Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Waislamu wenye msimamo mkali wafunga mtaa London wakitaka kuwepo kwa Sheria za Kiislamu nchini Uingereza

Sheria Law inaua Fikra Huru na Innovation watu wanakalia kuangaliana nani hajafunga Swaumu na nani hajafuga Ndevu ipasavyo.

Technology itafanywa ni haramu na Uingereza kama tuijuavyo ndio mwisho wake.

Kamal Ataturk alikataa huo ujinga ndio maana Turkey inamaendeleo sana.
 
Ndo mana nasemaje mkuu...
Wee angalia aridhio, ukichoka nenda safari Tv ila huku watakubonda 😂😂😂😂😂😂😂😂

Mkuu utapigwa ooooh oooh
Ardhio ulihaidi kuwa utafanya setting, lakini umekuwa mtoa Ahadi kama za Waziri MAJARIWA 😁😁. ( punguzeni vile vibibi vilivyopo pale TBC)

. Hawawezi mkuu, hata hivyo inabidi tutoe Ushauri kidunia ili waludishwe hata SYRIA 😅😅
 
Badala ya kuwaenzi na kuwazadia Wagunduzi wa AI na Vaccines na Madawa nk.

Uingereza chini ya Sharia Law itakuwa inawaenzi ma Qari na kuwazawadia zawadi nono kabisa.

Qari=msoma Quruani kwa madaha.
1900x1900-000000-80-0-0.jpg
 
Kuna nchi za kiarabu ambazo hata hiyo sharia imelegezwa mno wala haina uzito zaidi ya kwenye ndoa na talaka mfano;

1 Morocco 🇲🇦

2. Tunisia 🇹🇳

3. Jordan 🇯🇴


Kwa nini wasikazie huku kuwe na full sharia ,wanakazia hizo nchi ambazo hata sio utamaduni wao?🤔
 
Ardhio ulihaidi kuwa utafanya setting, lakini umekuwa mtoa Ahadi kama za Waziri MAJARIWA 😁😁. ( punguzeni vile vibibi vilivyopo pale TBC)

. Hawawezi mkuu, hata hivyo inabidi tutoe Ushauri kidunia ili waludishwe hata SYRIA 😅😅
Tutakufatilia wewe jichanganye tuuu 😂 😂 😂

Kuhusu alidhio tunaomba msamaha maana kama unavojua huku serikalinu mambo yetu ni taratibu sana ,🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom