Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Jiulize kwanza kwanini wapo Uingereza, to begin with. Kurudi kwao haiwezekani. Uingereza ndiyo nchi yao. Wamezaliwa Uingereza na watakufa Uingereza.
Kurudishwa kwao inawezekana, Abu Hamza(Mustafa Kamel Mustafa) alikua ni Imam wa msikiti wa Finsbury.
Alirudishwa kwao Misri kwa makosa kama hayo mwaka 2012.
 
Sharia ndiyo suluhisho la duniani, siyo Uingereza tu.

Niliwahi kuandika hivi: Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Haijalishi waliingia vipi.

Kwani Waingereza waliingiaje nchi zao hao? Au hujuwi?

Sharia ndiyo suluhisho la duniani, siyo Uingereza tu.

Niliwahi kuandika hivi: Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata S
Sharia ndiyo suluhisho la duniani, siyo Uingereza tu.

Niliwahi kuandika hivi: Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Haijalishi waliingia vipi.

Kwani Waingereza waliingiaje nchi zao hao? Au hujuw

Sharia ndiyo suluhisho la duniani, siyo Uingereza tu.

Niliwahi kuandika hivi: Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Haijalishi waliingia vipi.

Kwani Waingereza waliingiaje nchi zao hao? Au hujuwi?
Umeandika ujinga
 
Au watoke hapo waende anapoishi Netanyahu waanzishe hilo varangati.
 
Chakushangaza yote hayo ni makimbizi yaliokimbia upimbi wa sharia nchini mwao kuna mabwege yamekimbia talibani apo kuna mengine yaliwakimbia iss yapo yaliomkimbia ayatollah
 
Chakushangaza yote hayo ni makimbizi yaliokimbia upimbi wa sharia nchini mwao kuna mabwege yamekimbia talibani apo kuna mengine yaliwakimbia iss yapo yaliomkimbia ayatollah
Takbiir
 
Ati Mwingereza aache Demokrasia awe anasikiliza Fatwa ya Shura ya Maayatola?! Ambao ni Mambumbumbu wa Elimu ya Dunia.

Hivi huelewi kuwa Uinfereza ni nchi ya Kifalme? Huyo mfalame unamchaguwa wewed kidemokrasia.

Uislam una Shuura, ambaho ni bora kuliko demokrasia.

Unajuwa kwa sharia ya Kiislam hakuna mtu kusema "nichagueni mimi" au kufanya kampeni?

Sharia ni suluhisho la dunia,labda uwe ni mtu ambae unapenda na kufata ushetani.
 
Naunga mkono hoja wapo sahihi kabisa. Uislamu ndio suluhisho pekee kwa mmomonyoko wa maadili wa kutisha uliopo Ulaya na Marekani.
Tanzania tumeshakataa hatutaki hivyo vijisheria vya kipumbavu vya karne ya saba na uzuri hata wanaojiita waislam ktk Tanzania asilimia kubwa hawavitaki kabisa na ndio maana ktk Tanzania wengi wa wanaojiita waislam wanakunywa pombe na wengi wa barmaids pia ni haohao.
 
Hivi huelewi kuwa Uinfereza ni nchi ya Kifalme? Huyo mfalame unamchaguwa wewed kidemokrasia.
Mfalme wa Uingereza ni Head of State wa UK Canada Australia New Zealand na visiwa mbali mbali.

Nchi zote hizo Demokrasia imetawala chaguzi huru haki za Binadamu nk.

Tofauti sana na Falme za Kiislamu ambazo hazina Demokrasia wala Haki za Binadamu.
 
Acha porojo, sharia zimetungwa na punguani Allah na zimesababisha matatizo makubwa duniani.
Naona unakuja na lugha ya kuudhi. Nini kimekukasirisha?

usingepata neno sheria bila sharia, unalijuwa hilo?
 
Uislam ni mwema sana.
lashkar.jpg
terrorists-1458052170.jpg
Tehreek-Taliban-Pakistan.jpg
 
Mfalme wa Uingereza ni Head of State wa UK Canada Australia New Zealand na visiwa mbali mbali.

Nchi zote hizo Demokrasia imetawala chaguzi huru haki za Binadamu nk.

Tofauti sana na Falme za Kiislamu ambazo hazina Demokrasia wala Haki za Binadamu.
Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Mfalme wa Uingereza?
 
Back
Top Bottom