Waislamu wamshambulia Salah baada ya kuposti picha ya Krismas

Waislamu wamshambulia Salah baada ya kuposti picha ya Krismas

Mzuka wanajamvi!

Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.

Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.

View attachment 3185476
Mwenzeni anatangaza brand yake ya biashara, anajua wateja wake ni wa imani hiyo pia.., nyie mnabwabwata tu..
 
If Islam were truly God's religion, I would be a devoted Muslim.

Si l'islam était véritablement la religion de Dieu, je serais un musulman dévoué.

Une Islam ng’ane yawe dini ya Ng’wene wa ukweli, nandaga niwe MuIslamu wa ukweli.

Ili Islam ing’we dini ya Mungu wa ukweli, nendikawa MuIslamu wa ukweli.
 
Syo mara ya kwanza kupost picha ya hivi kwahyo nadhani alijua tua atatukanwa
 
Back
Top Bottom