Wako shallowMuslims do not traditionally celebrate Christmas but some do partake in the festivities that take place during the Christian holiday.
'You let me down bro,' wrote one user on Instagram, where Salah shared the post to his 63.7million followers.
'Delete this right now,' posted another, while a third wrote: 'At this point am just disappointed in you bro.'
Mbona huyo Ghriii wengi wenu ndo walaji wakubwa. Naskia eti mmehalalisha ukimla kwa kujificha ni halal siyo dhambi. Dhambi na haram inakuja ukimla hadharani.Hata nyama natandika isipokua tu ya yule Ghriiiii
Wewe na hao wanamshambulia salah mpo sawa ila poles tofautiMbona huyo Ghriii wengi wenu ndo walaji wakubwa. Naskia eti mmehalalisha ikimla kwa kujificha ni halal siyo dhambi. Dhambi na haram inakuja ukimla hadharani.
Chuki na uislamu wa siasa Kali ni mapacha wa mama mmoja baba tofauti tofautiMzuka wanajamvi!
Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.
Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.
View attachment 3185476
Ni halali pia ukimla ukiwa na njaa, na sio umle ukiwa umeshibaMbona huyo Ghriii wengi wenu ndo walaji wakubwa. Naskia eti mmehalalisha ikimla kwa kujificha ni halal siyo dhambi. Dhambi na haram inakuja ukimla hadharani.
huyu wangemuacha tu maana inakua obsession sasaMzuka wanajamvi!
Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.
Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.
View attachment 3185476
Mzuka wanajamvi!
Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.
Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.
View attachment 3185476
nifah, nina swali juu ya mjadala huu wa mo salah kama upo tayari mkuuHiyo mbona ndio kawaida ya Salah? Mwenyewe naona ameshaona ni sehemu yake ya kupatia kick.
Kila mwaka lazima 'achokoze' Waarabu wenzie.