Point sana huwa wanapanda makusudi kwa hisani ya huruma japo inategemea na kituoHao wajawazito kwann wapande gari ambalo limejaaa sana?
Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point sana huwa wanapanda makusudi kwa hisani ya huruma japo inategemea na kituoHao wajawazito kwann wapande gari ambalo limejaaa sana?
SolutionPoint sana huwa wanapanda makusudi kwa hisani ya huruma japo inategemea na kituo
Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
Kwani mimi nani?
Duh😳Ai......
Mshono sio mchezo aisee.nakumbuka siku ya pili mshono mbichii kunyanyuka kitandani sasa.nilikuwa namuuliza dokta hivi nitakuja kuwa sawa tena kweli.Mimi mwenye mshono mbichi na yeye mjamzito nani wa kumpisha mwenzake siti???? [emoji28][emoji28] huu ni mfano tu
Solution ni kuweka level seat tu km kipindi covid na iwe sheria kila mtu akae kw bus na likijaa marufuku mtu mwingine kupanda na mabus yawe mengi zaidi na makubwa because kusema ukweli hamna anayependa kusimama sana sana na joto hili na foleni hiiKwenye daladala ni ngumu sana kuona mwanamke anampisha siti mwanamke mwenzake hatakama ana ujauzito mkubwa kiasi gani hampishi.
Utashangaa mwanaume yuko nyuma kabisaa anampisha siti akae lakini mwanamke wa karibu yake anakausha.
Shida ni nini?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na huu mgao wa umeme, anajiwekea zake charge mpaka gomzi au rangi tatuShida inakuwa mwanaume hata akisimama hana cha kupoteza, ataenda kubembea kwenye mizigo iliofungashwa na wanawake na kufaidi uumbaji wa Mungu [emoji12]