Udini upo sana na ukabila na ukanda unakataa jambo ambalo limo moyoni mwakoNchi hii hatuna udini,tuna utaifa,itoshe kusema kuwa watanzania hao wanafanya vyema kuipeperusha nchi na siyo kanisa wala msikiti
Kwasababu mada hii inabeba majina ya kiisilamu leo unasema tutangulize utaifa wacha unafq wakoTujadili kwa kutanguliza utaifa, huo mrengo wa kidini hautufikishi kokote
Hao ni waisilamu ila sio wauminiUkweli Ni kwamba Kuna watu wengi sana Wana majina yanayoendana na ya waislamu lkn watu hao sio waislamu.
Hivi unaweza kusema Naseeb nimuislamu ?
Uislam unaruhusu kufuga mbwa?
Uislam unaruhusu kuchukua mke wa mtu?
Uislam unaruhusu wizi au kutembea na kina delicious?
Utawala wa wakiristo roho mbaya sana mfano nyerere mkapa magufuli tawala hizi ziliwafanya watu kuwa watumwa kwenye nchi yaoWaislamu Kuna kitu wametuzidi wakristo na inabidi tujitafakari sana matendo Yao, mie Mkristo ila huwa na enjoy utawala wa Waislamu, huwa hawana mambo ya hovyo hovyo hivi tofauti na sie
Wewe ulio soma hizo kozi unawadi nini hao walio tajwa ambao hawakufanya kozi hizo?sama usomavio kama huna hela ni elimu yako hewa tuNdugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
Usawa lazima kwani nchi mali yako?Sasa malalamiko ya kila kona ya kutaka usawa na nafasi za viti maalum huwa yanatokana na nini?
Naona mlengo wako ni kutaka watu wasifuate dini wafuate asili yao swali mbona unaandika kwa kuchanganya lugha ya watu weupe unaojitia kuwa kataa?au unajificha hili tujue aumo kwenye mkumbo wa kufuata dini!!!kuwa wazi bhana na hiyo dini yakoKuna shida sana katika fikra za mtu mweusi!!
Nadhan ndo maana Dunia haitaacha kumtenga na kumbagua!!
Wakati nchi nyingine zikiwaza technologia kuna mtu anawaza dini za wazungu na waarabu ambazo c utaifa wala urace???
Sasa waisilamu kwan nn?? Uislam n ideology au iman ya dini lakni watu n wale wale waafrica watanzania!!!
Uislam si taifa wala kabila ??
# kuna haja ya africa kueliminate kuondoa hizi pple zenye frozen mind za ideology ya kidini!!? Ni kama wazimu fulan!!
Hata saud arabia hawajawai jiona waislam vs wakristo n wote wasaudia[emoji38][emoji3]
Tulitawaliwa mara ya kwanza kwa sababu ya mindset za ivi tutatawaliwa tena na mchina!! Kisa uozo mlioujaza watu weusi vichwan
Kodi wanayo lipa uoniNdio maana hakuna eneo tunafanya vzr kama nchi sababu yao hao uliowataja
Sote ni watanzania lakini tuna dini zetu na makabila yetuHaya mambo hayana Afya kwa Taifa letu, sisi sote ni Watanzania.
Fact ya nyoko?Mtoa mada kaja na facts sio umbea sasa wewe badala ya kumjibu kwa fact unaleta taarabu.
Kwa maana hiyo huo ndo ukweli kutoka kwa mleta mada.
sawa mwingereza naona hujui kiswahili vzr, britain wazima?
afu waislam wa swala tano huwa wanafanikiwa haraka sana, sijui wale jamaa kuna kitu cha ziada wanatumia?
Mi moyoni kwangu sina habari hizo,kabila au dini,Mtu ni mtu.Kafanya vyema nitamsifia pasipo kusema huyu hivi ni hivi.Haya ya udini au ukabila tumeyakuta hapa chini ya jua.Nasema mimi siulizagi haya ya udini wala ukabila.Udini upo sana na ukabila na ukanda unakataa jambo ambalo limo moyoni mwako
Wa kuotea mbali hauna madharaWanawabeba ila utambuwe wakristo ni moto wa kuotea mbali kabisa
Acha kujifanya hamnazo, kaelezea Tanzania wewe unakuja na ngonjera za uchumi wa Dunia.Umewataja dagaa ndani ya nchi ya madagaa.ungepanua kichwa hata kidogo usingekuja na huu Uzi wako wa rangi.
Uchumi wa dunia hii inaongozwa na wakristo.
Ukitaka kuleta udini wako humu tutakushangaa tu.
Marekani,china,ujerumani ,uingereza na ukiongeza na urusi usingeleta uislamu wako humu
Anamlika mbali badala ya miguuni kwakeAcha kujifanya hamnazo, kaelezea Tanzania wewe unakuja na ngonjera za uchumi wa Dunia.
Elezea uchumi wa Tanzania unashilikiliwa na Wakristo ama Waislamu?
0 hailingani na mojaWewe ulio soma hizo kozi unawadi nini hao walio tajwa ambao hawakufanya kozi hizo?sama usomavio kama huna hela ni elimu yako hewa tu