Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo huwa unafurahia ukifanyiwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akhu! Mi nimesema ninayo yashuhudia kwenye public transport
UwongoKwenye daladala ni ngumu sana kuona mwanamke anampisha siti mwanamke mwenzake hatakama ana ujauzito mkubwa kiasi gani hampishi.
Utashangaa mwanaume yuko nyuma kabisaa anampisha siti akae lakini mwanamke wa karibu yake anakausha.
Shida ni nini?
Nadhani wanawake wao huwa wanaamini wameumbwa kufanyiwa vitu na sio wao kufanya. Hii utaiona kila mahali mfano hata mwanamke akisimama barabarani anategemea ukipita umpe lifti, ila kamwe yeye akiwa anaendesha gari hawezi kusimama akupe lifti mwanaume.Karma is real nae alipokuwa hana ujauzito alikuwa akipisha watu katika seat? Ila mimba sitilii maanani wenye watoto ndo wanapaswa kupishwa na huwa wanapishwa, mi mwanaume ila mwenye amebeba mtot nampa kipaumbele sana
Nakazia.Shida inakuwa mwanaume hata akisimama hana cha kupoteza, ataenda kubembea kwenye mizigo iliofungashwa na wanawake na kufaidi uumbaji wa Mungu [emoji12]
Usizuge hujawahi bambiwa😂 usikute nshakubambia sana ndani ya papa FololoTunafaidi sana kutazama raia wanavyobambiana
Wananiuzi kichiziHao wajawazito kwann wapande gari ambalo limejaaa sana?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kazi kweli kweli.Shida inakuwa mwanaume hata akisimama hana cha kupoteza, ataenda kubembea kwenye mizigo iliofungashwa na wanawake na kufaidi uumbaji wa Mungu 😜
Gari ikikosa siti sipandi 😂😂😂Usizuge hujawahi bambiwa😂 usikute nshakubambia sana ndani ya papa Fololo
Wao wakifanyiana mibambioKwahiyo huwa unafurahia ukifanyiwa?
Kweli wewe kichwa kichafu [emoji2][emoji2]Tunaachia Seat Ili Tubambie Misambwanda.[emoji23]
Mkuu next time vaaa airpods ingia boomplay tupia Pini la maana huku unapita Instagram taratibu huku umekaa zako seat ya pili kutoka dirishaniWananiuzi kichizi
Wamekariri kuwa lazima atapishwa.Hao wajawazito kwann wapande gari ambalo limejaaa sana?