Waislamu wanatubeba sana!!

Mbona hakuna sehemu nimetaja dini nyingine tofauti na Uislamu?

Na nimeutaja kwa kuusifia. Nimefanya vibaya kuusifia Uislamu na Waislamu wenyewe!!?

mama Debora uko sawa hao wengine wanao kulaumu ni wachawi au wana afya mbaya ya akili wanatumia udhaifu wa akili zao kutafsiri vibaya bandiko lako wapuuze wala wasikutie homa hiyo ndio fact wakipenda wasipende wajibu kwa hoja sio vitisho havisaidii na ni uchache wa elimu
 
Wakristo ndio wanalalamika kuwa na UDINI pindi nchi ikiongozwa na Muislamu.
Unajua waislamu huwa hawahangaiki na mambo ya Dunia, wanajua wanapita tu ila Wakristo wanashughulishwa na mambo ya Kidunia.
Hili huwa linanichanganya saana mkuu! Yaani Udini huwa ni kwa waislam tu lakini wakiwa wakristo ni sawa. Ni kweli dunia inawashughulisha sana ndugu zetu.

Kipindi Dr Dau yupo NSSF, ndugu zetu wakaanza kuipopoa NSSF kwa udini kisa mkurugenzi mkuu tu ndiye muislam huku majority ya management ni wao.

Vivyo hivyo UDOM ilipopolewa mawe kweli kipindi cha Prof Kikula na Mlacha japokuwa katika wale top 3 mmoja hakuwa maislam. Sasa hivi wote top 3 sio waislam hatusikii tena Udini tunachosikia ni upigaji hela,rushwa za ngono na PhD za michongo.
 
Vipi kuhusu elimu
 
Wakristo ndio wanalalamika kuwa na UDINI pindi nchi ikiongozwa na Muislamu.
Unajua waislamu huwa hawahangaiki na mambo ya Dunia, wanajua wanapita tu ila Wakristo wanashughulishwa na mambo ya Kidunia.
Mambo ya kidunia ndy mambo gani hayo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani ungetoa hizo facts zako pasipo kutaja sijui jalalani na UDOM usingeeleweka? Khaaaaah.
 
Mambo ya kidunia ndy mambo gani hayo?
Kuvunja nyumba za watu bila fidia,
Kuua watu na kuwatumbukiza kwenye sandarusi
Kuwapiga raia wako risasi,
Kuwapa wake za watu vyeo ili afanye nao ngono zembe,
Kupenda kuabudiwa
Kua na ulinzi mkubwa wa kidunia bila kujua presha au kisukari kinaweza kupenya na kufuata huko huko hekaluni
 
Sasa mbn haya ni mambo ya mtu binafsi ambayo has nothing to do with dini ya mtu?
 
Sasa mbn haya ni mambo ya mtu binafsi ambayo has nothing to do with dini ya mtu?
Nitajie muislamu aliyevunja nyumba ya mtu kwa kiburi au aliyetia maiti za raia wake kwenye sandarusi ukiacha rais amini wa Uganda tu.
Marais wote makatili Ni wakristu Kama Mobutu, Nguema, na huyo na wengine
 
Kwa hiyo unataka kusema nini mama Debo?
Kwamba kwa sababu hiyo basi Uislamu ni Dini ya kweli?
Waislamu ni kariba ya jamii Dhaifu sana Duniani.
Kwanza wana mafundisho ya kishetani,kwao kuua mtu asiye mwislamu ni kwenda peponi.. halafu wana amini kuwa Mungu ni mwislamu kama wao,hawajui kuwa Mungu ni Roho,si mwanadamu kwa hiyo hana Dini,na watu wote Duniani ni wake.
Uislamu ni Dini ya Kuzimu,ni Dini ya Lucifer,miaka 8 iliyopita kuna mchungaji mmoja wa kanisa la Pentecoste katoro Geita alianzisha Bucha,na akautangazia umma kwamba hiyo Bucha wachinjaji watakuwa wakristo tu,kwa hiyo Waislamu ni hiari yao kununua nyama hapo.
Kundi la Waislamu likajikusanya kwa hasira na kumvamia mchungaji huyo na kisha kumchinja.
Serikali ya CCM chini ya Kikwete hadi leo haijawahi kuwakamata wauaji, nadhani Kikwete aliona hayo mauaji ni halali kabisa.
Hawa ndo Waislamu,waabudu Shetani,wanamtukuza mtume wao Muhammad wakati alikuwa mtu wa kawaida tu,alioa hadi vitoto.
Ukitaka kujua Waislamu ni watu wa aina gani mseme vibaya mtume wao Muhammad,watapiga mbiu ya Takibir na kukuua kikatili.
Lakini wakristo ukimsema vibaya Yesu,wataishia kusema Mungu akusamehe.
Muhammad hawezi kuponya ugonjwa wowote ule, Yesu anaponya magonjwa yote.
Narudia tena, Uislamu ni Dini ya kishetani kabisa.
Ndo wenye makundi makubwa ya kigaidi Duniani,Boko Haram,Al Qaeda , Alshabab,ISIS,wote hao ni Waislamu.
Dini ya Shetani hiyo.
Mafanikio ya hao uliowataja hayahusiani kabisa na Uislamu wao, ni kwa sababu Mungu ni wa wote wenye mwili.
Na Uislamu umeanza kufa, kwenye madhabahu ya Mungu ya Arise & Shine kawe, Waislamu maelfu wanapona magonjwa na kukiri kuwa kweli YESU ni Bwana.
Ipo siku hadi kina Ayatollah wa Iran watakiri kuwa YESU ni Bwana na siyo Muhammad .
Na ndipo mpinga kristo atainuka rasmi kuelekea mwisho wa Dunia.
 
Umeandika mgazeti umejaa kinyesi!
 
Nonsense
 
Ukiristo ni dini ya amani na inapenda watu wa dini nyingine.

Ungemuelewesha aliyetoa hii mada kwa takwimu zako au kuzipinga zake ungekua ni miongoni mwa wakristo ninaowajua mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…