Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JE UISLAM NI DINI YA AMANI?Safi xnaa ..yaani tushawaambia jinsi mnavouchukia ndio unazid kuenea
..kama dini yenu haina hata katiba ni yenu
Sie tunapambania dini yetu nyie mnachukia ??
Ndivyo walivyoBibie umechanganyikiwa kunywa Konyagi uone utakavyoburudika na Mmeo?
Churchill alishasema mara kadhaaMfalme wa Uingereza ni Head of State wa UK Canada Australia New Zealand na visiwa mbali mbali.
Nchi zote hizo Demokrasia imetawala chaguzi huru haki za Binadamu nk.
Tofauti sana na Falme za Kiislamu ambazo hazina Demokrasia wala Haki za Binadamu.
Qur'an 35:3. Enyi watu! Kumbukeni neema za Allah juu yenu. Ati yupo muumba mwengine asiye kuwa Allah anaye kupeni riziki kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Hapana mungu ila Yeye tu. Basi wapi mnako geuzwa? 3Sheria (laws) zilikuwepo kabla hata ya uwepo wa Allah.
Bandiko lako halionekani.Je Uislam ni Dini ya Amani?
Uislam ndiyo dini pekee ya amani duniani.Ndivyo walivyo
Nimemuuliza swali lako chatgpt, kajibu hivi:JE UISLAM NI DINI YA AMANI?
Je, kuna Mahakama ya Sharia Uingereza?Wanachokitafuta watakipata
Hakuna kuuwa bila kwanzq wwwewe kuuwa katika Uislam. Ukiuwa na wewe unauliwa.
Uislam pekee ndiyo wenye hukumu njema na fair kabisa za sharia. Hakuna loingolongo.
Unafahamu kuwa katika Sharia unaweza kuuwa na una hatia na ukaachiwa huru kama warithi wamekusamehe?
Nambie ipo hiyo kwenye sheria ipi nyingine duniani?
Haina tofauti na kuoa katoto ka miaka 6.Demokrasia ya kuowana wanaume kwa wanaume? Au kuowana na mbwa, ndizo unazozisifia hizo?
Uislam ni mmoja tu. Hakuna siasa kali wala baridi kwenye Uislam.
Msidanganyane.
Acha upotoshaji,kuna Shia kuna Sunni kuna Druze kuna Ahmadiya kuna Khoja nk.Uislam ni mmoja tu. Haku
Acha upotoshaji,kuna Shia kuna Sunni kuna Druze kuna Ahmadiya kuna Khoja nk.
Unampotosha nani Bibie?!
Hizo fikra zako tu za kikondoo.Mbona ukiwa bongo utawaona wale wanaume wanaovaa tukaboka eti ndiyo msimamo mkali. Wale wanaovaa suruali za kawaida ni msimamo mpole.
Mbona Sunni anamuita Shia Kafir?! Mbona huko Pakistan Aswari Sunni wanalipua Waislamu poa wanaofanya Maulidi katika Misikiti ya Ahmadiya?!Mimi nakuuliza , unajuwa maana ya kuwa Muislam ni nini?
Shida ya FaizaFoxy anaamini kila kitu, ili mradi kisemwe au kuandikwa kwa kiarabu.Mbona Sunni anamuita Shia Kafir?! Mbona huko Pakistan Aswari Sunni wanalipua Waislamu poa wanaofanya Maulidi katika Misikiti ya Ahmadiya?!
Wewe Bibie acha kutudanganya.