imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mbona Nchi zenye Sharia Law Waisilamu wanazikimbia?!Hayo ni yako ambayo hayaondoi ukweli kuwa sharia ndiyo suluhisho la matatizo ya duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Nchi zenye Sharia Law Waisilamu wanazikimbia?!Hayo ni yako ambayo hayaondoi ukweli kuwa sharia ndiyo suluhisho la matatizo ya duniani.
Wana pigania uhuru wa kulala na vitoto vya miaka sitaMa shaa Alla, wpigania uhuru wa wapi hao?
Hayo ni yako ambayo hayaondoi ukweli kuwa sharia ndiyo suluhisho la matatizo ya duniani.
wale huwa ni wapuuzi sana hawana shukrani ukiwahifadhi na kuwaepusha na shida zao wanakugeuka na kuanzia kuwa mwiba mkali nyumbani kwakoAkili za hao jamaa, ni afadhali uishi na NYEGERE
Wakuu.
Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.
Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.
Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)
Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.
Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"
Hivi hii ni sawa wakuu?
Kasome bi lia ujione ulivyo mpumbavu.View attachment 3134507
Bibie, kunywa Bapa achana na mafundisho ya uongo ya Ayatolah.
Netanyahu kila siku anagonga Whisky halafu anagusa Button kwa Glass kitu kinaenda Gaza.
Sheitwan na vurugu damudamu,Acha awaoneshe si wamempa nafasi wenyewe.Wakuu.
Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.
Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.
Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)
Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.
Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"
Hivi hii ni sawa wakuu?
Wanatakiwa mema huko hawaelewi kama ulivyo wewe.Sheitwan na vurugu damudamu,Acha awaoneshe si wamempa nafasi wenyewe.
huoni kuwa dunia itakuwa gizani kwa kuwa na itikadi hiyo?Mtume alisema miaka 1400 iliyopita tutakua wengi na kutapakaa dunia nzima na wengine watasilimu makundi kwa makundi, lakini alionekana chizi anaongea ujinga na hili goma bado kimbunga chaja
Jaribu kuanza kufikiri kwa kuufunguwa loki moyo wako.huoni kuwa dunia itakuwa gizani kwa kuwa na itikadi hiyo?
Si aNdiyo maana unaiona Tanzania ni ombaomba wa kimataifa licha ya mali asili zote alizotujaalia Mwenyezi Mungu.Tanzania tumeshakataa hatutaki hivyo vijisheria vya kipumbavu vya karne ya saba na uzuri hata wanaojiita waislam ktk Tanzania asilimia kubwa hawavitaki kabisa na ndio maana ktk Tanzania wengi wa wanaojiita waislam wanakunywa pombe na wengi wa barmaids pia ni haohao.
Demokrasia ya kuowana wanaume kwa wanaume? Au kuowana na mbwa, ndizo unazozisifia hizo?Mfalme wa Uingereza ni Head of State wa UK Canada Australia New Zealand na visiwa mbali mbali.
Nchi zote hizo Demokrasia imetawala chaguzi huru haki za Binadamu nk.
Tofauti sana na Falme za Kiislamu ambazo hazina Demokrasia wala Haki za Binadamu.
Mmmh mbn akili yako ndogo hivi?!Naona unakuja na lugha ya kuudhi. Nini kimekukasirisha?
usingepata neno sheria bila sharia, unalijuwa hilo?
Aisee!Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Mfalme wa Uingereza?
Hawa jamaa wakienda kwa Allah kisha wakakuta kweli mito ya Pombe watamuambia Allah this is haram haram muogope Allah.. Ndio maana Mwisho wa Dunia haufiki maana Allah keshajua majaa ni majanga haya bora Dunia iendelee tu.. huku Hamas kule Hezbollah wanajitoa tu kisa mademu wa Allah hahaha Allah mbona ana kazi kubwa dhidi ya wapenda papuchiWakuu.
Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.
Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.
Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)
Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.
Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"
Hivi hii ni sawa wakuu?
Wewe wachana na akili zangu ndogo, jibu hoja zangu tu.Mmmh mbn akili yako ndogo hivi?!