Waitara: Wote waliothibitika kuiba fedha za serikali wanyongwe!

Sasa kama kuwakamata tuu wameshindwa ndio wataweza kuwanyonga 🤔🤔 alafu tangu lini mtu akajikamata mwenyewe na kwenda kujifunga 🤔🤔 ripoti ya CAG ilivyo pigwa kalenda alikua wapi 🤔🤔 wakiaanza kunyongwa yale majengo ya chama cha mboga mboga tutafugia popo, hakuna atakae pona wote ni wale wale
 
Nyakati zetu za kujivua gamba. Waitara ongoza njia....DJ,walete wengine!
 
Ana hoja ila angetumia akili kidogo tu
Hili la kunyonga hata wanaouwa hawanyongwi na analijua hilo
Wao ni kupigania sheria kali ya kuwafunga wabadhirifu wa mali za umma kama wanavyofungwa waizi wengine wa mitaani

Bora tuanzishe Saini mitaani ya hawa majizi kufungwa na liende bungeni kwa majizi likajadiliwe aaaaaaahh nimefuta kauli
 
Hellow bunge lipo sehemu gani?
 
Kwa sheria ipi?
 
Hili ndio pendekezo langu lengo ni kufuta kizazi cha aina hii katika Taifa.

Hatuwezi kupiga hatua tukiwa na watu wa aina hii ambao hata Mwalimu alliwasema hadharani kuwa wana tabia za "kimalaya malaya".

Nawasilisha
Nani sasa wa kuitunga hiyo sheria ya ukikutwa umeiba mali&fedha za umma unyongwe

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…