Waislamu wanatubeba sana!!

Ukweli mchungu kama flagyl! Pole
Hakuna ukweli wowote umeokoteza majina ya watu halafu unasema Uislamu unatubeba. Inaonesha unatukuza dini za watu kuliko ability ya mtu. Kama mtu anaweza kufanya Jambo tumpongeze kwa ability sio kwa dini yake. Ability ya Samatta kucheza nje isiwe kuhusishwa na dini.
 
Shit sometimes happen washafanikiwa wewe wanakusaidia nini tafuta nawe ufanikiwe ,wana impact gani katika uo uislamu maana tunaona wakristo wanavyo jitahidi kujenga makanisa, kutajirisha viingozi wao wa dini ,n.k
 
Shoga maarufu aliyekua anajulikana Tanzania nzima ni "James Delicious"
Unataka kujua alikua dini gani?
View attachment 2050760
Shida yako unasumbuliwa na majina. Mtu akiitwa James umekimbia kumlable ni mkristo na mtu akiitwa Ally umekimbia kumlable ni muislam. Ethiopia Waziri Mkuu wake anaitwa Abeiy Ahmed lakini ni mlokole . Shida yako unatukuza udini.
 
Waislamu Kuna kitu wametuzidi wakristo na inabidi tujitafakari sana matendo Yao, mie Mkristo ila huwa na enjoy utawala wa Waislamu, huwa hawana mambo ya hovyo hovyo hivi tofauti na sie
Huo no mtazamo wako. Mimi kwangu akitawala Mkristo naona huwa Kuna maendeleo, Kama Rais Mkapa na Rais Magufuli. Kikwete ufisadi ulikuwa mkubwa na kujiana.
 
Hapo kwenye orodha ya matajili Shekhar Kanabar muondowe siyo mwislamu, namjuwa vizuri huyo mtoto tangu anasoma IST Upanga, then Switzerland mpaka anamaliza college Marekani, Baba yake nimepiga naye sana mishe.

Kupitia huyu dogo ninavyomfahamu ukiniambia watu weusi tumelaaniwa naweza kukukubalia kirahisi tu.

By the way umesahau tajiri namba moja duniani wa muda wote Mansa Musa.
 
Shida yako unasumbuliwa na majina. Mtu akiitwa James umekimbia kumlable ni mkristo na mtu akiitwa Ally umekimbia kumlable ni muislam. Ethiopia Waziri Mkuu wake anaitwa Abeiy Ahmed lakini ni mlokole . Shida yako unatukuza udini.
Kwahiyo unasema huyo James alikua Muislamu? Maana hata mazishi yake yaliongozwa na Kanisa!!
 
Tufanye hivi...

Tumtoe huyo mtoto wa bosi wako plus huyo marehemu Patel (Hindu)

Hao wengine nane waliobaki umeona kuna Mkristo hata mmoja hapo?
 
Hamza naye si mwislamu eeh
Shida sio kuwa mwislamu shida ni mwislamu safi maana naona umetaja hadi bongo fleva
Japo rayvanny sijui uislam umeamua tu kumpa
 
Tufanye hivi...

Tumtoe huyo mtoto wa bosi wako plus huyo marehemu Patel (Hindu)

Hao wengine nane waliobaki umeona kuna Mkristo hata mmoja hapo?
Hapo muislamu ni Said Bakhresa tu, waliobaki hao ni Illuminati, wengi kulijuwa hili ni ngumu sana.

Kabla ya kujuwa maana ya utajili ni nini jifunze kujuwa maana ya self made Millionaire.

Kwa Tanzania unakutana na watu kama marehemu Reginald Mengi na Juma Mufuruki na Bakhresa

Huyo Shekhar Kanabar na Mo Dewji walishaandaliwa maisha na Baba zao wao wametake off tu.

Mengi alivyotoka Uingereza kusoma alianza kuajili Water coopers kama mhasibu.
 
Ndiyo uislam unaruhusu ungekuwa hauruhusu wasingefanya hayo.
 
Kama unafikiri hivi akili zako ni mdogo sana,Kwan unadhani nikihamia hyo dini ntakuwa tajiri?
 
Mimi naona aibu kama Muislamu kwani wanasaidia kwa kiasi kikubwa kupotosha jamii kupitia nyimbo zao na baadhi ya matendo yao ya ajabu , hivyo mimi sioni cha kujivunia kwa ila kwa uchache tu .
 
Kwahiyo unasema huyo James alikua Muislamu? Maana hata mazishi yake yaliongozwa na Kanisa!!
Acha uongo James hajafariki. Wewe utakuwa umechanganya mafaili. Halafu hata Kama angekufa, mazishi kufanyiwa ibada ya kidini inaweza kuchangiwa na uhusianao was familia yake kwenye Mambo ya kanisani sio yeye. Tofautisha dini ya kikiristo na jina la kikristo.
 
Wakisha dominate hizo aspects, wewe unapata faida gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…