Waislamu wamshambulia Salah baada ya kuposti picha ya Krismas

Waislamu wamshambulia Salah baada ya kuposti picha ya Krismas

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.

Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.

20241226_120901.jpg
 
Muslims do not traditionally celebrate Christmas but some do partake in the festivities that take place during the Christian holiday.

'You let me down bro,' wrote one user on Instagram, where Salah shared the post to his 63.7million followers.

'Delete this right now,' posted another, while a third wrote: 'At this point am just disappointed in you bro.'
 
Wengine walimuunga Salah kwenye comment zao.

Other leapt to the defence of Salah, with one fan writing: 'Merry Christmas Mo. Ignore all these idiots. Hope you and your family have a well deserved holiday season.'

Another posted: 'In what has become an annual tradition on Christmas Day, I read and enjoy the comments on post for an hour. Never disappoints.'

Salah has been in scintillating form this season, netting 15 goals and picking up 11 assists so far this term, meaning he leads the race for the golden boot.
 
Mimi i wont celebrate ila pilau lenu nakula vizuri tu
kwa Salah yeye ni mtu mashuhuri bila kujali imani za mashabiki wake ameamua kua neutral kusheherekea na mashabiki zake siuoni ubaya

Hata nyama natandika isipokua tu ya yule Ghriiiii
 
Muslims do not traditionally celebrate Christmas but some do partake in the festivities that take place during the Christian holiday.

'You let me down bro,' wrote one user on Instagram, where Salah shared the post to his 63.7million followers.

'Delete this right now,' posted another, while a third wrote: 'At this point am just disappointed in you bro.'
Wako shallow

Waislamu haohao mkrostu

Waislamu haohao mkristu akipost Eid Mubarak watasema positove

Upuuzi sana
 
Mzuka wanajamvi!

Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.

Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.

View attachment 3185476
Chuki na uislamu wa siasa Kali ni mapacha wa mama mmoja baba tofauti tofauti
 
Mzuka wanajamvi!

Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.

Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.

View attachment 3185476
huyu wangemuacha tu maana inakua obsession sasa
 
Mzuka wanajamvi!

Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.

Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.

View attachment 3185476

Christmas is Nowadays secularised event. It's no longer an only religious phenomenon. It's hijacked by business community as it's a season of money 💰 reaping.
 
Hiyo mbona ndio kawaida ya Salah? Mwenyewe naona ameshaona ni sehemu yake ya kupatia kick.
Kila mwaka lazima 'achokoze' Waarabu wenzie.
nifah, nina swali juu ya mjadala huu wa mo salah kama upo tayari mkuu
 
Back
Top Bottom