Waislamu wasiofika Gaza wana silaha yao kuu. Huu ndio muda wa kuitumia kuhakikisha Israel inashindwa

Waislamu wasiofika Gaza wana silaha yao kuu. Huu ndio muda wa kuitumia kuhakikisha Israel inashindwa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kuna hali zikitokea katika nchi au mbali ya miji waislamu humuelekea Allah aliyetukuka ili awape msaada. Na hiyo ina dalili kutoka kwa Mtume swalaLlaahu alayhi wassalam mwenyewe.

Baadhi ya matukio hayo ni pale nchi inapopata ukame mpaka watu wemekata tamaa na uhai wao. Watu hutoka nje ya mji katika hali ya kujidhalilisha kwa kuvaa zile nguo zao mbovu na kubebe vyombo vya maji huku wakiviweka juu chini na kuomba kwa unyonge mwingi ili wahurumiwe wapate maji.

Matukio ya aina hiyo yapo mengi.Hata wakati wa corona miaka 3 iliyopita waislamu wa Tanzania walipotishika na vifo vilivyotajwa kutokana na maradhi hayo misikiti mingi ilikumbuka dua maalum iitwayo kunuti na walikuwa wakiileta kila baada ya kipindi cha swala.

Katika muda huu ambapo jeshi la Israel limejichimbia Gaza na kuzima mawasiliano na kuzuia chakula na maji visiwafikie wote waliopo eneo hilo,ni wakati muwafaka wa kuleta kunuti kila baada ya swala au angalau mara mbili kwa siku kuomba nusra kwa wapalestina.

Ni kweli wale wenye moyo wa kuwasaidia hawawezi kufika huko kwa namna mbali mbali,hata hivyo dua zao zinapenya moja kwa moja bila kizuizi cha mdudu yoyote.

Wako waislamu wengi binafsi tayari wanaomba dua nzito kwa ajili ya ndugu zao wapalestina lakini ipo haja ya kuanza dua za pamoja ili kupata matokeo ya haraka.
 
Mmeanza kusali tangu lini,mbona kipigo kiko pale pale na zaidi myahudi anazidi kutanua eneo lake,gaza hiyoo inaenda na wayahudi.
IMG_3874.jpg
 
Dua ya mwenye kudhulumiwa Haina kipingamizi pindi anaezulumiwa anapoomba.

Dua inaweza kujibiwa instantly au kucheleweshwa , Mwenyezi Mungu ndo mjuzi.

Kuimba Dua pia sio guarantee ya kupata unachotaka papohapo.

Matatizo ni mtihani na ukiweza kuwa na subira ni Bora na ni sifa ya manabii
 
Mmeanza kusali tangu lini,mbona kipigo kiko pale pale na zaidi myahudi anazidi kutanua eneo lake,gaza hiyoo inaenda na wayahudi.
View attachment 2796088
1698522351602.png

Huu unyakuzi ulifanyika kimya kimya.Waliokuwa wanajuwa ni wachache na hata walipopiga kelele hawakusikilizwa.Hiyo hali vile vile haikuhitaji hiyo dua.

Hali ya sasa ambapo watu wanauliwa kwa pamoja kwa makombora mazito na kila mmoja ameona na hana ujwezo kufika.Sasa ndio dua inafanya kazi.

Kila dua moja kwa dhati inakuwa ni zaidi ya makombora ya ndege 100 walizozipeleka IDF huko Gaza.
 
Daa,vita bhana...watu wanakufa balaa😭😭😭
 
Dua ya mwenye kudhulumiwa Haina kipingamizi pindi anaezulumiwa anapoomba.
Dua inaweza kujibiwa instantly au kucheleweshwa , Mwenyezi Mungu ndo mjuzi.
Kuimba Dua pia sio guarantee ya kupata unachotaka papohapo.
Matatizo ni mtihani na ukiweza kuwa na subira ni Bora na ni sifa ya manabii
Mfano wa kucheleweshwa majibu ni kama pale baada ya miaka 75 Hamas kuweza kufanya kitu kilichokuwa hakikufikiriwa na yoyote.

Nacho ni kutumia pikipiki na suzuki carry kuvuka mpaka uliojengwa kwa zege.Hilo itakuwa ni majibu ya mababu zoo waliokwishakufa.
 
