumuishi dini?
allah huyu Huyu aliyeoa mwanamke mzee...hawa jamaa hawajielewiNyie na wenzako ndiyo akili ndogo. Mnakazania upuuzi usiokuwa na tija katika maisha ya kila siku. Eti kwenda kwa Allah! Allah ulimuona wapi?
Si sawa!Hata wakilipwa na serikali ni sawa.Kodi ni zile zile wanazolipa watu wote.Nyengine zinatumika huku na nyengine kule.
Hapo anatafutwa uchawi Mkuu wa TIEHuko serikalini si kuna waislam? Haohao wanatosha kupitisha mtaala huo ufundishwe. Hawa wengine hawana ujuzu wa kuunda mtaala katika ngazi za ufundishaji na hatua zake za kuandaa azimio la kazi na andalio la somo na namna ya kutoa tathimini kama somo limeeleweka kwa wanafunzi wote
Umenena vema nakazia hapo kwenye kuleta ugobjwa wa akiliHilo somo ni kuingiza ujinga wa kudumu katika jamii, kwani linaleta maarifa gani katika kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo? Litakuwa mzigo usiokuwa na faida kwa wanafunzi, halijengi nyumba, barabara, halileti ubunifu zaidi ya kuleta ugonjwa wa akili, akili kuwa ya kizembe. Hilo somo wakafundishane wenyewe kwenye nyumba zao za ibada wakajazane ujinga huko mpaka waje washituke karne nyingi zijazo. Badala ya kupanga masomo ya maana wanapanga upuuzi kuzidi kuididimiza jamii kwenye shimo refu la umasikini, ujinga na maradhi