Ni salama sana kuishi nchi za makafiri kuliko nchi za kiislamu Mtu amefunga anachapa viboko watu wanaokula mchana๐๐๐๐ Dini yako inahusu nini na kufunga kwa wengine?
Nchi za kiislamu zimejaa vurugu na mauaji kila kukicha. Mfano hai Libya na Sudan halafu wanamsingizia Marekani๐๐๐๐๐
kwakua ni wajinga na hawajielewi kwao hawataki umagharibi ila wakienda magharibi wanataka waendekeze sheria zao za kijingaUislamu umeikosea nini dunia!
Mbona kila kukicha nikupigwa mawe??
Wapo wachache sana! Ila ukiona mwarabu kaolewa na mswahili basi anapitia mengi sana! Na wamepitia/walipitia misukosuko mingi sana!... Na aliyeolewa lazima baadhi ya watu kutoka kwenye familia wamuone mwenzao amewasaliti, hayuko timamu kiakili, karogwa au mtu wa ajabu sana! Hata kama aliyemuoa ni msimamisha dini (moja ya kigezo wanachodai wanakitaka wao, ila ni uongo tu!)Hata mimi linanishangaza sana, sioni waislamu weusi wanioa waarabu
Haha..Umesahau Pakistan ๐ต๐ฐ Afghanistan ๐ฆ๐ซ Bangladesh ๐ง๐ฉ & Somalia ๐ธ๐ด
Wapo wachache sana! Ila ukiona mwarabu kaolewa na mswahili basi anapitia mengi sana! Na wamepitia/walipitia misukosuko mingi sana!... Na aliyeolewa lazima baadhi ya watu kutoka kwenye familia wamuone mwenzao amewasaliti, hayuko timamu kiakili, karogwa au mtu wa ajabu sana! Hata kama aliyemuoa ni msimamisha dini (moja ya kigezo wanachodai wanakitaka wao, ila ni uongo tu!)
Hao waanzilishi wa hii dini yetu ya kiislam wanaoiita dini ya Imaan ni washenzi na makatili sana! Wanatangaza amani huku wameficha mapanga Wachache sana huwa wamenyooka.
Kumbuka hata mimi ni Muislam pia, ila UKWELI USEMWE!
naona umeamua kuhara chuki zako dhidi ya uislamUislamu ni dini ya hovyo sana. Ndiyo maana ni salama kuishi nchi za makafiri kuliko kwenye nchi za waislamu.
Hapo Zanzibar watu wanachapa viboko watu wanaokula mchana. Wewe ufunge kula, ule saa 1 usiku, saa 2 usiku, saa 5 usiku na saa 9 usiku ule halafu unaonea wivu wanaokula mchana. Funga yako inatuhusu nini sisi?
Ungekuwa Sudan. Waarabu wangekuwa wameshakupiga risasi maana hawataki waislamu weusi wala makafiri weusi
Wao huwaoni kwa wengine, historia ulisoma!?Sasa mbona mnakwenda kwao?
Uislamu una matendo ya chuki ndiyo maana wenye akili timamu hawautaki.naona umeamua kuhara chuki zako dhidi ya uislam
Duh..Uislamu una matendo ya chuki ndiyo maana wenye akili timamu hawautaki.
Iran: Binti hajafunikwa kichwa, anauliwa
Zanzibar: Ikifika Ramadhan, wanaanza kuchapa viboko watu wanaokula hadharani. Funga yako inahusu vipi watu wengine? Dini yako isiyo kero kwa wengine
Wangapi wamefia mikononi mwa polisi marekani,Tanzania nk!?..lilikua suala la dini au misconduct ya polisi!?..kule new Zealand mkiristo alienda kutembeza risasi msikitini watu wakiswali,alisukumwa na ukiristo wake,ni maagiza ya ukiristo!?..china wanakamata waislam na kuwalazimisha kula nguruwe,kutofunga Ramadan na kuwahasi,wanatumwa na Imani yao!?..si ukatili!? punguza chuki ikiwa huwezi achana nazo kabisaUislamu una matendo ya chuki ndiyo maana wenye akili timamu hawautaki.
Iran: Binti hajafunikwa kichwa, anauliwa
Zanzibar: Ikifika Ramadhan, wanaanza kuchapa viboko watu wanaokula hadharani. Funga yako inahusu vipi watu wengine? Dini yako isiyo kero kwa wengine
Sasa sijui kwann umeamua ku-share hiyo link na mimi hapo...
Nakuona kweli wewe ni muislamu ? Sijui Nani alikupa Huo uislamu ? Au ulipewa kanisani?Sasa sijui kwann umeamua ku-share hiyo link na mimi hapo...
Mimi ni Muislam, nazungumza kile cha kweli kutoka moyoni na ninayoyajua.
Sawa ,, kwanini mnapenda kukimbilia inchi za makafiri na sio zenu,,, waarabu kutwa kuchwa wanawaza kwenda USA, Canada,na ulaya kwanini?Sio tu kuendana na mila sasahivi tuna influence hadi maamuzi kwenye nchi zao, vipi unateseka ukiwa wapi?
Sadiq Khanโs win โbucks trendโ of Muslim voters rejecting Labour over Gaza, say party figures
Resounding victory in London mayoral race came despite media reports suggesting it would be a close contestamp.theguardian.com
DUNIA NI MOJA