Waislamu wasiotaka kuendana na mila na desturi za bara Uropa wahamie kwingine, asema waziri wa Ujerumani

Waislamu wasiotaka kuendana na mila na desturi za bara Uropa wahamie kwingine, asema waziri wa Ujerumani

Sasa tukienda kwengine dini itasambaa vipi ... Lazima twende nchi zisizo za kiislam tuzae tuishi tuache athari ya uislamu na huko
Well ni jambo jema kwa mtwzamo wenu,Ila kama hawataki huwezi kuwalazimisha, kitu Bora ni kila watu waishi kwao na tamaduni zao,
Arabs, na Africans, hathpendwi ulaya, kwa sababu hakuna cha maana tunachopeleka, sie tunaenda kula manono waliojenga wazungu, Ulaya, haizuii mchina, au, kaburu wa SA, au MTU tajiri, talented kama Dangote kwenda ulaya, Ila wale makupe choka mbaya wanaovuka Mediterranean au wale Arabs wa Afghanistan, waliojaa chawa,wale hawatakiwi kabisa.
Mzungu anamkaribisha Mhindi, anajua pale kuna kichwa cha IT, na udokta, African, anazamia aende kula manono, ukiangalia mitandaoni, Africans, ni kukata mauno tu barabarani kuchekesha wazungu! Tubaki kwetu, tupige elimu,tuive,kwenye IT, AI, udokta nk, wao wenyewe watatufuata
 
Uislamu umeikosea nini dunia!
Mbona kila kukicha nikupigwa mawe??
Hawa watu wako demon possessed; halafu kwa ujinga waliojazwa na kitabu chao wanafikiri ati wako karibu kupata ushindi wa kuifanya Dunia yote itawaliwe kiislam. Watu wako na misikiti ya kusalia halafu bado wanafunga barabara ati waswali! Kule Uingereza baada ya Waislam walioko chama cha Labour kushinda Umeya katka miji Saba wamemuandikia Kiongozi wa Labour takribani 17 demands, kwamba tumesaidia Labour kushinda uchaguzi w Serikali za Mitaa tunataka tutimiziwe masharti yetu ya Uislam. Kati ya hayo ati wanataka wanafunzi waislamu watengewe vyumba vya kuswalia shuleni. Serikali ya Labour iwawekee vikwazo Israel etc.
 
Mufti umeelewa kweli?
sana tenaaaaa, lakini kama wao walikwenda nchi za kiislamu wakatawala, wakapeleka waliyoyataka wao na kuharibu mfumo mzima wa maisha uliokuwepo, sasa ni zamu yao na wao wastahmili tu mwisho mambo yatajibalance.
 
The truth be told, amesema ukweli maana kuna nchi hasa mashariki ya kati huko kutawafaa zaidi, sema muislam mweusi na mweupe hawakai sehemu moja licha ya kuwa wao ni ndugu katika imani.
Mwislam mweupe aka mwarabu anaona mweusi kama mtumwa ama kijakazi. Anastahili kutumikishwa
 
Hii ndiyo miafrica wengi ni wajinga sana hawa Wazungu zaidi ya miaka 100 wanakuja Africa wanachukua mali zetu wanatuletea vita zisizoisha mfano Congo bado miafrica inaona wazungu wapo sawa Niger kawafukuza.

Sisi Waislam dini yetu imetuhamrisha kuzambaza Uislam kila kona ya dunia huo Mjerumani hawakataze Wajerumani wenzake wasiingie kwenye Uislam siyo Ulaya yote wanapenda ushoga ndiyo maana unaona Wazungu kila siku wanaingia kwenye Uislam.

Waiislam wananua Makanisa na kuyageuza Misikiti. Baada ya miaka 20 Ulaya itakuwa chini ya Waislam😅
Ikishakuwa chini ya waislam muanze ugaidi halafu mtakimbilia wapi?!
 
Wapo wachache sana! Ila ukiona mwarabu kaolewa na mswahili basi anapitia mengi sana! Na wamepitia/walipitia misukosuko mingi sana!... Na aliyeolewa lazima baadhi ya watu kutoka kwenye familia wamuone mwenzao amewasaliti, hayuko timamu kiakili, karogwa au mtu wa ajabu sana! Hata kama aliyemuoa ni msimamisha dini (moja ya kigezo wanachodai wanakitaka wao, ila ni uongo tu!)

Hao waanzilishi wa hii dini yetu ya kiislam wanaoiita dini ya Imaan ni washenzi na makatili sana! Wanatangaza amani huku wameficha mapanga Wachache sana huwa wamenyooka.

Kumbuka hata mimi ni Muislam pia, ila UKWELI USEMWE!
Daaa wewe umeongea ukweli mwingi saaaaana
 
Mnakimbia mataifa yenu, mnagoma kukimbilia mataifa ya waislamu na kuchagua kwenda bara Uropa kule ambako mnazaliana, ila mnataka hao huko Uropa wabadilishe mila na desturi zao ziendane na matambiko yenu......mumeagizwa mtafute kuhamia kwingine.
========================

Muslim refugees heading to Europe must accept the European way of life or leave, otherwise there were "better places" for them to go, German Finance Minister Wolfgang Schaeuble said in a discussion panel in Berlin on Wednesday.

Migrants who do not like the European way of living must be told "you have made the wrong decision", Schaeuble, who has served in Angela Merkel's cabinets since 2009, said.

"There are better places in the world to live under Islamic law than Europe," he added.

Schaeuble's comments come as the latest in a string of German reproach against Muslims in the country.

Last month, a member of the executive committee of Merkel’s Christian Democrats [CDU] Jens Spahn called for an "Islam law" to regulate mosques in Germany.

Spahn also called for language tests for imams, adding it is important for preachers at mosques to deliver sermons in German.

Authorities in Germany must "know what happens in mosques," he said.

Anti-Muslim hate crimes have risen in Germany since the arrival of around 890,000 asylum seekers in 2015. This move, coupled with widely publicised cases of refugees being accused of rape and sexual assault led to a backlash last year from Germany's far-right, who capitalised on anti-migrant sentiment.

According to a recent poll by Chatham House, 55 percent of people polled in ten European countries said they were in favour of an end to all further migration from Muslim countries.

The poll of 10,000 people shed light on the widespread level of public anxiety over Muslim immigration with only 20 percent of people disagreeing with Muslim immigration bans.

[unfurl="true"]Muslims 'must accept European values or leave Germany'[/URL]
Its too late hao wamagharibi hawaendeshwi tena na propaganda wameshaelimika wanajua baya na zuri tofauti na wewe kilaza cheki wasomi hao
 

Attachments

  • VID-20240516-WA0032.mp4
    39.7 MB
Back
Top Bottom