Uchaguzi 2020 Waitara: M/kiti CCM Mkoa Mara ana tumbo kama pipa, simuogopi

Uchaguzi 2020 Waitara: M/kiti CCM Mkoa Mara ana tumbo kama pipa, simuogopi

Mbona hakuna alipomuongelea ccm regional chairman mkuu?
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara amesema hamuogopi mtu hata kama ana kitambi kama pipa, aliyasema hayo katika kikao na wajumbe wa CCM wilayani Tarime alipoendelea kusisitiza adhma yake ya kugombea ubunge wa Tarime Vijijini.

Alienda mbali na kusema hao wanaompinga yeye walikuwa wapi 2014 wakati CCM ikipoteza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Pia ameuliza walikuwa wapi wakati CCM ikipoteza majimbo yote mawili ma halmashauri zote? Kasema yeye amejitolea kuipa CCM uhai, na hakuna jiwe ambalo ataacha kuligeuza na haogopi na kutishwa na mtu ndani au nje ya CCM, lazima ashinde na kuwa mbunge wa Tarime Vijijini.

Isikilize video clip attached umsikilize moja kwa moja.
View attachment 1374587

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maswali mawili kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda. nyumbani kwa Tundu Lissu. Hivyo kama malipo ya kazı aliyofanya alizawadiwa nafasi ya kuwa Naibu Waziri TAMISEMI. Na ni sababu hiyo hiyo inayomfanya ajiamini kuwa hata Mkutano Mkuu wa Mkoa wa Mara ukimpitisha mtu mwingine, itakapofika kwenye mchakato wa mwisho Jiwe atakata aliyeshinda na kurngiza jina la Waitara.
Mkuu Kondom haitumiwi mara mbili. Subiri utaona.
 
Hapa hesabu zinaonyesha tayari ameshafeli.

Haijui ccm huyo.hiki chama huwa hakiongei Sana ila muda ukifika utashangaa mtu anageuka mlenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu sijui nani?
Kifua%20mbere.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa, mkutano anaufanya kama NW au MB wa Ukonga?

Manake kama NW kwanini ahutubie wanaCCM pekee?

Kama MB wa Ukonga....dah!

Intelijensia imekaaje kaaje hapa!
 
Huyu ni mgeni CCM, anaanza mapema kampeni!, bado haijui CCM, asipojifunza, asubiri atafunzwa!.
P

Utakuwa wewe tu ambae hujui Waitara alikwenda CHADEMA akitokea CCM baada ya kushindwa kura za maoni 2010 Tarime.

Hata juzi ziara ya PM Tanga Waitara alisema alikuwa Mwenyekiti UVCCM Tanga miaka ya nyuma.

So, his CCM bonafides, service and legacy are beyond reproach.

Party establishment in Mara, as elsewhere, is understandably rankled by the new divisive trend whereby impatient malcontents bolt the party only to return for fast track anointments, while those who stayed put get bypassed.
 
Ramli.
Kuna maswali mawili kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda. nyumbani kwa Tundu Lissu. Hivyo kama malipo ya kazı aliyofanya alizawadiwa nafasi ya kuwa Naibu Waziri TAMISEMI. Na ni sababu hiyo hiyo inayomfanya ajiamini kuwa hata Mkutano Mkuu wa Mkoa wa Mara ukimpitisha mtu mwingine, itakapofika kwenye mchakato wa mwisho Jiwe atakata aliyeshinda na kurngiza jina la Waitara.
 
hahahahaha wananchi wanapiga tu makofi hata pale walipoambiwa lengo kuu ni kuufanya mkoa wa Mara kuwa kijani, hahahaha halafu mkiwa masikini mnalalamika wakati msemaji hakuna hata neno la maana aliloongea kusaidia mkoa wa Mara zaidi ya kuufanya kuwa kijani..

Siasa za hivi inatakiwa ifike mahala tuzikatae na mtu akileta siasa hizi apigwe mawe, wagombea waje na mbinu na mikakati yakukwamua watu na kutatua shida mbalimbali.
Hao mataahira wa CCM ndicho wanachotaka kusikia na ndicho wanachoambiwa na mataahira wenzao!
 
Kuna uwezekano mkubwa kwa uchaguzi mkuu ujao kuhujumiwa kama ule wa mitaa uliyopita kwa mujibu wa kauli za Bashiru Ally, Polepole nk ni "The Ultimate Gamble" ambayo ccm watakuwa wameamua kuchukua.

Kama Magufuli and Co. wanafikiri wanaweza wakahujumu uchaguzi na ikawa imetoka tu hivyo kama walivyofanya Zanzibar kipindi kile nafikiri watakuwa wamebeti hovyo mno na hujuma hiyo itakuwa ni "A Blessing in Disguise" kwa siasa za Tanzania kwa siku zijazo.

Uchaguzi huo ndio utakuwa ni yardstick itakayotumiwa na wale tunaowatembezea bakuli kila siku kuamua hatima yetu hivyo hujuma itakuwa ni Nothing but The Self Defeating Exercise to this Country.
 
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara amesema hamuogopi mtu hata kama ana kitambi kama pipa, aliyasema hayo katika kikao na wajumbe wa CCM wilayani Tarime alipoendelea kusisitiza adhma yake ya kugombea ubunge wa Tarime Vijijini.

Alienda mbali na kusema hao wanaompinga yeye walikuwa wapi 2014 wakati CCM ikipoteza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Pia ameuliza walikuwa wapi wakati CCM ikipoteza majimbo yote mawili ma halmashauri zote? Kasema yeye amejitolea kuipa CCM uhai, na hakuna jiwe ambalo ataacha kuligeuza na haogopi na kutishwa na mtu ndani au nje ya CCM, lazima ashinde na kuwa mbunge wa Tarime Vijijini.

Isikilize video clip attached umsikilize moja kwa moja.
View attachment 1374587
vipi Ukonga hawamtaki tena?
 
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara amesema hamuogopi mtu hata kama ana kitambi kama pipa,
Na kweli...ana tumbo kama pipa! Shuhudieni wenyewe...


SamwelKiboye.jpg

Haya manyang'au, wewe acha tu...yanakula kama nzige! Hayalali!
 
Back
Top Bottom