Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Endeleeni kujidanganya tu!!! Tarime ni ya Heche na Matiko.Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi
Chanzo TBC ARIDHIO
Nyalandu alijitoa mwenyewe CCM hakufukuzwa.'Hata CCM pamoja na kwamba wameshika dola na pesa za nchi hii lakini hawamfukuzi Mbunge kirahisi'.
Hivi Nyalandu alitumuliwaje CCM?
Chadema imeshakufa, haipo tena.Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!
Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!
Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!
Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!
Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!
Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!
Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Politics is a dity game... Ounce you choose to be in opposition side get you self ready to face the consequences.Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!
Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!
Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!
Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!
Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!
Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!
Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaahaaaaaaMwambieni Bara bara ya Moshi Bar Mombasa haifai kabisa.
Aache kuendekeza Bia. Atakuja kudondokea pua
sababu gani zinakufanya umwite jembe ?Waitara ni jembe
anaanzaje ? kwanza unakumbuka ugomvi wake na namba tatu (mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara?)Eti Waitara aibomoa cdm!
Well said, naikumbuka ile UVCCM ya miaka ya 1980 ilivyokuwa na wanasiasa wenye uwezo sio hii ya akina sabaya, jerry na wenzake ambayo hata katibu mkuu wao anasema imepoteza uelekeoKijana, ndani ya CCM tokea kale vijana wetu walijawa na weledi na staha. Pia mijadala mingi kijana aliyeisemea CCM (tokea TANU) alisisimua kwa mtiririko wa hoja.
Utakuwa nyumba ndogo ya waitara wewe maana hiyo mfyuu mwanaume lijali hawezi kuandika hivyoUnamnunulia au ndio uwezo wako wa kifikili unawaza pombe tu. Mfyuuuu
Hivi huyo sio mtoro bungeni?Au bunge la bajeti ni muhimu kwa Cdm tu?Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi
Chanzo TBC ARIDHIO
Waitara ni faka,siasa za majitaka hizoJana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi
Chanzo TBC ARIDHIO
Muulize jirani yako anajuasababu gani zinakufanya umwite jembe ?
Hayakuhusuanaanzaje ? kwanza unakumbuka ugomvi wake na namba tatu (mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara?)
Kumbe waitara ni nccr mageuzi [emoji23][emoji23][emoji23]Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi
Chanzo TBC ARIDHIO
Naibu Waziri huyo au hujuiHivi huyo sio mtoro bungeni?Au bunge la bajeti ni muhimu kwa Cdm tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mbona umekurupuka au una matatizo ya kupumua
Vipi unawashwa unataka kukunwaUtakuwa nyumba ndogo ya waitara wewe maana hiyo mfyuu mwanaume lijali hawezi kuandika hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unayemsifia Waitara hapo nyuma hukuwa hivyo sijui nani tu aliyekuharibu huko nyuma maana umeharibika sana sana!!!!Waitara ni jembe