Kama mnavyouita uislamu ni amani huku ghasia ukiwa ndio msingi wenu mkuu!Kama hakina shaka tutakijua tuu
Anzisha ata saivi tuone kma utaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnavyouita uislamu ni amani huku ghasia ukiwa ndio msingi wenu mkuu!Kama hakina shaka tutakijua tuu
Anzisha ata saivi tuone kma utaweza
Kijana ukitaka kuujua Uislamu kaa chini UsomeKama mnavyouita uislamu ni amani huku ghasia ukiwa ndio msingi wenu mkuu!
Mmmh mbona mnasomeka kirahisi tu au nyie mnajiona mmechutama?naijua vizuri hiyo dini yenu.Kijana ukitaka kuujua Uislamu kaa chini Usome
Uislamu una maadui wengi sana ambao wanajinasibisha na Uislamu eg boko haram,taliban,isis wote hawa wanajinasibisha na Uislamu lkn hawafuati maamrisho ya Uislamu
Ukitaka Elimu zaidi nifuate nitakuelimisha
HuijuiMmmh mbona mnasomeka kirahisi tu au nyie mnajiona mmechutama?naijua vizuri hiyo dini yenu.
Karirini hivyo hivyo matokeo yake utasikia kiarabu na quran ni lugha mbili tofauti!Huijui
Kitabu cha sarufi ulisomeshwa
Qur'an wataka kuisoma ww ndo mna nakwambia huijui
Usilolijua sawa na ucku wa gizaKaririni hivyo hivyo matokeo yake utasikia kiarabu na quran ni lugha mbili tofauti!
Wakristo bhnaPia magerezani wanaongoza pia, usisahau hilo
Usisahau na wasiojulikana aka watesaji nao ni akina Jumanne, Omari, etc. Kweli Wakristo wanna hofu ya Mungu. Kumbuka pia pesa ni mali ya shetani kwa hiyo ukifuatilia vizuri utakuta hao mabilionea wako ni mawakala, hata hao wasanii ulowaweka kumbuka starehe kama imebarikiwa na shetaniThey dominate and represent Tanzania in many aspects of life:
1. Football
70% of Simba, Yanga and Azam first eleven teams are dominated by Muslim players.
[UPDATE from DeepPond]:
Not to mention the likes of Mbwana Samatta who shines our name internationally!
- Azam FC inadhaminiwa na Bakhresa.
- Yanga inadhaminiwa na GSM.
- Simba inadhaminiwa na Mo.
View attachment 2049955
2. Boxing
Nothing to say here. Check these names:
Hassan Mwakinyo
Dullah Mbabe
Twaha Kiduku
View attachment 2049956
3. Basketball
Kuna anaemjua successful basketball player other than Hashim Thabit?
View attachment 2049957
4. Muziki
😀😀 Tuseme nini hapa.
Muziki genres karibu zote hapa kuanzia Taarab, Dansi, Urban, Singeli zote ziko dominated nao.
Chibu Dangote, Alikiba, Konde, Raymond Shaaban, Lovebyte, Zuchu, Mbosso, Aslay, Marioo.
View attachment 2049959
Tuendelee?? Alichoki, Late Banza Stone, Mwinjuma, Nasma Kidogo, Malkia Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Isha Mashauzi, Late TX Moshi, Late Marijani jabali la muziki, Komandoo Hamza Kalala.
5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.
View attachment 2049961
5. Leadership/Governance
Historians (and political experts) agree that awamu zilizotawaliwa na Muslim presidents ndizo zilikua na economic reforms, political stability, hata diplomatic relations na nchi za nje ziliimarika.
Don't mention Ugandan war ilitokea awamu gani, don't mention mauaji ya Mwembechai yalitokea awamu gani.
View attachment 2049963
Food for Thought: Is it a coincidence that all Muslim Presidents are still alive up to date!!!
========≠======
UPDATE: 6. Struggle for Independence:
Ni vigum mno, sana tena sana kutenganisha juhudi za kupigania uhuru wa Tanzania (both mainland and Zanzibar) na uislamu.
Kwenye baraza la wazee TANU mwaka 1961, liliundwa na watu 15, waislamu walikua 13 (JKN yule paleeeee)
View attachment 2051407
Umekalia sindano? PoleKumbe ni mashindano, mimi sikuwa nafahamu.
Provocative threads kama hizi hazina sifa ya kujadiliwa humu.
Haipo faida yeyote kujua hayo.
Ukweli ni ukweli tu hata kama hauutaki, hoja yangu kwako inaweza kuwa virojaWakristo bhna
Hoja dhaifu sanaaa
Mnaibishia mpk na quran yenyewe[emoji23]Usilolijua sawa na ucku wa giza
kwaio kitulize kama hujui kitu
Lete ilo andiko tunalolibishia hlf nikueleweshe hpaMnaibishia mpk na quran yenyewe[emoji23]
Kilichondikwa ndani ya quran ni lugha gani[emoji849]Lete ilo andiko tunalolibishia hlf nikueleweshe hpa
We jamaa sijui ukoje m nimekwambia lete andiko we umekazania kitu usichokijuaKilichondikwa ndani ya quran ni lugha gani[emoji849]
Hahaha usipaniki unasemaje kuhusu hili kwanza usipige chengaWe jamaa sijui ukoje m nimekwambia lete andiko we umekazania kitu usichokijua
M nikishawaona watu kma hivi hua nawapotezea tuu mna hana hojaHahaha usipaniki unasemaje kuhusu hili kwanza usipige chenga