Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,811
- 2,916
Lakini waziri wa fedha Mwigulu nchemba alisema hela haziibiwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba moya, mama moya.Haya majangili ya CCM yanafahamiana vizuri sn.
Ni hatari tupuBaba moya, mama moya.
Mbona kama umepaniki?Waitara alinunuliwa?
Lowassa ndiye aliinunua Chadema 😀Mbona kama umepaniki?
👏Akipewa uwaziri anaanza kutetea wezi akinyimwa eti anageuka mzalendo? Huyu na mpina ni wanafiki tu
Lowassa ndiye aliinunua Chadema 😀
Hellow bunge lipo sehemu gani?Ana hoja ila angetumia akili kidogo tu
Hili la kunyonga hata wanaouwa hawanyongwi na analijua hilo
Wao ni kupigania sheria kali ya kuwafunga wabadhirifu wa mali za umma kama wanavyofungwa waizi wengine wa mitaani
Bora tuanzishe Saini mitaani ya hawa majizi kufungwa na liende bungeni kwa majizi likajadiliwe aaaaaaahh nimefuta kauli
Ndio maana nimefuta kauliHellow bunge lipo sehemu gani?
Yale ni matapeli tupuNdio maana nimefuta kauli
Kama watafanya referendum naona wapo wabunge watapiga makofi
Kwa sheria ipi?Msikile Waitara akitema cheche hapa
Asema watanzania wengi wanaisha maisha ya ufukara sana kiasi cha kushindwa hata kuwalipia ada watoto wao na kwenda kuomba msaada wa kufanikishiwa jambo hilo, akisema watumishi wa umma wote wanasomeshwa na watanzania na wana elimu ya kutosha, na kwamba wanafanya makusudi na kuiba kwa utaalamu.
Akisema uzembe upo kwa wabunge, kama mtu ameiba ripoti ipo, taarifa zipo, vyombo vipo, lakini mwizi hawajibishwi, je wanafundisha nini vijana wa Tanzania? Kwamba mtu ataiba na kuhamishwa tu wizara bila ya kuwajibika? Ataka wote waliothibitishwa kuhusika na wizi huo wanyongwe.
Asema wasisubiri kuambiwa kuwa wanantakiwa kuchukua hatua, bali wawajibishe sababu wao wabunge ndio wenye dhamana ya kufanya hivyo. Asema kama fedha zinatolewa kwaajili ya ripoti ya CAG kufanya uchunguzi halafu hakuna kinachofanyika zaidi ra ripoti hizo kuwekwa kwenye makabati na mwaka unaofata mambo kuwa yale yale, yeye Waitara ataachana na kuchangia maoni juu ya ripoti hiyo.
Hapo ujue Rushwa na Wizi hautaisha nchi masikini daimaYale ni matapeli tupu
Mbaya zaidi haya majizi yanabebwa na V8 na kulindwa na polisi badala ya kuwa magereza huko yanalimaHapo ujue Rushwa na Wizi hautaisha nchi masikini daima
Tunafuga majizi kila kona
Sasa huko kijani si ndiyo wamejaa wezi watupu [emoji1]Hapo anawaza 2025 anasoma upepo wala hana lolote
Mwenyewe anaumia hayo mabilioni hajalamba kituSasa huko kijani si ndiyo wamejaa wezi watupu [emoji1]
Wakinyongwa si watajimaliza wote
Ova
Nani sasa wa kuitunga hiyo sheria ya ukikutwa umeiba mali&fedha za umma unyongweHili ndio pendekezo langu lengo ni kufuta kizazi cha aina hii katika Taifa.
Hatuwezi kupiga hatua tukiwa na watu wa aina hii ambao hata Mwalimu alliwasema hadharani kuwa wana tabia za "kimalaya malaya".
Nawasilisha