Waislamu wanatubeba sana!!

Waislamu wanatubeba sana!!

[emoji117]Soma nilivyo kuelekeza hapo juu.
Leta verse kua Yesu kaingia kanisani
sisi mtume wetu kaingia msikitini na sisi tunaingia we huoni apo tunamfuata kwa kila jema alolifanya
Mtume wetu sisi kaoa na sisi Waislamu tunaoa
Yni saivi watu wameamka kiakili kila mtu anaona haswaa mke mmoja mtu hamtoshi na kanisa lenu ndo limekufungeni ivo mnaishia kua na nyumba ndogo tuu
 
Leta verse kua Yesu kaingia kanisani
sisi mtume wetu kaingia msikitini na sisi tunaingia we huoni apo tunamfuata kwa kila jema alolifanya
Mtume wetu sisi kaoa na sisi Waislamu tunaoa
Yni saivi watu wameamka kiakili kila mtu anaona haswaa mke mmoja mtu hamtoshi na kanisa lenu ndo limekufungeni ivo mnaishia kua na nyumba ndogo tuu
Hekima ni pamoja na kufanya Jambo Kwa wakati wake na mahali pake.

Hapa tunazungumzia

" Mchango wa Waislamu katika kuibeba nchi Kisasa, Kijamii na Kiuchumi"

Kuna watu hapa mimi nawaheshimu sana na sitaki kuwakwaza na malumbano ya Kidini.
Na nimekuambia hapa si mahali pake.
Hivi ni kwanini hutaki kuelewa ?

Haya maswali niulize kule kwenye jukwaa letu la Dini na sio hapa.
 
Hekima ni pamoja na kufanya Jambo Kwa wakati wake na mahali pake.

Hapa tunazungumzia

" Mchango wa Waislamu katika kuibeba nchi Kisasa, Kijamii na Kiuchumi"

Kuna watu hapa mimi nawaheshimu sana na sitaki kuwakwaza na malumbano ya Kidini.
Na nimekuambia hapa si mahali pake.
Hivi ni kwanini hutaki kuelewa ?

Haya maswali niulize kule kwenye jukwaa letu la Dini na sio hapa.
We sema tu huna ayo maandiko mbona maandiko mengine umeyaleta
 
Baada ya kusoma vitabu vyote na kupata ufafanuzi pale ambapo sijaelewa, niliamua kufuata Quran
Kwanza niliona Qurani inaikubali Biblia na wale wanaofuata mafundisho kikamilifu na pia Quran imemuelezea Yesu na miujiza yake hatua mbali mbali tangia utoto; wakati huku kwenye Bible nilikutana na yesu akizaliwa na kuja kukutana naye tena akihubiri
Lakini pia kwa asilimia kubwa kwenye Quran sikupata kauli zinazo pingana ndani ya kitabu kimoja ( hapa kasema fanya hiki, huku kasema usifanye; Kiufupi Quran ipo very straight nk nk nk nknknk
Muhimu; Usifuate waislam, fuata mafundisho ya uislam!
Lakini waislamu si ni matokeo ya mafundisho ya uislam.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
They deserve our respect!
Without Muslims, sijui tungelikua wapi.
 

Tanzania​




Tanzania (/ˌtænzəˈniːə/;[13][14]Tanzania - Wikipedia Swahili: [tanzaˈni.a]), officially the United Republic of Tanzania (Swahili: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania), is a country in East Africa within the African Great Lakes region. It borders Ugandato the north; Kenya to the northeast; Comoro Islands and the Indian Ocean to the east; Mozambique and Malawi to the south; Zambiato the southwest; and Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of the Congo to the west. Mount Kilimanjaro, Africa's highest mountain, is in northeastern Tanzania.


