Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

keir_starmer_in_muslim_garb__ai.jpg

Magaidi wa Hizbu ul Tahrir wanataka Waziri Mkuu wa Uingereza avae Pink Hijaab chini ya Sharia Law.
 
Najaribu kufikiria mtu anakuja nyumbani kwangu kuniomba hifadhi. Nikishamhifadhi ananitaka nibadilishe lifestyle yangu iwe kama yake. Yaani kwa vile yeye hatumii kinywaji basi ananitaka niondoe vinywaji vyote nyumbani kwangu.
 
man-eating-a-large-juicy-steak-with-chips-DFMP14.jpg
86077617-0-image-a-30_1718289083959.jpg

Muingereza aache kula Nguruwe zake ati kwasababu Allah hataki?!

Sheria Law inafaa kwa Watu wasio na Elimu ya kutambua.
 
😂😂😂 waislam baadhi wanauaibisha uislam wote, wanaonekana ni dini ya hovyo tu sasa
 
Hawanaga akili hao ndio maana wenye akili wanawaangalia tu.
 
Wakuu.

Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.

Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.

Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"

Hivi hii ni sawa wakuu?

Soon watapakiwa kwenye ndege
 
Hao ni Hizb ul Tahrir Kiongozi wao yuko Jela kwa kutuma Fedha kwenye Vikundi vya Kigaidi Duniani.
Kama nimekuelewa yani sheria zao ni ngumu kwa hiyo wataenda kusipokuwepo na hizo sheria kwa makafikri kama wao wanavyowaita ili waishi kwa amani na uhuru
Hii inachekesha
 
Ni watu wasio na akili (vichaa wa uingereza) ndio wameandamana.
Hao ndiyo wenye akili.

Hakuna sheria ambazo ni bora zaidi ya sharia duniani.

Kama unabisha anza tulinganishe sheria na sharia moja moja. Ujionee ubora wa sharia.
 
Back
Top Bottom