FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ma shaa Alla, wpigania uhuru wa wapi hao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma shaa Alla, wpigania uhuru wa wapi hao?
Uislamu ndio Dini yenye msimamo mkali duniani.
Kukiri kuwa unaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja?Ndo nini fafanua
Kwani wewe siyo mstaarabu?Uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu.
Huo msimamo mkali au mlalo mkali sijui, wakaufanyie kwao sio ugenini kwa watu.Uislamu ndio Dini yenye msimamo mkali duniani.
mambo ya kifala. umeenda ugenini fuata sheria za ugenini. umeona hapafai hama. hawa waislamu wachache wanafanya waislamu wanaojielewa waonekane wote mazwazwama
Sasa achaguliwe Nchi ngapi?! Siku UK Australia Canada nk. Zikiamua kuwa Republic of course itabidi lakini so far King Charles ni head of State kwenye Nchi nyingi zilizokuwa Himaya ya Mwingereza.Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Mfalme wa Uingereza?
Magaidi hatari wenye lengo la kufuta Dini zote za "Kikafiri".Ma shaa Alla, wpigania uhuru wa wapi hao?
View attachment 3134157
British Girls Night Out.❤️
View attachment 3134158
Uislamu unataka kuwafanya hivi👆 Waingereza.😱
Usiku mwemaKwani wewe siyo mstaarabu?
Usiku mwemaKwani wewe siyo mstaarabu?
Mi si muarab.Kwani wewe siyo mstaarabu?
Sasa kafiri tena, sini aitowe wapi?Magaidi hatari wenye lengo la kufuta Dini zote za "Kikafiri".
Vipi umewapenda Bibie?!
Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Mfalme wa Uingereza?Sasa achaguliwe Nchi ngapi?! Siku UK Australia Canada nk. Zikiamua kuwa Republic of course itabidi lakini so far King Charles ni head of State kwenye Nchi nyingi zilizokuwa Himaya ya Mwingereza.
Uislam ni mwema sana.
Kwenu kuna demokrasia na haki za binadam?Mfalme wa Uingereza ni Head of State wa UK Canada Australia New Zealand na visiwa mbali mbali.
Nchi zote hizo Demokrasia imetawala chaguzi huru haki za Binadamu nk.
Tofauti sana na Falme za Kiislamu ambazo hazina Demokrasia wala Haki za Binadamu.
Waingereza wako happy na Mfalme wao wewe Uchaguzi wa Raisi wako wa CCM umekusaidia nini?!Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Mfalme wa Uingereza?
Mimi mwenyewe nataka Mfalme wa Uingereza arudi kuja kuitawala Tanganyika.Kwenu kuna demokrasia na haki za binadam?
Ma shaa Allah, unahukumiwa unauliwa waziwazi kwa makosa yako, hakuna wasiojulikana huko.