Capital Dodoma

Largest city Daressalaam

Official languages English and Swahili

National language Swahili

Regional languages Arabic • Sukuma•
Bena• Chagga•
Datooga• Digo•
Gogo• Haya•
Makonde• Sumbwa•
Others •

Religion (2020) 63.1% christianity
34.1% Islam
1.5% No religion
1.2% Traditional faith
0.1% others

Area

Total 947,303 km2

Water % 6.4

Population
2021( estimate) 61,193,226

Gdp PPP 2019 estimate

Total $ 200,144 billion

Many important hominid fossils have been found in Tanzania, such as 6-million-year-old Pliocene hominid fossils. The genus Australopithecus ranged all over Africa 4 to 2 million years ago; and the oldest remains of the genus Homo are found near Lake Olduvai. Following the rise of Homo erectus 1.8 million years ago, humanity spread all over the Old World, and later in the New World and Australia under the species Homo sapiens. H. sapiensalso overtook Africa and absorbed the older species of humanity.

Later in the Stone and Bronze Age, prehistoric migrations into Tanzania included Southern Cushitic speakers who moved south from present-day Ethiopia;[15] Eastern Cushitic people who moved into Tanzania from north of Lake Turkana about 2,000 and 4,000 years ago;[15] and the Southern Nilotes, including the Datoog, who originated from present-day South Sudan–Ethiopia border region between 2,900 and 2,400 years ago.[15]: page 18  These movements took place at about the same time as the settlement of the Mashariki Bantu from West Africa in the Lake Victoria and Lake Tanganyika areas. They subsequently migrated across the rest of Tanzania between 2,300 and 1,700 years ago.[15][16]

German rule began in mainland Tanzania during the late 19th century when Germany formed German East Africa. This was followed by British rule after World War I. The mainland was governed as Tanganyika, with the Zanzibar Archipelago remaining a separate colonial jurisdiction. Following their respective independence in 1961 and 1963, the two entities merged in 1964 to form the United Republic of Tanzania.[17] The countries had joined the British Commonwealth in 1961 and Tanzania is still a member of the Commonwealth as one republic.[18]

The United Nations estimated Tanzania's population at 56.31 million, which is slightly smaller than South Africa and makes it the second most populous country located entirely south of the Equator. The population is composed of about 120 ethnic,[19] linguistic, and religious groups. The sovereign state of Tanzania is a presidential constitutional republic and since 1996 its official capital city has been Dodoma where the president's office, the National Assembly, and all government ministries are located.[20] Dar es Salaam, the former capital, retains most government offices and is the country's largest city, principal port, and leading commercial centre.[17][21][22] Tanzania is a de facto one-party state with the democratic socialistChama Cha Mapinduzi party in power.

Tanzania is mountainous and densely forested in the north-east, where Mount Kilimanjaro is located. Three of Africa's Great Lakes are partly within Tanzania. To the north and west lie Lake Victoria, Africa's largest lake, and Lake Tanganyika, the continent's deepest lake, known for its unique species of fish. To the south lies Lake Malawi. The eastern shore is hot and humid, with the Zanzibar Archipelagojust offshore. The Menai Bay Conservation Area is Zanzibar's largest marine protected area. The Kalambo Falls, located on the Kalambo River at the Zambian border, is the second highest uninterrupted waterfall in Africa.[23]

Christianity is the largest religion in Tanzania, but there are also substantial Muslim and Animist minorities.[24] Over 100 different languages are spoken in Tanzania, making it the most linguistically diverse country in East Africa.[25] The country does not have a de jureofficial language,[26] although the national language is Swahili.[27] Swahili is used in parliamentary debate, in the lower courts, and as a medium of instruction in primary school. English is used in foreign trade, in diplomacy, in higher courts, and as a medium of instruction in secondary and higher education;[25]although the Tanzanian government is planning to discontinue English as the primary language of instruction, it will be available as an optional course.[28] Approximately 10 per cent of Tanzanians speak Swahili as a first language, and up to 90 per cent speak it as a second language.[25]



Source : Wikipedia
Aisee! Yaani Wikipedia ndio your reliable source of information?

Unajua hata wewe unaweza kuandika unachotaka Wikipedia?

Nilifikiri source yako ni Government of Tanzania.
 
