Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Wakuu.

Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.

Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.

Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"

Hivi hii ni sawa wakuu?

HAO MBWA WAONDOKE HARAKA SANA WASHENZI HAWA
 
Hawa ngoja wapigwe ban na deportation juu ndio watajua kuwa wadhungu sio pipo
Wakuu.

Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.

Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.

Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"

Hivi hii ni sawa wakuu?

 
Mtume alisema miaka 1400 iliyopita tutakua wengi na kutapakaa dunia nzima na wengine watasilimu makundi kwa makundi, lakini alionekana chizi anaongea ujinga na hili goma bado kimbunga chaja
 
Mito ya pombe na bikra 72, umeshaandaliwa tayari mkuu... 🤒🤒.

Ni wewe unajichelewesha kwenda kuponda Raha.
Hivo vitu mimi napenda mkuu 😂 😂 😂
Alafu kule kuna mito ya asali na maziwa...

Licha ya hivo kule kuna wadada wa.kila.rangi...
Picha linaanza tunakuwa wote vijana mashababi
 
Wakuu.

Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.

Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.

Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"

Hivi hii ni sawa wakuu?

Wanawalea. Hii mijitu imekaa kiuchokozichokozi sana
 
Wakuu.

Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.

Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.

Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.

Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"

Hivi hii ni sawa wakuu?

Yasikubaliwe ni maharibifu sehemu yeyote yakikarimiwa huleta uharibifu na ujuaji usio na mfano.
 
Back
Top Bottom