kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Na yanajua mikwala na usanii wa kupiga kelele unafanya wananchi waridhike na kuona ni viongozi wazuri. Ukiona Makonda alivyo na maneno mengi utadhani mwaka ujao nchi itakuwa kama Ulaya kumbe ni usanii tu. Mimi hawanidanganyi hawa wajinga.Haya majangili ya CCM yanafahamiana vizuri sn.
Kila siku huwa nawaambia watu kuwa ukishindwa kufanya mahesabu madogo kama kujumlisha ndiyo utaweza mahesabu ya intergration? Siyo hata kufungwa, sema kutengua nafasi zao. Umeshawahi kuona mbunge amefukuzwa ubunge kwa sababu ya ufisadi wakati wanafisadi kila siku? Kufungwa ndiyo kabisaa halafu wanajifanya eti kunyonga.Wameshindwa kuwafunga ndio wawanyonge, sio nchi hii.
Wanatuona sisi wajiinga.Kila siku huwa nawaambia watu kuwa ukishindwa kufanya mahesabu madogo kama kujumlisha ndiyo utaweza mahesabu ya intergration? Siyo hata kufungwa, sema kutengua nafasi zao. Umeshawahi kuona mbunge amefukuzwa ubunge kwa sababu ya ufisadi wakati wanafisadi kila siku? Kufungwa ndiyo kabisaa halafu wanajifanya eti kunyonga.
Hii ni kweli maana hata vijana ambao ni taifa LA kesho wanaona kuingia serikalini au kupata tenda ya serikali ni chance ya kula hela tu maana hamna adhabu Kali zinazotolewa kwa wezi hao namuunga mkono ni kunyoongwa hadi kufa maana kama ni kuachishwa kazi au kuhamishwa tu mtu anajua anahela yake tayari au kama ni jela Kuna msamaha wa rais unaweza kumpitiaMsikile Waitara akitema cheche hapa
Asema watanzania wengi wanaisha maisha ya ufukara sana kiasi cha kushindwa hata kuwalipia ada watoto wao na kwenda kuomba msaada wa kufanikishiwa jambo hilo, akisema watumishi wa umma wote wanasomeshwa na watanzania na wana elimu ya kutosha, na kwamba wanafanya makusudi na kuiba kwa utaalamu.
Akisema uzembe upo kwa wabunge, kama mtu ameiba ripoti ipo, taarifa zipo, vyombo vipo, lakini mwizi hawajibishwi, je wanafundisha nini vijana wa Tanzania? Kwamba mtu ataiba na kuhamishwa tu wizara bila ya kuwajibika? Ataka wote waliothibitishwa kuhusika na wizi huo wanyongwe.
Asema wasisubiri kuambiwa kuwa wanantakiwa kuchukua hatua, bali wawajibishe sababu wao wabunge ndio wenye dhamana ya kufanya hivyo. Asema kama fedha zinatolewa kwaajili ya ripoti ya CAG kufanya uchunguzi halafu hakuna kinachofanyika zaidi ra ripoti hizo kuwekwa kwenye makabati na mwaka unaofata mambo kuwa yale yale, yeye Waitara ataachana na kuchangia maoni juu ya ripoti hiyo.