Waisraeli 7 wakamatwa kwa kuitumikia Iran katika kupeleleza ngome za kijeshi za Israel

Waisraeli 7 wakamatwa kwa kuitumikia Iran katika kupeleleza ngome za kijeshi za Israel

Israel ni kama Iran wasaliti hawawezi kosa, kote uko kuna raia wasio asili ya hizo nchi. Israel ina raia Waarabu almost milioni mbili, na ina raia wa asili ya nchi karibu na Waarabu. Nchi ngumu kupata wasaliti ni kama Japan
Ila msaliti hata akiwa mjapan anaweza kua usaliti hautokani na race dini rangi kabila nk kuna muda pesa au kuamua tu au kutokukubaliana nasera za taifa husika
 
Wote walio kamatwa ni wayahudi hakuna mwarabu hata mmoja.
Kinacho fanya watu wafanye usaliti ni fedha au shinikizo fulani kutoka kwa walio watuma na si kwasababu ya asili yao.
Katika ulimwengu wa sasa hakuna aliye salama kwenye ulimwengu wa kijasusi.

"The suspects, all residents of Haifa and the north who emigrated from Azerbaijan, include a soldier who deserted the military, as well as two minors aged 16-17. They performed some 600 missions over two years, authorities said."
 
"The suspects, all residents of Haifa and the north who emigrated from Azerbaijan, include a soldier who deserted the military, as well as two minors aged 16-17. They performed some 600 missions over two years, authorities said."
Hata Azerbaijan kuna wayahudi pia
 
Israel ni kama Iran wasaliti hawawezi kosa, kote uko kuna raia wasio asili ya hizo nchi. Israel ina raia Waarabu almost milioni mbili, na ina raia wa asili ya nchi karibu na Waarabu. Nchi ngumu kupata wasaliti ni kama Japan

Wasayuni wa kwetu wanadhani udukuzi una hati miliki
 
Ila msaliti hata akiwa mjapan anaweza kua usaliti hautokani na race dini rangi kabila nk kuna muda pesa au kuamua tu au kutokukubaliana nasera za taifa husika
Kuna nchi ngumu kupata usaliti, Japan ni vigumu. Marekani ni rahisi mno kupata ina watu kutoka kila kona ya dunia.
Israel ina complex population structure hawa ni kutoka Ethiopia, hawa ni majirani kutoka Lebanon, hawa ni asili ya Palestina, hawa ni Egypt, huku wametoka Azerbaijan, wengine Urusi, wengine walirudi kutoka Argentina. Alafu Israel inapigana na maadui wengi ambapo ina raia wa asili ya hao maadui.

Israel ina zaidi ya 20% ya raia Waarabu, zaidi ya 5% groups nyingine sio Wayahudi. Marekani ilishindwa kupigana na Japan ikiwa raia wenye asili ya Japan wapo huru, iliwatenga kwenye kambi mpaka vita ikaisha. Israel inaweza manage kupigana na majirani Waarabu huku 20% ya watu wake wakiwa under supervision, sanasana stabbing attacks ndio zinasumbua.
 
Back
Top Bottom