Waitara: Wote waliothibitika kuiba fedha za serikali wanyongwe!

Daaaaa misiba kila jimbo na wilaya lhaaa.....wapigaji wengi sanaaa
 
huyo jamaa hajawahi kuwa serious. watu wa tarime tunamjua ,huo ubunge anao kwa nguvu ya marehemu
 
Huyo chapombe hana sera. Yeye ndo alikuwa mwizi kweli kweli muda wote pombe kwa hela za wizi kipindi akiwa naibu waziri. Pia yeye mwenyewe Waitara yupo hapo bungeni kutokana na wizi wa kura, hivyo tuanze kumnyonga yeye kwanza.
 
Shida bunge letu limekuwa la wapiga kelele wanaongeaa Sana , ila hakuna kinachotokea.
 
Shida bunge letu limekuwa la wapiga kelele wanaongeaa Sana , ila hakuna kinachotokea.
 
Shida bunge letu limekuwa la wapiga kelele wanaongeaa Sana , ila hakuna kinachotokea.
 
Mnafiki tu. Anaenjoy wananchi tu. Eti wanyongwe, wanyongwe na nani?. Walipoga kalenda ripoti ya CAG ili majizi yajiweke vizuri na kuharibu ushahidi. Stupid bunge.
 
Ccm hawawezi kunyongana hakuna ccm hata mmja anaeweza mnyooshea mwenzie kidole.
 
Sana sana watatafuta kuwatoa kafara Watumishi ila walioiba pesa ni hao hao ccm
 
Ataumbie idadi ya waliofungwa ni wangapi?
 

Attachments

  • 20231017_170740.jpg
    80.6 KB · Views: 1
Sina uwakika ila nikiwa sehemu niliwahi sikia na yeye akiwa DARUSO aliiba pesa Mingi sana serikali ya wanafunzi, kama ni kweli basi sa hivi atakuwa ameokoka ndio mana ana uchungu
 
Akaendelea kuwa waziri wa fedha aliandika barua kupitia kwa katibu wake mkuu kutaka mkataba usainiwe ambayo hiyo pia ni muendelezo wa kuvunja sheria za nchi.

Lakini pia wamesema tulilazimika kutumia njia ya single source ili tupate mkopo wa standard chattered, lakini Mkopo wowote nchini unachukuliwa kwa mujibu wa sheria, na kwamba hauwezi kuchukua mkopo kwa kuvunja sheria za nchi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akasema kuwa amejiridhisha suala la kutumia mzabuni mmoja ni wizi rushwa na ufisadi, na hivyo anapendekeza kamati ya PAC kuvunja mkataba wa TRC kati ya Yapi Merkezi Rot 1 & 3 na kuitangaza upya

2. Mwigulu, Mbarawa, Mkurugenzi wa TRC, Mkugenzi wa Yapi Merkezi na wengine wote waliohusika wakamatwe, washtakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni hoja mkuu, mtu haanzi kunyongwa kama hujamkamata!

Upuuzi wa masisiemu huu
 
Namuunga mkono Waitara kwenye hili.
Mkuu hawa watu ni usanii kwa kwenda mbele. Hakuna ukweli wowowte na zaidi wameona uchaguzi unazidi kukaribia hivyo wanatoa mkwala ili wasikike. Na anajua kabisa Tanzania hakuna sheria ya kunyonga mafisadi lakini anabwabwaja...
 
Wanavyoongea hadi mishipa inawasimama inaweza kudhani wanamaanisha na wana uchungu kweli ila baadaye utasikia ndiooo na wanasifu serikali ma chama kwa utendaji uliotukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…