Waislamu waishtukia serikali kutaka kupotosha mafunzo ya dini yao

Waislamu waishtukia serikali kutaka kupotosha mafunzo ya dini yao

Waislamu waingiwa wasiwasi na Serikali baada ya kuona Tayaar mtaala wa ELIMU ya dini katika website ya serikali na somo hilo kuanza kutumika Mwakani wakati wazir wa ELIMU alikwisha waahidi na kuwaomba radhi serikali itawashirikisha lakin Sasa Kuna DALILI zote za kutoswa

Nawakubali sana waislamu. Wakati waislamu wakiweka ngumu, makristo yenyewe yamekaa kimya na kuwaacha maCCM wanachakachua dini yao. Sijawahi kuona majitu mapuuzi kama makristo.
 
Uislamu unaelekea kufutwa duniani
Ndio unakua kwa kasi kupitia uonevu na uzushi unaoelekezewa .
Matukio ya mfano ni mengi na hili la Gaza ni moja wapo.
Hamas kimo kwenye orodha ya vyama vya kigaidi.Lakini wanaokiunga mkono mpaka ndani ya New York wakristo na dini nyengine ni wengi zaidi.
 
Kwa Wakristo Kuna somo kinaitwa Bible knowledge au Christian Religious Education au CRE

Wakristo kwenye vyuo vya Kikiristo Walimu hufunzwa masomo yote ya ualimu pamoja na Hilo somo hivyo wakienda shule yeyote huajiriwa kufundisha masomo ya kawaida pamoja na Hilo somo la dini

Hawaajiriwi Kwa ajili ya somo.la kufundisha dini tu

Kimbembe kiko Kwa waislamu hawana vyuo vya ualimu wa certificate, diploma na digrii vya masomo yote ya ualimu ikiwemo ya SoMo la kiislamu
 
Ndio unakua kwa kasi kupitia uonevu na uzushi unaoelekezewa .
Matukio ya mfano ni mengi na hili la Gaza ni moja wapo.
Hamas kimo kwenye orodha ya vyama vya kigaidi.Lakini wanaokiunga mkono mpaka ndani ya New York wakristo na dini nyengine ni wengi zaidi.
Ndio mnavyodanganyana humo misikitini mwenu
 
Back
Top Bottom