Wanakufa balaa kwa njaa,kiu na miripuko isiyokuwa na mpango.Wanakufa ndani ya giza totoro na hata sauti hawawezi kutoa tena.Anayewasikia ni huyo anayesikia dua za waliombali nao tu.
😭😭😭😭Ee Mungu wetu...sikia kilio chao...daah
 
Kuna hali zikitokea katika nchi au mbali ya miji waislamu humuelekea Allah aliyetukuka ili awape msaada.Na hiyo ina dalili kutoka kwa Mtume swalaLlaahu alayhi wassalam mwenyewe.
Baadhi ya matukio hayo ni pale nchi inapopata ukame mpaka watu wemekata tamaa na uhai wao.Watu hutoka nje ya mji katika hali ya kujidhalilisha kwa kuvaa zile nguo zao mbovu na kubebe vyombo vya maji huku wakiviweka juu chini na kuomba kwa unyonge mwingi ili wahurumiwe wapate maji.
Matukio ya aina hiyo yapo mengi.Hata wakati wa corona miaka 3 iliyopita waislamu wa Tanzania walipotishika na vifo vilivyotajwa kutokana na maradhi hayo misikiti mingi ilikumbuka dua maalum iitwayo kunuti na walikuwa wakiileta kila baada ya kipindi cha swala.
Katika muda huu ambapo jeshi la Israel limejichimbia Gaza na kuzima mawasiliano na kuzuia chakula na maji visiwafikie wote waliopo eneo hilo,ni wakati muwafaka wa kuleta kunuti kila baada ya swala au angalau mara mbili kwa siku kuomba nusra kwa wapalestina.
Ni kweli wale wenye moyo wa kuwasaidia hawawezi kufika huko kwa namna mbali mbali,hata hivyo dua zao zinapenya moja kwa moja bila kizuizi cha mdudu yoyote.
Wako waislamu wengi binafsi tayari wanaomba dua nzito kwa ajili ya ndugu zao wapalestina lakini ipo haja ya kuanza dua za pamoja ili kupata matokeo ya haraka.
Bahat nzur title didi ya ardhi ya Israel walipewa na Mungu mwenyewe.
 
View attachment 2796107
Huu unyakuzi ulifanyika kimya kimya.Waliokuwa wanajuwa ni wachache na hata walipopiga kelele hawakusikilizwa.Hiyo hali vile vile haikuhitaji hiyo dua.

Hali ya sasa ambapo watu wanauliwa kwa pamoja kwa makombora mazito na kila mmoja ameona na hana ujwezo kufika.Sasa ndio dua inafanya kazi.

Kila dua moja kwa dhati inakuwa ni zaidi ya makombora ya ndege 100 walizozipeleka IDF huko Gaza.
Kafuatilie historia, kabla ya 1947 nchi yote ilikuwa chini ya waingereza
 
Kuna hali zikitokea katika nchi au mbali ya miji waislamu humuelekea Allah aliyetukuka ili awape msaada. Na hiyo ina dalili kutoka kwa Mtume swalaLlaahu alayhi wassalam mwenyewe.

Baadhi ya matukio hayo ni pale nchi inapopata ukame mpaka watu wemekata tamaa na uhai wao. Watu hutoka nje ya mji katika hali ya kujidhalilisha kwa kuvaa zile nguo zao mbovu na kubebe vyombo vya maji huku wakiviweka juu chini na kuomba kwa unyonge mwingi ili wahurumiwe wapate maji.

Matukio ya aina hiyo yapo mengi.Hata wakati wa corona miaka 3 iliyopita waislamu wa Tanzania walipotishika na vifo vilivyotajwa kutokana na maradhi hayo misikiti mingi ilikumbuka dua maalum iitwayo kunuti na walikuwa wakiileta kila baada ya kipindi cha swala.

Katika muda huu ambapo jeshi la Israel limejichimbia Gaza na kuzima mawasiliano na kuzuia chakula na maji visiwafikie wote waliopo eneo hilo,ni wakati muwafaka wa kuleta kunuti kila baada ya swala au angalau mara mbili kwa siku kuomba nusra kwa wapalestina.

Ni kweli wale wenye moyo wa kuwasaidia hawawezi kufika huko kwa namna mbali mbali,hata hivyo dua zao zinapenya moja kwa moja bila kizuizi cha mdudu yoyote.

Wako waislamu wengi binafsi tayari wanaomba dua nzito kwa ajili ya ndugu zao wapalestina lakini ipo haja ya kuanza dua za pamoja ili kupata matokeo ya haraka.
Suluhu ya kuishi kwa amani hili eneo ni kuacha ugaidi, maombi yanaweza yasiwasaidie sana, kwanza nao wana Mungu wao.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom