Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Ma shaa Allah, unahukumiwa unauliwa waziwazi kwa makosa yako, hakuna wasiojulikana huko.

Siyo raha hiyo?

Hao wanaoua wenzao, ina maana hawana dhambi hata kidogo? Au wanaenda hija kujitakasa in yearly basis.
 
Kwenu kuna demokrasia na haki za binadam?
ifmat-Iranian-Mullahs-have-turned-the-entire-society-rogue.jpg

Kwetu Tanzania tulishakataa mfumo wa Kiislamu wa Mulahs takes all.
 
Hao wanaoua wenzao, ina maana hawana dhambi hata kidogo? Au wanaenda hija kujitakasa in yearly basis.
Huyo ni Mke Mulah na huenda kasema hela ya mboga haitoshi ndio anauwawa.
 
Sheria Law inaua Fikra Huru na Innovation watu wanakalia kuangaliana nani hajafunga Swaumu na nani hajafuga Ndevu ipasavyo.

Technology itafanywa ni haramu na Uingereza kama tuijuavyo ndio mwisho wake.

Kamal Ataturk alikataa huo ujinga ndio maana Turkey inamaendeleo sana.
 

Attachments

  • images (100).jpeg
    images (100).jpeg
    47.3 KB · Views: 2
Anauwawa kwasababu ya kupika Pombe kiburudisho kizuri kabisa.
Ukiona hivyo ujuwe imefikia kiwango cha ufisadi.

Ulitaka waachiwe watu wanaoumiza na kuuwa wenzao kwa kuwalevya?

Tena hao wa kuuwa haraka sana.
 
Kwetu Tanzania tulishakataa mfumo wa Kiislamu wa Mulahs takes all.
Nimekuuliza kwenu kuna demokrasia?

Naona swali limekuwa gumu kwako unaleta picha ya watu wamependeda na ndevu zao na kanzu zao.

Nimeipenda sana hii picha' wote simba hawa:

1729800319061.png
 
Wakuu.

Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.

Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.

Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"

Hivi hii ni sawa wakuu?

Safi xnaa ..yaani tushawaambia jinsi mnavouchukia ndio unazid kuenea
..kama dini yenu haina hata katiba ni yenu
Sie tunapambania dini yetu nyie mnachukia ??
 
Hao wanaoua wenzao, ina maana hawana dhambi hata kidogo? Au wanaenda hija kujitakasa in yearly basis.
Hakuna kuuwa bila kwanzq wwwewe kuuwa katika Uislam. Ukiuwa na wewe unauliwa.


Uislam pekee ndiyo wenye hukumu njema na fair kabisa za sharia. Hakuna loingolongo.


Unafahamu kuwa katika Sharia unaweza kuuwa na una hatia na ukaachiwa huru kama warithi wamekusamehe?

Nambie ipo hiyo kwenye sheria ipi nyingine duniani?
 
Ukiona hivyo ujuwe imefikia kiwango cha ufisadi.

Ulitaka waachiwe watu wanaoumiza na kuuwa wenzao kwa kuwalevya?

Tena hao wa kuuwa haraka sana.
Bibie umechanganyikiwa kunywa Konyagi uone utakavyoburudika na Mmeo?
 
Hao ndiyo wenye akili.

Hakuna sheria ambazo ni bora zaidi ya sharia duniani.

Kama unabisha anza tulinganishe sheria na sharia moja moja. Ujionee ubora wa sharia.
Wapi bhana wewe zingekuwa bora mngetifuana huko mashia na sunni kila sku hawaivu chungu kimoja.

Tatizo la hiyo imani ni unafki na uzushi na kujiona the best kuliko wengine.
 
Kama nchi zote zilizotawaliwa na UK zina English Common Law kama msingi wa sheria mama zao, kwanini UK wasiwe na Sharia Law?
Ambazo zinaweza kubadilika nadhani na ku adjust kulingana na mazingira. Sharia kama sharia mfano wake na utekelezaji wa hali ya juu ni Afghanistan ikiwa chini ya Taleban.

Wale jamaa wakiskia Rais mwanamke wanashangaa kabisa, ukiwauliza huko kwao vipi. Unakuwa unawachekesha sana
 
Hayo ni yako ambayo hayaondoi ukweli kuwa sharia ndiyo suluhisho la matatizo ya duniani.
Hahaha sasa tuangalie nchi za kiislam na tuanze na kwetu Africa…Somalia, Sudan, Nigeria ya wa Islam, Central African Republic, Sahel etc na ukiongeza jihad ni kila kona ya Africa, na kule Middle East ndio balaa tupu..suluhisho ni matatizo tupu
 
Back
Top Bottom