Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Formula rahisi kujua kama umepumbazwaImani ni jambo la kibinafsi. Hapo ndipo mudi alipoleta shida. Yeye anasema imani ni ya umma mzima. Mtu yeyote akienda kinyume auawe
Kila mwaka huwa ana post same sameHiyo mbona ndio kawaida ya Salah? Mwenyewe naona ameshaona ni sehemu yake ya kupatia kick.
Kila mwaka lazima 'achokoze' Waarabu wenzie.
Kama ilivyo kulizunguka Jiwe jeusi MOJA lenye binti wa tatu na kuliabudu n kulibusu?Mti wa Krismas ni miongoni mwa tamaduni za kipagani.
Wanaopiga kelele ni wapuuzi wachacheNa Salah kila mwaka Christmas lazima apost akiwa amepiga picha nao, na kelele ni zile zile tu kila mwaka hawajanza Leo ni kila mwaka lazima kelele
Mimi nakula chakula cha asie muumini nikishiriki nae kula na kunywa vya halali bila kujali masiku na tarehe na hivyo ndivyo tunaishi watanzania na waafrika
Mkaldayo we ni umbwaaaaMbona huyo Ghriii wengi wenu ndo walaji wakubwa. Naskia eti mmehalalisha ikimla kwa kujificha ni halal siyo dhambi. Dhambi na haram inakuja ukimla hadharani.
Elewa al aaamal niiyatu Hukumu ya jambo ni nia kwa muislam mimi najumuika kula chakula kwa minaajili ya kula chakula sio kusheherekea na si wakati tu wa december ninajumuika nao vipindi vyote vya mwaka kila ninapojisikia kushiriki kula na kunywa naoSina tatizo na huo utaratibu wako.
Ila muislam wa kweli hawezi kushiriki ibada za Makafiri ikiwemo sikukuu Zao.
Kumbuka sikukuu ni sehemu ya IBADA
Elewa al aaamal niiyatu Hukumu ya jambo ni nia kwa muislam mimi najumuika kula chakula kwa minaajili ya kula chakula sio kusheherekea na si wakati tu wa december ninajumuika nao vipindi vyote vya mwaka kila ninapojisikia kushiriki kula na kunywa nao
Bila shaka mkuu naelewa, kwanini mo anapata criticism kubwa sana, yani wanashindwa nini kumpotezea, maana hadi sasa imeshakua kama tukia special la social media december kusubili post ya mo.Sawa, lakini isiwe katika udini sana sipendelei.
Mwanzoni nilikuwa naogopa sana kula mdudu saa hivi naiandaa I mean naipika kbs😀Mbona huyo Ghriii wengi wenu ndo walaji wakubwa. Naskia eti mmehalalisha ikimla kwa kujificha ni halal siyo dhambi. Dhambi na haram inakuja ukimla hadharani.
Na chair fire 😀Huku tunakula nao pilao
Hii umenukuu wapi? Na kwanini watu wa imani zingine hawakuuwawa juu ya kubadili diniImani ni jambo la kibinafsi. Hapo ndipo mudi alipoleta shida. Yeye anasema imani ni ya umma mzima. Mtu yeyote akienda kinyume auawe
Mwamba hawazi hayo makelele yao ndio maana kila mwaka anapostNa Salah kila mwaka Christmas lazima apost akiwa amepiga picha nao, na kelele ni zile zile tu kila mwaka hawajanza Leo ni kila mwaka lazima kelele
Haya makatazo mengine ni kunyimana raha tu za dunia, katoka huko mwarabu arabuni anakuja kunipangia cha kula,kweli?Mwanzoni nilikuwa naogopa sana kula mdudu saa hivi naiandaa I mean naipika kbs😀
Sio itikadi kali bali ni mafundisho ya uislamu, hairuhusiwa kula chakula kilichoandaliwa kwaajili ya sikukuu zisizokuwa za kiislamu, na hata zinazosemwa za kiislamu kama maulid ni haramu kula chakula hicho, isipokuwa eid mbili ya fitr na ya kuchinja.Watu wa itikadi Kali, wenye dini Zao hawawezi Kula chakula cha sikukuu ya kikafiri