eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Hiyo mbona ndio kawaida ya Salah? Mwenyewe naona ameshaona ni sehemu yake ya kupatia kick.
Kila mwaka lazima 'achokoze' Waarabu wenzie.
Hachokozi, sema waislam kama ilivyo kawaida yao, hujifanya wenyewe ndiyo makamanda wa imani za wenzao.