Waislamu wanatubeba sana!!

Wasio kua waislamu wote wanawachukia sana waislamu tena kwa imani za kulishwa na wazazi wao toka utotoni
Popote ple atakapokaa Muislamu na non Muslim lzma kutatokea tu kitu
Sisi Waislamu dini yetu inatufundisha Amani ndo maana halisi ya Uislamu na imani yetu ni kua Mungu ni mmoja tu na issa(yesu) sio Mungu bali ni mtume wa Mungu kma Mitume wengine

Sasa sikiliza habari za upande wa pili huko utaambiwa wale ni waabudu majini tu na wana majini mengi tu.Hizi chuki wakristo mnapandikizwa toka utotoni kwenu sasa na nyinyi badala ya kutafuta ukweli mnaishia kuamini ivo ivo.
All Non Muslims jichunguzeni vzr tafuteni ukweli kuhusu dini yenu hlf ndo muanze kuongea.
 
kwa sababu waislamu siyo wana wa kondoo ila ni wana wa adaamu..... ila mtoa mada acha misifa.
 
Kumbe anayosemaga mzee Mohamed Said kuwa waislam wanaonewa na kutengwa yote siyo sahihi.

Waislam ndio wanaokula keki ya nchi.

Labda mzee Mohamed Said anachokitafuta ni roho za watu wasiokuwa waislam ili afurahishe nafsi yake.
Hacha ujinga ww unahisi maisha ni dini tu, au utajiri au michezo. Hivi unajua sisi kama society yenye same culture tunahitaji nn ili tuishi?
 
Ugaidi
 
Namba 1-4 kwenye football,mziki& basketball wameongoza Muslim sababu hizo kazi ni kazi za watu ambapo hawana shule.
Hao matajiri wote sio Watanzania Halisi ,wote ni ngozi nyeusi.

Hata hovyo siku zote walio wachache katika wengi ndio huwa wanapenda kujitofautisha kwa kutafuta sifa fulani fulani.
 
Una maana wewe,tena una utindio wa ubongo waisalma hata 1% ya Watanzania hawafiki.
Ndio maana kila siku mnajikweza.
 
Wewe wa mbagala na picha ya ndege endelea na chuki zako sisi Prophet Wetu anatetewa na kila mtu kwa ukweli alokua nao


Islam is the real religion for everyone to followView attachment 2058842
 
Sio kweli ni 90%.... tafuta data
 
Povu tulia dawa ikuingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…