Ukweli Ni kwamba Kuna watu wengi sana Wana majina yanayoendana na ya waislamu lkn watu hao sio waislamu.
Hivi unaweza kusema Naseeb nimuislamu ?
Uislam unaruhusu kufuga mbwa?
Uislam unaruhusu kuchukua mke wa mtu?
Uislam unaruhusu wizi au kutembea na kina delicious?
UISLAMU UNARUHUSU KUFUGA MBWA
 
Njia walizotumia kuupata huo utajiri Ni haramu...and it goes without saying that huo utajiri wao hauna uhalali.
Mfano Rostam Azizi ana biashara za uchimbaji madini. Ni haramu?

Mo Dewji anaviwanda vya sabuni, maji, mafuta, mashamba ya katani.

Zote hizo ni njia haramu?
 
Mfano Rostam Azizi ana biashara za uchimbaji madini. Ni haramu?

Mo Dewji anaviwanda vya sabuni, maji, mafuta, mashamba ya katani.

Zote hizo ni njia haramu?
Taja ngozi nyeusi muslim ambaye nitajiri?
Maan wengi wao niwafia dini..
 
hhhhhhhh sawaa
kwaio unaiamini iyo biblia ambayo watu wakijisikia tuu wanaweka agano jipya?
Yesu hakuoa,hakuingia kanisani,hakua mkristo, sasa ww mbona unayafanya hyo yote kma kweli unamfuata Yesu?

Nipe andiko kua Yesu kaingia kanisani,wapi bible inasema kua ni kitabu kisicho na shaka ndani yake hlf ndo nitakuona kweli unamfuata Yesu
Kwa hiyo na mimi nikianzisha dini yangu na kitabu kikawa na aya isemayo ''hiki kitabu hakina shaka ndani yake'' utaamini?akili za wapi hizi!
 
Mfano Rostam Azizi ana biashara za uchimbaji madini. Ni haramu?

Mo Dewji anaviwanda vya sabuni, maji, mafuta, mashamba ya katani.

Zote hizo ni njia haramu?
Biashara zao wanazifinance kwa mikopo ya riba, riba Ni moja kati ya madhambi makubwa kwa muislam.
Mfano Rostam Azizi ana biashara za uchimbaji madini. Ni haramu?

Mo Dewji anaviwanda vya sabuni, maji, mafuta, mashamba ya katani.

Zote hizo ni njia haramu?
 
Wanawabeba ila utambuwe wakristo ni moto wa kuotea mbali kabisa
Ni hivi,, waislam wengi hawakuwa employed serikalini, sababu zinaeleweka, so wengi walijikita katika biashara,, ujenzi, umachinga, michezo, miziki, ilimradi wapate ridhiki,
Ndo maana unakuta wameshika miziki, filamu, mipira, ndondi, etc.
Sababu walikuwa hawapati ajira kwa kigezo kwamba , hawakusoma[emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo na mimi nikianzisha dini yangu na kitabu kikawa na aya isemayo ''hiki kitabu hakina shaka ndani yake'' utaamini?akili za wapi hizi!
Kama hakina shaka tutakijua tuu
Anzisha ata saivi tuone kma utaweza
 
Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
Lakini cha ajabu kwenye kuongea ung'eng'e sasa,,, [emoji23][emoji23][emoji134],mi huwa nashangaaga sana,, [emoji1745]wasomi wanatuangusha sana

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani ni kosa kuanza kutambuana kwa Dini. Nadhani ni vizuri kutambuana kwa ability ya mtu husika na sio vinginevyo.

Halafu kitu ulichokosea umechukua majina machache Kila sehemu kuonesha ya kwamba hawa ndio wapo pekee yao. Umechukua majina maarufu ukahitimisha.Ungetuletea idadi yote ya wachezaji mpira ligi kuu sio Simba na Yanga na Azam tu au wanamuziki wote tukajua idadi.
Wayahudi wanatambuana kwa imani,, sio kosa, tatizo hapa watu wako sensitive tu,, dini hizi tumeletewa na wageni,,
Sisi waafrika tuko na dini zetu za asili[emoji1745]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom