Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Ardhio ulihaidi kuwa utafanya setting, lakini umekuwa mtoa Ahadi kama za Waziri MAJARIWA ππ. ( punguzeni vile vibibi vilivyopo pale TBC)Ndo mana nasemaje mkuu...
Wee angalia aridhio, ukichoka nenda safari Tv ila huku watakubonda ππππππππ
Mkuu utapigwa ooooh oooh
πwawape haki yao wazungu si wazee wa haki kama wameweza kuwapa haki mashoga iweje kwa wageni kutoka arabuni wanaotaka sheria zao!..π
Tutakufatilia wewe jichanganye tuuu π π πArdhio ulihaidi kuwa utafanya setting, lakini umekuwa mtoa Ahadi kama za Waziri MAJARIWA ππ. ( punguzeni vile vibibi vilivyopo pale TBC)
. Hawawezi mkuu, hata hivyo inabidi tutoe Ushauri kidunia ili waludishwe hata SYRIA π π
π€π€π€π€. Sawa mkuu...Tutakufatilia wewe jichanganye tuuu π π π
Kuhusu alidhio tunaomba msamaha maana kama unavojua huku serikalinu mambo yetu ni taratibu sana ,πππ
Nina msimamo mkali sana mkuu achaaa achaaa kabisa ππ€π€π€π€. Sawa mkuu...
Unafanya misimamo kwenye familia uliyokaribishwa ujikinge mvua tu?Uislamu ndio Dini yenye msimamo mkali duniani.
Msimamo mkali wapi mazuzu haoUislamu ndio Dini yenye msimamo mkali duniani.
Uislamu upi mkuu? Wa Mudi ama wa kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S?Uislamu ndio Dini yenye msimamo mkali duniani.
Uislamu ndio Dini yenye msimamo mkali duniani.
Duuh!! Netanyahu ana shabaha sana kailenga katikati ya Bawasiri π
Hii katuni ustaadh ungefungwa miaka thelathini mung'anda.πππ